Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli Totos Boss, inasikitisha! Mtu atakuambiaje uache kazi aliyokukuta nayo na wewe unamkubalia? Wadada mpoo?Kaolewa na mumewe hataki aendelee kuuza sura
Wakishawekwa ndani na mume mwenye wivu ndio basi tena, kipaji kimepotelea baharini. Ukimkuta ananukanuka manyonyo tu!!
Msi-discuss jambo ambalo hamna ukweli naloKama ni kweli Totos Boss, inasikitisha! Mtu atakuambiaje uache kazi aliyokukuta nayo na wewe unamkubalia? Wadada mpoo?
kivyako, huyu mtoto nilikuwa namfuatiliaga sana mpaka akanitumia picha yake. Kisha akapotea ghafla, mawasiliano yoteWe umepata wapi picha yake? Au ndo km sms hii " Tafadhali nibip siioni simu yangu"
Sana aisee Chimunguru, na ndio nilianza kumpenda kipindi hicho. Sasa naona keshafungwa kamba!dah walitisha mno enzi zao zile miaka ya mid 90s.
Mkuu unajua umetukana, "kunukanuka manyoyo"?Wakishawekwa ndani na mume mwenye wivu ndio basi tena, kipaji kimepotelea baharini. Ukimkuta ananukanuka manyonyo tu!!
Mkuu HYGEIA pole sana, ndo hivyo siku nyingine unawahi kabla ya wengine, lkn afadhali alikuachia picha utakuwa unavutia hisia.kivyako, huyu mtoto nilikuwa namfuatiliaga sana mpaka akanitumia picha yake. Kisha akapotea ghafla, mawasiliano yote
akakata. Kumbe alikuwa na misheni zake! Sasa washikaji hapa wamenifungua macho na inabidi nifyate mkia.