Nisaidie laki moja hapo mtumishi![emoji28][emoji28]
Mtumie nayakutolea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukitaka kurud niambie nitume nauli
stidy
Ahaha mpakwa mafuta, ila walokole wana gia za kuombea hela[emoji16]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hem jaribu uone, kwanza ujuwe namba italeta mwanzo mzuri, sisi hatuangalii pesa, mwanzo mzuri ndio kila kitu.[emoji23][emoji23]
Mimi nakumbuka ilikuwa mwaka 1999, tulikuwa na ligi, sasa tukafika fainali kwa bahati sana na timu tuliyoingia nayo ilikuwa kiboko. Ikabidi tupate namna ya kutafuta mtaalam, nikachaguliwa kuongoza wapiga ramli, tulienda usiku manyanga yakapigwa, jini akaja akaanza kutupa sharti la kwanza,
1. Tulitakiwa kuleta m.b.oo ya mwehu,
2. Kuku mweusi.
Ikabidi tucheke, yule jini akaanza kutandaza makofi gizani, ilibidi tutimue mbio,
Sent using Jamii Forums mobile app
Waganga wengi wasanii tu,hakuna la maana hata kidogo! Hivi Mshana wewe na uchawi wako kwa mfano ukutwe umechelewa kwenye uchawi halafu mwenye nyumba akukatekate na mapanga itakuwaje?Waliowahi kuja Msata Kilingeni wajitokeze hapa [emoji144][emoji144][emoji144]
Jr[emoji769]
Haiwezekani na haitakaa itokeeWaganga wengi wasanii tu,hakuna la maana hata kidogo! Hivi Mshana wewe na uchawi wako kwa mfano ukutwe umechelewa kwenye uchawi halafu mwenye nyumba akukatekate na mapanga itakuwaje?
Leye story hiyoNikiwahi kuendewa Kwa mganga na mtu aisee hii dunia ni nzuri niliteseka miaka miwili bila kujua ila nilikuja kupata ufumbuzi wa matatizo na uchawi niliofanyiwa Kwa siku moja tuu kweli Mungu yupo
Sent using Jamii Forums mobile app