kijimsela
Member
- Mar 17, 2013
- 97
- 15
Habari wana JF,
Naomba kuuliza kama kunayeyote anataarifa kwenye CAS-Profile yake kuwa not eligible.
maana kwenye tangazo lao linasema kuwa:
17043 applicants who have applied to Bachelor degree programs so far.
15090 applicants have reached program selection stage and made choices of the programs they want to study.
1053 applicants have not made any selection.
11,881 are eligible choices
4562 slots being filled as FIRST BATCH applicants.
Kutokana na maelezo hayo inamaana kuna watu ambao not eligible, je wametumiwa tangazo la second round?
Maana mi kwenye profile yangu sioni chochote na nashindwa kujielewa na siku ndo hiyo inakaribia ya tarehe 22 ambayo watatoa majina rasmi, sijui hiyo second itatoka siku hiyo ya tar 22?
Kwakweli wana jamvi naomba mnieleweshe mlivyoelewa wenzangu au profile zenu zinasemaje.
KARIBUNI!
Naomba kuuliza kama kunayeyote anataarifa kwenye CAS-Profile yake kuwa not eligible.
maana kwenye tangazo lao linasema kuwa:
17043 applicants who have applied to Bachelor degree programs so far.
15090 applicants have reached program selection stage and made choices of the programs they want to study.
1053 applicants have not made any selection.
11,881 are eligible choices
4562 slots being filled as FIRST BATCH applicants.
Kutokana na maelezo hayo inamaana kuna watu ambao not eligible, je wametumiwa tangazo la second round?
Maana mi kwenye profile yangu sioni chochote na nashindwa kujielewa na siku ndo hiyo inakaribia ya tarehe 22 ambayo watatoa majina rasmi, sijui hiyo second itatoka siku hiyo ya tar 22?
Kwakweli wana jamvi naomba mnieleweshe mlivyoelewa wenzangu au profile zenu zinasemaje.
KARIBUNI!