Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

Ndugu zetu wanyaru land, hii wu! wu! wu! [HASHTAG]#mbwa[/HASHTAG] kwao ni barbeque moja maridadi-matata sana!
 
hiki kichwa cha habari kimewakamata wengi😀😀
 
Ndugu zetu wanyaru land, hii wu! wu! wu! [HASHTAG]#mbwa[/HASHTAG] kwao ni barbeque moja maridadi-matata sana!
Mbona wengi mnakula sana mishkaki ya hii kitu, hasahasa Dar kwa chipsi na mishkaki ya barabarani kwenye stand za daladala.
Na mnaisifia sana kwa jinsi ilivyo mitamu na laini![emoji4] [emoji4]
Mambo ya wahehe hayo
 
Biashara ya mishkaki mitaa ya Mama Ngina Drive,Likoni Ferry...nasikia mateja washafanya mbwa kua dili
afu wanawauzia watu eti ni mishkaki. Kudadeki!!!!

Msiseme sikuwahabarisha....


8032221238_ddda6d5ed5_b.jpg

Mombasa siendi ng'o

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom