Kwa wale 'not eligible' kutoka NACTE mmeshajijua?

Kwa wale 'not eligible' kutoka NACTE mmeshajijua?

majina yaliyotelewa ni ya wale ambao hawakumaliza application mpaka program selection sio kwamba hawakuchaguliwa.. kwa maana hata choice zenyewe hawajafanya. kwahiyo wanahimiza kumalizia ili wawepo kwenye selection.

Umesomeka vyema
 
Back
Top Bottom