Kwa wale mnaopenda kula hotel ya Aljazeera

Kuna watu Kweli wanashindana kununua Chakula njiani. Sio kitu kizuri, Nakumbuka kuna kipindi nlisafiri na wenzangu,walipofika pale Liverpool mbioo kwenye mabufee,nyamachoma nk.
Kama mashindano vilee. Mm nliyechukua Soda Take Away na biskuti,Wakaanza kuniita Mbahili na majina kibao!! Ukweli jamaa wa hii migahawa wanachojali ni pesa tu.
 
safarini ni sehemu nzuri sana ya kujipima ni muda gani unaweza kaa na njaa.
Maajabu wengi wetu hushindana kula.

Nakumbumbka wakat narudi home wakat nasoma, nliwaiga wenzangu nunua vyakula,lakin wala sikula.

Kwanini hukula.?!
 
Hiyo Mbeya kwa father G enzi hizo, ukizubaa unapigiwa mpe wali jaa mchuzi juu, kumbe ni wali wa jana na mchuzi wa juzi,yaani ni shida sana.
 
Duh, aisee. Wapi hio.?
Pale Al Jazeera Ruaha Mbuyuni, chooni ni kuchafu balaa, kiasi kwamba huwa najiuliza, wamiliki wa mradi ule hawakagui hali ilivyo? Ni lazima uwe na tatizo kidogo kula pale al Jazeera. Ni hatari kwa afya yako.
 
Hakuna mtu anayetambua anakulaga hapo mahali. Hao waarabu ni wachafu kama wachawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…