Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

dah mkuu....ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke......kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.....
Shenzi ukajua ni kuvuruga tope[emoji86][emoji86]
 
Kichwa cha habari Kimenileta mbio[emoji1787][emoji23][emoji23]
Km mie [emoji33][emoji33]nimerudi kwenye mwanzo nakuta ya miaka kibao aisee akili za kijinga hizi[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Km mie [emoji33][emoji33]nimerudi kwenye mwanzo nakuta ya miaka kibao aisee akili za kijinga hizi[emoji13][emoji13][emoji13]
🤣🤣🤣🤣🤣Hatari sana nimefungua uzi haraka
 
Biashara ya mishkaki mitaa ya Mama Ngina Drive, Likoni Ferry, nasikia mateja washafanya mbwa kua dili
afu wanawauzia watu eti ni mishkaki. Kudadeki!

Msiseme sikuwahabarisha.



Mkuu; Kwani nyama ya mbwa sio chakula? Rejea enzi za Tanangozi - Tuliokula tupo hapa na tunachangia threads. Wee vp??
 
Biashara ya mishkaki mitaa ya Mama Ngina Drive, Likoni Ferry, nasikia mateja washafanya mbwa kua dili
afu wanawauzia watu eti ni mishkaki. Kudadeki!

Msiseme sikuwahabarisha.



Bwege sana wewe.
Rekebisha heading kwanza.
Muone kwanza

CC Depal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…