otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 132
- 230
Habari za leo jamani?!.Tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji tusimuliane basi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni nini kinawapeleka watu kwa waganga wa kienyeji?Anza kusimulia wewe ulienda kwanini?
Na unazungumzia msaada upi labda?
Tuanzee na wewe tuelezeeKwani ni nini kinawapeleka watu kwa waganga wa kienyeji?
Nilienda nikakutana na nyungu 21Anza kusimulia wewe ulienda kwanini?
Na unazungumzia msaada upi labda?
Nimewah kwenda nilikutana na chale za kutosha lakini bado mambo yaliendelea kwenda mrama,Niliona biashara imejaa hasara kibao nikadhani labda huko kuna namna flani tunaweza kufanya ili kuepusha hasara zilizokuwa zinajitokeza kwenye biashara.Tuanzee na wewe tuelezee
Hasa mganga awe wa dawa za uzazi. Hatari sana. Anawalamba kwa foleni bila kondomu.Msaada wa waganga wa kienyeji ni kusugua papuchi kwa wake za wanaume wazembe kitandani, na kwa waganga wa kike msaada wao ni kujisugua kwa mihogo ya wanaume ambao wake zao hawawapi papuchi waume zao.
Umeelewa we fala au nikupe jibu la nyongeza?! 🤣
Ni wale wale wote ni hatariWaganga wa kienyeji,Waganga wa jadi,Waganga wa tiba asili,waganga wa tiba mbadala,hivi tofauti yao ni nini...?
hii nayo kali[emoji23][emoji23][emoji23]Niliwakuta wanafanya mazingaombwe mara wakatupaka dawa ili tuone miujiza yao. Hapo niko kidato cha tatu.
Hawakufanya tuone kitu badala yake wakasema kila aliyepakwa dawa awafuate au wakivimba mikono baadae wasijelaumu.
Mie huyoo nikaunga tela kuwafuata huko uchochoroni ngarenaro hadi walipokuwa wana 'ofisi' yao.
Kuna dada akaingia nikasikia analalamika yeye ni housegirl na bosi anamnyanyasa hivyo anaomba bosi atengenezwe.
Kuna mzee akaingia nikasikia analalamika amezulumiwa shamba hivyo waliomzulumu watengenezwe.
Wakaendelea watu wengi mie bado naogopa.
Ikafika ndo nimebaki wa mwisho nikaingia. Nikakuta jamaa amekaa kitandani kumejaa maburungutu ya hela na matungyli na hirizi kadhaa. Akaniuliza nataka nini nikamwambia sina shida yeyote ila kwa kuwa wamesema aliyepakwa dawa aende na mie ndo nimefika.
Akanihoji endapo ningetaka fedha kwa ajili ya shule. Nikamwambia sihitaji maana sitakuwa na jibu la kuwapa wazazi kuhusu nilipotoa. Akaniambia niweke sikio kwenye moja ya tunguli nisikilize mizimu inasemaje. Nikatega sikio huku kichwa kimemuelekea yeye hivyo siwezi kumuona. Mara nikasikia sauti zisizoeleweka nikataka kutoa sikio akanishikilia kichwa. Nikawa nahojiwa na mizimu kama inisaidie kufaulu n.k kisha nikasikia kama inasema niweke hela niliyo nayo pale. Nikageuka kwa kasi nikakuta jamaa ana microphone mdomoni ikabidi niipotezre kama sijaona kitu maana kwa watu pale. Ikabidi niseme sina hela isipokuwa mia mbili tuu. Basi nikaiweka hiyo miambili na kusepa.
Hadi leo siamini katika uganga.
Msema kweli mpenzi wa mungu.nilishakwenda kwa mganga.kwa ajili ya demu.tulikuwa wapenzi ghafla aka badilika.akawa mgumu kinomaaa.hanipendi tena.niliumia.kuna rafiki yangu yeye ni mganga nikamueleza akasema tulia atarudi.
Tukafanya Mandingo mixer kuoga njia panda usiku.kuchoma sana UDI.kupasua Nazi n.k
Kiukweli demu alianza kubadilika na kuanza kuongea na Mimi.Mara salam n.k.
Siku zikapita tukarudi tena kwenye penzi.ila hatukudumu tuliachana.
Ushauri kama MTU hakupendi ACHANA NAE.MADAWA HUISHA NGUVU.
Kujua ulimwengu wa giza kuna mengi sana. Mshana Jr. Shahidi.Kila mtu huwa ana imani yake
Kila mtu ana mbinu zake za kutatua matatizo yake.
Wapo ambao wakipata shida kidogo tu ni kwa babu sangoma wanakimbilia.
Tujuzane, vipi gharama huko? Shida zinatatulika? Permanently or temporarily?
Na pia nasikia every dark magic comes with a price, ni kweli..? Ni price zipi mnalipa kupata magic nyeusi hizo
Tujuzane
Binafsi mimi sijawahi kukanyaga kwa sangoma na sitakaa nikanyage huko
Nilimpa kwa sababu kuondoa kero za kupigizana kelele,za kira siku so!niliamua kufanya hivyo ili funika kombe mwanaharam apite.Ulimpa kwa kupenda sasa mganga ulienda kufanya nini kama vile tangazo la kibiashara