Papupi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,028
- 3,241
Siku moja niliamka na hangover zangu, nikatoa lock kwanza then nikasema ngoja nitengeneze mchemsho.. Maana Aunty yenu huwa ananitengenezea mara moja moja akiwa amekuja ghetto nikiwa kama jana yake nimepiga vyombo vyangu
Kwakua akiwa anapika tunakuaga wote nikawa nasema mbona simple tu, basi nikatengeneza nyama yangu fresh mixer tangawizi na vitunguu swaumu nikaweka jikoni. Yale maji ya nyama yenyewe yalipokauka nikasema huu sasa ni wakati wa kutia viazi,hoho pamoja na carrot.
Kimbembe kimekuja hapa sasa[emoji28], viazi vimeiva tayari nyama bado ngumu, ikabidi niongeze maji ili nyama iive.. nikafunika nikawa busy na simu, kuja kufunua nilichokikuta uji wa viazi pamoja na nyama.[emoji28][emoji28]
Naomba niishie hapa.
Kwakua akiwa anapika tunakuaga wote nikawa nasema mbona simple tu, basi nikatengeneza nyama yangu fresh mixer tangawizi na vitunguu swaumu nikaweka jikoni. Yale maji ya nyama yenyewe yalipokauka nikasema huu sasa ni wakati wa kutia viazi,hoho pamoja na carrot.
Kimbembe kimekuja hapa sasa[emoji28], viazi vimeiva tayari nyama bado ngumu, ikabidi niongeze maji ili nyama iive.. nikafunika nikawa busy na simu, kuja kufunua nilichokikuta uji wa viazi pamoja na nyama.[emoji28][emoji28]
Naomba niishie hapa.