Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Moja kwa moja kwenye mada....
Fanya hivi nenda setting>Privacy>permission manager>apps that can control your data....ukifungua huku utazikuta apps zote ulizo allow ku access simu yako then gusa kila kipengele kimoja kimoja kuanzia kwenye sms,camera,files,contacts utakuta hizo apps ulizoruhusu. Ukifungua utakutana na sehem ya Allow na dont allow,ziondoe kwa kubofya "don't allow"
Kumbuka hata kama umefuta app zao, kama hujafanya setting kwenye simu yako bado wataendelea kuona kila kitu chako....
sitawafundisha tena mbinu za kivita.
Fanya hivi nenda setting>Privacy>permission manager>apps that can control your data....ukifungua huku utazikuta apps zote ulizo allow ku access simu yako then gusa kila kipengele kimoja kimoja kuanzia kwenye sms,camera,files,contacts utakuta hizo apps ulizoruhusu. Ukifungua utakutana na sehem ya Allow na dont allow,ziondoe kwa kubofya "don't allow"
Kumbuka hata kama umefuta app zao, kama hujafanya setting kwenye simu yako bado wataendelea kuona kila kitu chako....
sitawafundisha tena mbinu za kivita.