Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
majina yaliyotelewa ni ya wale ambao hawakumaliza application mpaka program selection sio kwamba hawakuchaguliwa.. kwa maana hata choice zenyewe hawajafanya. kwahiyo wanahimiza kumalizia ili wawepo kwenye selection.
Umesomeka vyema