Kwa wale mabingwa wa kutongoza, huu ndio uzi wenu nitongozeni

Kwa wale mabingwa wa kutongoza, huu ndio uzi wenu nitongozeni

Naona mnalia lia sana pm. Nasikitik kwamba pm huwa sijibu sms au kuendeleza majadiliano huko
Uzi wenu ni huu unaweza kujaribu bahati yako
Karibuni hapa mnitongoze jamani, napenda kutongozwa mie😜
Kizuri kinajiuza kibaya kina jitembeza.
 
dada katoto kadhuri habari yako unajua tangu nimekuona hapa jukwaanai nimetokea kukupenda kwa dhati siyo kama mo11 huyo atakuwa anakudanganya na kuna mtu anaitwa zero iq usimkubalie ni mhuni sana halafu hana hela anauza kiepe mimi kidogo mambo safi naomba niwe mpenzi wako wa kweli jamani nawasilisha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mi simtaki huyo mkuu siyo type yangu ukiona bi dada anataka mtongozo ujue hana makinikia
 
Back
Top Bottom