Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
ADONAI,, YAHWEH,, ELOHIM.....mengine manne nakupa homework ukatafte..ukishindwa basiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ADONAI,, YAHWEH,, ELOHIM.....mengine manne nakupa homework ukatafte..ukishindwa basiii
Hata mimi mkuu, yaani kwa mganga ni big NO bora nife na tai shingoni.Sio kweli...mie nna miaka kumi toka nianze ujasiriamali...ukitaka ujimix nenda huko[emoji28]! Mie hata shipa la kuwaza kwenda huko halijawah amka
Mie bahati mbaya au nzuri marafiki na baadhi ya ndugu zangu walienda kwenye hizo ndago...hha awakikuelezea utabaki kucheka ufe . mtot wa aunt alienda fata utajiri kigoma akaambiwa aoge nje ya mlango wake mchana kWeupee🤣! Kweli akawa tajiri btn 1998-2000 visiwani huko alikua title😅😅..akarudi kwenye umaskn baada ya kuambiwa inahitajika damu ya mwanae ya nn yote hiyo sasaHata mimi mkuu, yaani kwa mganga ni big NO bora nife na tai shingoni.
Mimi ni mjasiriamali mzuri tu, nafuata kanuni zote za ujasiriamali. Namshukuru Mungu mambo yanaenda vizuri
Ila kwa mganga sitathubutu na sijawahi fikiria.
Na nmefuatilia nyuzi za shuhuda hapa Jf, naona wengi wanatapeliwa tu. Pia mganga anakupa temporary solution ili urudi tena uwe mtumwa wake
NB
Kumtegemea binadamu ni big NO
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu, honesty is the best policy. Kama ni mjasiriamali fuata ethics na principles zote za ujasiriamali, ukiteleza tizama ulipojikwaa otherwise Nature itakuumbua.Yaani mie quartely najifanyiaga assessment wapi nikp dhaifu wapi nikp fresh..kwa mfanyabisshara yoyote yule..ukiamua kuwa honest kbs na mwenendo wa maisha yako utajua wapi unakosea...
Kuna bishoga alishika hela kubwa sana...ghafla hela imekata..kabla y kukata nilimwambia oya njia unazopita jitahidi urekebishe ( alikua anaibia sana client wake) nikajua iko siku atarudi back sq 1! Ameanguka hana pakishika..hataki kuangalia alipoangukia...amechanganyikiwa anashinda kwa hao waganga...wengine wanamla kbs uwiii...namwambia rekebisha hili na hili na kubali kianza na moja haelewi anaamini amelogwa[emoji1784][emoji1784]! Haiwezekana aje bibi au mtu asieyeelrwa hesabu ukampgia mahesabu kila mtu ukamuongea hela za juu nature ikakuacha! Never
Be honest to yourself mambo yataenda tu iwe isiwe!..na usipende kutafuta sababu kusingizia jambo au mambo..no..be honest utagundua wapi unafeli
Kweli mkuu, honesty is the best policy. Kama ni mjasiriamali fuata ethics na principles zote za ujasiriamali, ukiteleza tizama ulipojikwaa otherwise Nature itakuumbua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo nipo kwenye mchakato na hatua zimebaki ni zamwisho kuanza kura matunda ya kazi yangu mnake kazi ninayo lkn hakuna nipatacho mwaka wa 9 sasa nimeona bora nichungulie na upande wa pili
Sasa si unaona, yaani safari moja huanzisha nyingine, huyo angekuja kupukutisha ukoo mzima halafu baadae wangemchukua na yeye akatumikie wengneMie bahati mbaya au nzuri marafiki na baadhi ya ndugu zangu walienda kwenye hizo ndago...hha awakikuelezea utabaki kucheka ufe . mtot wa aunt alienda fata utajiri kigoma akaambiwa aoge nje ya mlango wake mchana kWeupee[emoji1787]! Kweli akawa tajiri btn 1998-2000 visiwani huko alikua title[emoji28][emoji28]..akarudi kwenye umaskn baada ya kuambiwa inahitajika damu ya mwanae ya nn yote hiyo sasa
Sasa si unaona, yaani safari moja huanzisha nyingine, huyo angekuja kupukutisha ukoo mzima halafu baadae wangemchukua na yeye akatumikie wengne
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku nikienda nitaleta mrejesho ila kitakachonipeleka moja ni kufanya utafiti kwamba je,hivi ni kweli hizo tunguli zina effect kwenye maisha..?
Na la pili nadhani itakuwa mapenzi😅
Kama sio hilo basi nawania kiti Cha ikulu full stop😅
Alieniambia hivyo ni yule aliyekuambia kuwania hicho kiti hutakiwi kwenda kwa witchdoctor!Nani alikwambia ukiwania hicho kiti unatakiwa kwenda kwa witchdoctor?
Mie bahati mbaya au nzuri marafiki na baadhi ya ndugu zangu walienda kwenye hizo ndago...hha awakikuelezea utabaki kucheka ufe . mtot wa aunt alienda fata utajiri kigoma akaambiwa aoge nje ya mlango wake mchana kWeupee[emoji1787]! Kweli akawa tajiri btn 1998-2000 visiwani huko alikua title[emoji28][emoji28]..akarudi kwenye umaskn baada ya kuambiwa inahitajika damu ya mwanae ya nn yote hiyo sasa
Alieniambia hivyo ni yule aliyekuambia kuwania hicho kiti hutakiwi kwenda kwa witchdoctor!
Kwa hyo mzee Tigo haikusalimika..
Ulipanda cheo na kwenda Ngome kwa gharama ya Tigo dah aisee
Sio anatuchanganya sema ndio asili yake kwa maana kwako alivyo sio kwangu alivyo.. ila anauelewa wa kuwa tupo.. na ni huyohuyo anaejua kuwa mtu hataki kile alichonacho bali ambacho Hana!😜Naona anatuchanganya sasa.
Sorry Toto[emoji17]Aiseee.