NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
Kuna watu Kweli wanashindana kununua Chakula njiani. Sio kitu kizuri, Nakumbuka kuna kipindi nlisafiri na wenzangu,walipofika pale Liverpool mbioo kwenye mabufee,nyamachoma nk.
Kama mashindano vilee. Mm nliyechukua Soda Take Away na biskuti,Wakaanza kuniita Mbahili na majina kibao!! Ukweli jamaa wa hii migahawa wanachojali ni pesa tu.
Kama mashindano vilee. Mm nliyechukua Soda Take Away na biskuti,Wakaanza kuniita Mbahili na majina kibao!! Ukweli jamaa wa hii migahawa wanachojali ni pesa tu.