Katoto kadhuri
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 759
- 327
- Thread starter
- #81
haya bst wamekuelewaMimi bado ninacheka sana baadhi wa wachangiaji wa nyuzi kama hizi, mnapokuja na kuanza kumtusi mtoa post. Hivi kawakosea nini hasa? Umefungua na kusoma post wewe mwenyewe, wala hajakushikia bunduki, kisha unamtukana. Kama umeona ni utumbo si umuache akafie mbali? Ubinafsi na wivu unatula bila kujijua.Tujenge tabia ya kuruhusu mitazamo tofauti, na kukubali kuwa duniani tunatofautiana.
TUMEKUZWA KUDHANI BINADAMU TUNAFANANA NA KUFIKIRI SAWA, HUU NI UGONJWA