Kwa wale ambao hawajaoa hii ni yenu

Hahaha my wife wako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii lugha ya kizungu nomaa sana
[emoji12] [emoji12] [emoji12] ilipanda meli hiyo nasikia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hizi tabia zipo sana ila nawashangaa wanaobisha
Wabishe tu lakini zipo niliwahi shuhudia watu wameoa familia moja wapo 4 hivi watatu wanatengewa chakula chao huyu 1 mmm ananung'unika nje kaachwa na watu wengine
 
Sio rahisi lazima kaona hapewi kipaumbele kaamua kujiweka peke yake na wanafamilia wanamtenga hawakai nae karibu na hata kuongea usikute wanaobgea nae km takataka fulani hata ungekuwa wewe ungejitenga
Unajishuku kama upo tofauti na wengine
 
Wabishe tu lakini zipo niliwahi shuhudia watu wameoa familia moja wapo 4 hivi watatu wanatengewa chakula chao huyu 1 mmm ananung'unika nje kaachwa na watu wengine
Uchagani huko kawaida tu
 
Huku chunguza vizuri, wanawake ambao mabwana zao wanazo pesa ndio huchambua mchele na kukatakata nyama bila kujali uzuri na wale ambao mabwana ni choka mbaya kazi zao ni hizo ulizozitaja.
Hakuna kupinga ipo , wenye pesa wameenda kununua wenyewe sasa utawambia nini kama si kuwasha moto wakuni hapo!
 
Asante kwa kunimaanishia kua natakiwa kugandana na manungaembe na mazombi
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] umenivunja mbavu zangu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Castr jamani wapo usikate tamaa kiivyo muombe Mungu tu [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…