Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,596
- 2,079
hiyo 40 ni nafuu maana Benki ilikuwa 50 inaweza kuwa hata imeshapanda.Kweli kabisa hasa beforward wazuri sn wana ofice zao pia tanzania so malipo unaweza kufanya kupitia ofice yao ya tanzania ila wanaongeza $40 za ku process TT ili hela kuituma japan wao ila unakuwa safe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio $50 tena siku hizi crdb wamepunguza mfano nilitaka kutuma $3300 kwa TT direct japan niliambiwa commission ni tsh 12000/=hiyo 40 ni nafuu maana Benki ilikuwa 50 inaweza kuwa hata imeshapanda.
Duh,, kumbe!Hapana sio $50 tena siku hizi crdb wamepunguza mfano nilitaka kutuma $3300 kwa TT direct japan niliambiwa commission ni tsh 12000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa huwa wanakomoa sana sana sijui kwa sababu gani? Bei ya kodi inazidi bei ya kununulia?Kudadek! Ni M12.3, Hapo tenga milioni moja pembeni kwa ajili ya shipping line, storage, agency fee, nk... So andaa kama M 14 hiv ukitoa pesa ya kununulia...
View attachment 568273
Hapana kuimport Gari bado kuna unafuu kuliko showroom za kibongoHapo ndio utajikuta unafunga safari kwenda showroom na kuachana na .com zote
Mkuu usithubutu kukanyaga yard za kibongo shauri yako!...utashinda kila siku gereji mpaka ufanane nao
Mpaka kuimiliki lazima uwe na shilling 30mln....Yaani gari ya CIF USD elfu7 hadi kuimiliki ukishalipa kila kitu lazima ufike 20/-M na ushee.
Uko sahihi kabisa mkuu.
Mkuu,gari ya CIF $7,000 hizo ni 15,000,000. Sasa kodi na mambo yote inakua tena 95-110% ya gharama ya CIF. So kwa gari hiyo andaa Tsh 30,000,000/-! Ukiingia kichwa kichwa ukahisi hizo dola ni ndogo,unaweza kushindwa likaishia kupigwa mnada. Ingia kwenye TRA Motor Vehicle Valuation Calculator,ambayo iko kwenye mtandao.Yaani gari ya CIF USD elfu7 hadi kuimiliki ukishalipa kila kitu lazima ufike 20/-M na ushee.
Mkuu ushuru utazidi hapo maana kwa calculator ya tra cif ni $4819 sasa km ivoice itaonyesha cif 7300 tra watachukulia cif ya invoice km base amount kufanya calculation so ushuru utakuwa juu ya hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kawaida wao tra cif ya kwao ikiwa ndogo kuliko cif ya invoice wanatumia value ya invoice ya invoice ikiwa chini wanatumia ya kwaoHii ni muhimu watu kuijua, tra calculator inaonyesha cif $4819 while actual cif invoice ni $7300, lazima mzigo uwe juu sana, huo ushuru utakuwa juu sana zaidi ya inavyoonyeshwa hapo.
Hao CRDB mwaka 2014 walichukua elfu 96 kwangu kwa kutuma dola 1900.Crdb wapo vizuri....nbc walinipiga hadi nikajuta...
Hakuna hesabu za aina hiyo. Aangalie CIF ya gari, aingie web ya TRA aangalie CIF (USD) CIF ya gari isizidi ya TRA, ushuru utakuwa juu zaidi. CIF ya gari inabidi isizidi ya TRA.