Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Sio kweli...mie nna miaka kumi toka nianze ujasiriamali...ukitaka ujimix nenda huko[emoji28]! Mie hata shipa la kuwaza kwenda huko halijawah amka
Mimi pia naamini hivyo, I wouldn't go to a witch ili tu niwe na pesa, kwanza pesa za namna hiyo hazina amani wala hazileti maendeleo. Pamoja na viajira vyetu uchwara bado tunajitahidi kuwekeza na hatuendi kwa waganga katu. My principle remains so!
 
Hivi umegoma kunigawia Dagaa?
 
Mimi pia naamini hivyo, I wouldn't go to a witch ili tu niwe na pesa, kwanza pesa za namna hiyo hazina amani wala hazileti maendeleo. Pamoja na viajira vyetu uchwara bado tunajitahidi kuwekeza na hatuendi kwa waganga katu. My principle remains so!


Nisaidie laki moja hapo mtumishi!😅😅
 
Ila waganga wanajitahidi. Nilipeleka majina ya wanawake watatu na tarehe zao za kuzaliwa huwezi amini baada ya nusu saa akaniambia baki na huyu fulani wawili hawa watakuingiza matatizoni. Nikapiga mahesabu nikagundua kweli hao wawili kunammoja Kika siku kwao magonjwa tu, mara mama mara shangazi. Alafu mwingine huyo kama unamilioni ndani akukuomba hata elfu ishirini unajikuta mwezi mzima unaisha hela zinapotea potea tu. Nikamuuliza mganga nikulipe sh ngapi akasema 3000. Nikampa 5000 nikamwambia chenji baki nayo. Tangu siku hiyo sikurudi tena maana eneo lake lilikualinanuka ubani si ubani, daaah ila nishatubu kwa Mungu kitambo sana.
 
biashara matangazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…