MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,303
dah mkuu....ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke......kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.....
Hahah, naona ulivyokuja unahema juu juu !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah mkuu....ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke......kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.....
alitakiwa aseme Mambo ya nyanda za juu kusiniHahah, naona ulivyokuja unahema juu juu !
wewealitakiwa aseme Mambo ya nyanda za juu kusini
Mbona wengi mnakula sana mishkaki ya hii kitu, hasahasa Dar kwa chipsi na mishkaki ya barabarani kwenye stand za daladala.Ndugu zetu wanyaru land, hii wu! wu! wu! [HASHTAG]#mbwa[/HASHTAG] kwao ni barbeque moja maridadi-matata sana!
Mambo ya wahehe hayo
Mombasa siendi ng'oBiashara ya mishkaki mitaa ya Mama Ngina Drive,Likoni Ferry...nasikia mateja washafanya mbwa kua dili
afu wanawauzia watu eti ni mishkaki. Kudadeki!!!!
Msiseme sikuwahabarisha....
![]()
KumbeeeeeBiashara ya mishkaki mitaa ya Mama Ngina Drive,Likoni Ferry...nasikia mateja washafanya mbwa kua dili
afu wanawauzia watu eti ni mishkaki. Kudadeki!!!!
Msiseme sikuwahabarisha....
![]()
Dah kweli aiseeedah mkuu....ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke......kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.....
Wewe unajua mambo gani mengine yanayohusu Mombasa?
wanakula kuku na yai lake...na alshaab juu. Hakuna tena zile kufuru zao
Duhwanakula kuku na yai lake...na alshaab juu. Hakuna tena zile kufuru zao
Dah..huyu jamaa naye..ndo nini kutaka kutuvunja nyonga..dah mkuu....ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke......kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.....
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwelidah mkuu....ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke......kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.....
dah mkuu....ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke......kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.....