Kwa wale mabingwa wa kutongoza, huu ndio uzi wenu nitongozeni

Naona mnalia lia sana pm. Nasikitik kwamba pm huwa sijibu sms au kuendeleza majadiliano huko
Uzi wenu ni huu unaweza kujaribu bahati yako
Karibuni hapa mnitongoze jamani, napenda kutongozwa mie😜
Kizuri kinajiuza kibaya kina jitembeza.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mi simtaki huyo mkuu siyo type yangu ukiona bi dada anataka mtongozo ujue hana makinikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…