Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Hirnet , hao waganga wanaodai pesa kidogo ni wa kweli na wamepewa ruhusa na Mungu ili watuokoe kwani ulimwengu umeisha . Hakika uchawi upo na waganga wapo ila omba upate wa kweli .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwakuta wanafanya mazingaombwe mara wakatupaka dawa ili tuone miujiza yao. Hapo niko kidato cha tatu.
Hawakufanya tuone kitu badala yake wakasema kila aliyepakwa dawa awafuate au wakivimba mikono baadae wasijelaumu.
Mie huyoo nikaunga tela kuwafuata huko uchochoroni ngarenaro hadi walipokuwa wana 'ofisi' yao.

Kuna dada akaingia nikasikia analalamika yeye ni housegirl na bosi anamnyanyasa hivyo anaomba bosi atengenezwe.

Kuna mzee akaingia nikasikia analalamika amezulumiwa shamba hivyo waliomzulumu watengenezwe.

Wakaendelea watu wengi mie bado naogopa.

Ikafika ndo nimebaki wa mwisho nikaingia. Nikakuta jamaa amekaa kitandani kumejaa maburungutu ya hela na matungyli na hirizi kadhaa. Akaniuliza nataka nini nikamwambia sina shida yeyote ila kwa kuwa wamesema aliyepakwa dawa aende na mie ndo nimefika.

Akanihoji endapo ningetaka fedha kwa ajili ya shule. Nikamwambia sihitaji maana sitakuwa na jibu la kuwapa wazazi kuhusu nilipotoa. Akaniambia niweke sikio kwenye moja ya tunguli nisikilize mizimu inasemaje. Nikatega sikio huku kichwa kimemuelekea yeye hivyo siwezi kumuona. Mara nikasikia sauti zisizoeleweka nikataka kutoa sikio akanishikilia kichwa. Nikawa nahojiwa na mizimu kama inisaidie kufaulu n.k kisha nikasikia kama inasema niweke hela niliyo nayo pale. Nikageuka kwa kasi nikakuta jamaa ana microphone mdomoni ikabidi niipotezre kama sijaona kitu maana kwa watu pale. Ikabidi niseme sina hela isipokuwa mia mbili tuu. Basi nikaiweka hiyo miambili na kusepa.

Hadi leo siamini katika uganga.
Dar es salaam na Arusha jiji hakunaga waganga...mganga anakaa sinza au kama huyo ngarenaro.. huyo mjanja mjanja tu wa town.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Booster iliisha power
Kuna mume wa shangazi yangu alikuwaga ni "mtu asiyejulikana" alikuwa akifanya ambush zake huko anakimbilia nyumbani (tulikuwa tunaishi mikoa tofauti) na mi wakati huo bado bwana mdogo tu......nikawa namsindikiza kwa babu saa 7 za ucku tunaenda makaburini tukiwa uchi hata cjui tulikuwa tunaenda kufukia nini, na baada ya siku chache tu msala wake unasahaulika kabisa na anarudi huko anakoishi akiwa mtu huru kabisa, lakini mwaka 2006 alikufa kwa kupigwa mshale wa kifua halafu wananchi wenye hasira kali wakaja kummalizia kwa kipigo kizito......sasa cjui hapo ilikuwaje yule babu alishindwa kumsaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hirnet , hao waganga wanaodai pesa kidogo ni wa kweli na wamepewa ruhusa na Mungu ili watuokoe kwani ulimwengu umeisha . Hakika uchawi upo na waganga wapo ila omba upate wa kweli .

Sent using Jamii Forums mobile app

Inawezekana
Aliniambia issue moja ambayo sijawahi kumsimulia mtu

Nikaona ni hatari nikampotezea yule best yangu maanake yeye ndo alikua anakutana nae kila kukicha
 
Hivi na kina ronaldo nao wanachanjia? Mbona hatuwafungagi? Siulizi kwa kejeli maana mi najua kabisa uchawi upo wala sina doubt...nachotaka kujua kwenye mpira na wenzetu ulaya waga wanapuliza?
Nawaona tu mnavyodanganya, wengi humu wamezindika nyumba zao ila hawasemi, wapo waliozindika biashara au dawa za kuvuta wateja, hawasemi. Wengine wamepewa dawa za kutuliza wake zao ila wanazuga, hata huko kwenye mpira watu wanaroga mno, ila hawasemi humu. Yapo mengi sana, watu wanahudhuria sana kwa waganga, hasa kipindi hiki cha maisha mminyo. Hebu tufunguke na tuwe wakweli, na si kutudanganya humu wakati wengi wetu ni wahudhuriaji wazuri wa waganga na pia wapo wengi waliofanikiwa hata kwa kuwatoa kafara ndugu na wazazi wao. Wamo humu. Ila wanazuga tuu. Pweza kabisa.
Mimi nshachanjwa sana kipindi nacheza soka, bila hivyo unakuta unacheza mpira kama umebeba gunia la kilo 100.
Haya fungukeni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati huo ushavurugwa bro.unataka kurudisha penzi.ukiangalia demu ameanza kutoka na jamaa mwenye hela.wewe kakumwaga.inauma sanaaa.
Hahaa .. kupoteza muda wako kwa kupambana na kitu/jambo ambalo hauwezi kulishinda. Ni matumizi mabaya ya rasilimali Akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa " aahh haa haa hii Kali ..hahaaaa
Niliwakuta wanafanya mazingaombwe mara wakatupaka dawa ili tuone miujiza yao. Hapo niko kidato cha tatu.
Hawakufanya tuone kitu badala yake wakasema kila aliyepakwa dawa awafuate au wakivimba mikono baadae wasijelaumu.
Mie huyoo nikaunga tela kuwafuata huko uchochoroni ngarenaro hadi walipokuwa wana 'ofisi' yao.

Kuna dada akaingia nikasikia analalamika yeye ni housegirl na bosi anamnyanyasa hivyo anaomba bosi atengenezwe.

Kuna mzee akaingia nikasikia analalamika amezulumiwa shamba hivyo waliomzulumu watengenezwe.

Wakaendelea watu wengi mie bado naogopa.

Ikafika ndo nimebaki wa mwisho nikaingia. Nikakuta jamaa amekaa kitandani kumejaa maburungutu ya hela na matungyli na hirizi kadhaa. Akaniuliza nataka nini nikamwambia sina shida yeyote ila kwa kuwa wamesema aliyepakwa dawa aende na mie ndo nimefika.

Akanihoji endapo ningetaka fedha kwa ajili ya shule. Nikamwambia sihitaji maana sitakuwa na jibu la kuwapa wazazi kuhusu nilipotoa. Akaniambia niweke sikio kwenye moja ya tunguli nisikilize mizimu inasemaje. Nikatega sikio huku kichwa kimemuelekea yeye hivyo siwezi kumuona. Mara nikasikia sauti zisizoeleweka nikataka kutoa sikio akanishikilia kichwa. Nikawa nahojiwa na mizimu kama inisaidie kufaulu n.k kisha nikasikia kama inasema niweke hela niliyo nayo pale. Nikageuka kwa kasi nikakuta jamaa ana microphone mdomoni ikabidi niipotezre kama sijaona kitu maana kwa watu pale. Ikabidi niseme sina hela isipokuwa mia mbili tuu. Basi nikaiweka hiyo miambili na kusepa.

Hadi leo siamini katika uganga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada wa kisouth anapitia asubuhi namuweka dawa za tumbo na jioni anapitia tena anaopata dawa ...kwa siku saba...kwa ajili ya kumtoa mikosi na uchawi uliopo tumboni mwake..hiyo ni baada ya kumuwekea yai lenye nywele , damu,nyuzi za nguo,sindano na vipande vya viwembe..yai tunaliunga vizuri na super glue halafu tunaliweka uji wa mshumaa...yaani kazi inafanyika kwa weledi mkubwa na hutojuwa km yai lilikatwa na kuungwa tena...ukija na yale mayai yako tuliyokuagiza...tunakwambiya weka mkono kwenye mayai yale NUIA SHIDA ZAKO...baadae ndy tunakubadilishia moja ktk yale mayai 3....then tunakwambiya uvunje yale mayai ,ndy hapo utakapokutana na yai lenye uchafu wa viwembe,damu,nyuzi za nguo,sindano,Basi hapo ndy anapoanza kuchanganyikiwa MDADA wa watu....kama ni mzuri na unamtaka UMTAFUNE ndy hapo unampa masharti..kwamba sababu karogwa,,na ana UCHAFU ndani ya tumbo la uzazi,inabidi awekwe DAWA ambayo itakuwa inawekwa kwenye UUME wa mwanaume YEYOTE lakini sio MUMEWE au MPENZI wake...unamtengenezea mazingira ya ugumu wa kupata mtu wa kumuingiza dawa. .mwishowe anakwambiya MGANGA NISAIDIE PLZ..ndy hapo dawa inapoanza kuwekwa kwake kwa njia ya MGEGEDO....hadi siku 7 zikifika za doze...mshakuwa wapenzi....hakauki kwa mganga hadi kero..maana nataka nitoe doze kwa wengine yeye anakomaa tu....basi mkuu kuna mengi sn tumepitia ktk kutafuta. Na zipo mbinu nyng za kudanganya watu na sio mganga wa kweli.....uongo tu
Duuhh " hahaha hii Kali .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nahisi kwa kuwa wenzetu kwenye historia yao (ulaya) kuna kipindi walichomaga uchawi wote (crusades) na wahisiwa uchawi walichomwa moto karibia wote...kwahiyo booster kule hazina power kivile

Sent using Jamii Forums mobile app
ukweli ni kwamba licha ya vipaji walivyonavyo vya kucheza mpira lakini ushirikina unatumika kupata mafanikio zaidi kwenye soka.
 
Dooh nimegundua waenda kwa waganga wengi kumbe ni wanaume,kumbe nanyi mmo lkn hamvumi ,Mungu tuepushe na wanaume wa namna hii lol[emoji23][emoji2]
Kuna WASHIRIKINA(wanaume ni wengi) na WACHAWI (wanawake ni wengi na ndo wanaoongoza)
 
Back
Top Bottom