Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

Ila waganga bana wametusaidia sana sie wafanya biashala nakumbuka kuna kipindi biashala zilikuwa haziendi na kila ukiingiza hela unaona imepotea yani hujui hata hela inapopotelea unatoa hela sehemu unaingiza kwenye biashala zako ila ndio kwanza inakata mtaji basi ndio nikaenda sehemu kwaa mara ya kwanza nikaambiwa nikatafute nywele za kichaa nikaenda nikamchukua kichaa mmoja hivi nikampeleka saloon hapo nikapata nywele zake nikapeleka basi zile nywele zikachanganywa na madawa mengi nikapewa kichupa chenye maji yaliyochanganyika na nywele zile niweke kwenye biashala yule mganga aliniambia wakati kichaa akiwa anatembea na ndio biashala yako itakuwa inaenda na kweli bana nilipofika niliweka ile chupa sehemu inayotakiwa ndani ya siku kadhaa kuanzia siku ile nilipiga biashala we ogopa hujafungua biashala ila watu wanakungoja ww tu dah ndio mana mimi naedelea kuwaheshimu waganga na sio wachungaji wala masheh mana sina faida nao.Acha wanaosema sijui hawajawahi kwenda au kuwa waganga waongo waendelee tu ila mimi siachi madhari kila nalofanya linakwenda
 
Hahaha tunawaangalia tu wanaojifanya oooh sijui waganga siwajui mara tangunnizaliwe sijawahinkwenda kwa waganga na porojo nyiiiingi..Inawezekana ambao hawajaenda kwa waganga wamo kweli ila sio hawa wanaojifaragua humu.

By the way kuna matatizo mengi ktk hii dunia ambayo huwapeleka watu kwa waganga mfano mm mdogo wangu anayenifuata alikuwa anakojoa mpaka kafika darasa la 7 mpaka bimkubwa akakonda akiwaza mwanangu akifaulu itakuwaje??hana uhuru wa kuwatembelea ndugu kwa kuhofia manyanyaso ya ukikojozi ss kuna jamaa mmoja ni mtaalamu wa mitishamba akamwambia bimkubwa mama mbona hilo ni tatizo dogo sana..

Akamwambia tafuta kuku mmoja mchinjeni mkishamkatakata nyie nyama kuleni ila mm niletee yale maji mliyooshea nyama.Bimkubwa akaona utakuwa sio uungwana akachukua kuku mzima akafunga safari na dogo moaka kwa huyo mtaalamu,ile kufika jamaa akamuuliza mbona mmekuja na kuku sasa maza akajibu hapana nimeona itakuwa vizuri tukaja tukamla wote tu.Jamaa akachinja kuku yulle wakaosha nyama jamaa akamwambia mkewe apike pilau yy akachukua maji na kufanya utaalamu wake kisha akampa binkubwa dawa aliyotengeneza na maelekezo yake kisha pilau na kuku vikatengwa mezani wakala wakaenjoy wote kisha mama akaaga na kuondoka na dogo..

Baada ya kutumia dawa siku ya kwanza dogo akakojoa kidogo siku ya pili hakukojoa siku ya tatu hakukojoa siku ya nne hakukojoa bimkubwa akaona huu utani isije kuwa dogo anamzingua akaenda kukagua kweli hata harufu hakuna siku ya tano,sita,aabahakukojoa bimkubwa akampigia simu yule mtaalamu jamaa kwa kujiamini akamwambia mama hiyo ndo aafari hapo kaishaoona usijali huzuni yako imeisha ia wala sihitaklji malipo yoyote toka kwako nimemsaidia mdogo wangu basi bimkubwa huzuni yote ikayeyuka.Sasa hapa unakuta mtu anajificha eti sijawahi kwenda kwa mganga ili aonekane wa kisasa wakati kumbe kuna matatizo mengine ya msingi tu.SHAME ON THOSE WHO HIDETHEMSELVESkuwa hawajawahi kwenda kwa qaganga ilhali wameshaenda mara kibao tena wengine wanaenda kuroga kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Siri kubwa ya mafanikio hapa ulimwenguni ni ushirikina/ nguvu za giza , sema kikundi flan cha watu kinataka kiwapumbaze watu kwa kuwaaminisha kwenda kwa waganga ni dhambi au laana Sijui , wakati wenyewe ndo washirikina wakubwa, tena wengine uchawi wao wa kutisha, ila kwenye jamii wanaonekana wacha mungu , wanasaidia jamii ila ndani ni mbwa mwitu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ila waganga bana wametusaidia sana sie wafanya biashala nakumbuka kuna kipindi biashala zilikuwa haziendi na kila ukiingiza hela unaona imepotea yani hujui hata hela inapopotelea unatoa hela sehemu unaingiza kwenye biashala zako ila ndio kwanza inakata mtaji basi ndio nikaenda sehemu kwaa mara ya kwanza nikaambiwa nikatafute nywele za kichaa nikaenda nikamchukua kichaa mmoja hivi nikampeleka saloon hapo nikapata nywele zake nikapeleka basi zile nywele zikachanganywa na madawa mengi nikapewa kichupa chenye maji yaliyochanganyika na nywele zile niweke kwenye biashala yule mganga aliniambia wakati kichaa akiwa anatembea na ndio biashala yako itakuwa inaenda na kweli bana nilipofika niliweka ile chupa sehemu inayotakiwa ndani ya siku kadhaa kuanzia siku ile nilipiga biashala we ogopa hujafungua biashala ila watu wanakungoja ww tu dah ndio mana mimi naedelea kuwaheshimu waganga na sio wachungaji wala masheh mana sina faida nao.Acha wanaosema sijui hawajawahi kwenda au kuwa waganga waongo waendelee tu ila mimi siachi madhari kila nalofanya linakwenda
Mkuu shida hutoi connection

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Allah anistiri saana nisifike huku kwa kweli! Mara zoote namuomba allah anikinge na roho ya kishirikina kwa kweli, kuingia rahisi ila kutoka huko mtihani.

Kuna mitihani mtu inakufika, unakosa pa kushika, kwangu mungu ndio kimbilio pekee, najua katika huo mtihani pia kuna mtihani wa subira upo juu yake, lazima niwe na subira, nikijiuliza kwa mema gani hasa ninayofanya kiasi anijibu haraka haraka hivyo huwa sioni, hivyo nakuwa mpole nikijibidiisha kumuomba anivue hayo majanga.
Najua kila jambo ni mtihani lazima nifaulu ama nifeli(yaani nishukuru ama nikufuru) so huwa natembea humu.

Sisemi mie mwema saana ama sikosei, kuna yangu mabovu nayabananga(namuomba allah anistiri nadhani nikipata mke nitakuwa nimeanikiwa kwa kiasi kikubwa kuepukana na majanga yangu), ila hili la shiriki najitahidi zaidi nisiyabanange. Nimeona watu wangu kadhaa waliolowea katika mambo haya, ushirikina miyeyusho.
Wewe pekee ndio umenivutia Sana Reply yako, Allah ndio kila kitu NDUGU. nimeipenda Sana Tena Sana natamani ata kulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe pekee ndio umenivutia Sana Reply yako, Allah ndio kila kitu NDUGU. nimeipenda Sana Tena Sana natamani ata kulia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Allah atustiri ndugu yangu, sisi ni viumbe dhaifu mnoo, tunamkosea kila uchwao, tujibidiishe kwake, tutende mema zaidi na zaidi! Allah atusamehe pale tunapokosea, atujaalie mwisho mwema mzee.
🤲🏾
 
Naona umeamua kujisifu kwa kumroga batuli. Yatakurudia tu wewe na mapacha wako [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent From Galaxy S9
 
Hahaha tunawaangalia tu wanaojifanya oooh sijui waganga siwajui mara tangunnizaliwe sijawahinkwenda kwa waganga na porojo nyiiiingi..Inawezekana ambao hawajaenda kwa waganga wamo kweli ila sio hawa wanaojifaragua humu.

By the way kuna matatizo mengi ktk hii dunia ambayo huwapeleka watu kwa waganga mfano mm mdogo wangu anayenifuata alikuwa anakojoa mpaka kafika darasa la 7 mpaka bimkubwa akakonda akiwaza mwanangu akifaulu itakuwaje??hana uhuru wa kuwatembelea ndugu kwa kuhofia manyanyaso ya ukikojozi ss kuna jamaa mmoja ni mtaalamu wa mitishamba akamwambia bimkubwa mama mbona hilo ni tatizo dogo sana..

Akamwambia tafuta kuku mmoja mchinjeni mkishamkatakata nyie nyama kuleni ila mm niletee yale maji mliyooshea nyama.Bimkubwa akaona utakuwa sio uungwana akachukua kuku mzima akafunga safari na dogo moaka kwa huyo mtaalamu,ile kufika jamaa akamuuliza mbona mmekuja na kuku sasa maza akajibu hapana nimeona itakuwa vizuri tukaja tukamla wote tu.Jamaa akachinja kuku yulle wakaosha nyama jamaa akamwambia mkewe apike pilau yy akachukua maji na kufanya utaalamu wake kisha akampa binkubwa dawa aliyotengeneza na maelekezo yake kisha pilau na kuku vikatengwa mezani wakala wakaenjoy wote kisha mama akaaga na kuondoka na dogo..

Baada ya kutumia dawa siku ya kwanza dogo akakojoa kidogo siku ya pili hakukojoa siku ya tatu hakukojoa siku ya nne hakukojoa bimkubwa akaona huu utani isije kuwa dogo anamzingua akaenda kukagua kweli hata harufu hakuna siku ya tano,sita,aabahakukojoa bimkubwa akampigia simu yule mtaalamu jamaa kwa kujiamini akamwambia mama hiyo ndo aafari hapo kaishaoona usijali huzuni yako imeisha ia wala sihitaklji malipo yoyote toka kwako nimemsaidia mdogo wangu basi bimkubwa huzuni yote ikayeyuka.Sasa hapa unakuta mtu anajificha eti sijawahi kwenda kwa mganga ili aonekane wa kisasa wakati kumbe kuna matatizo mengine ya msingi tu.SHAME ON THOSE WHO HIDETHEMSELVESkuwa hawajawahi kwenda kwa qaganga ilhali wameshaenda mara kibao tena wengine wanaenda kuroga kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unataka tuseme tumeenda kwa waganga wakati hatujawahi kwenda. Kwani nikidanganya nafaidika nini? Kwa hiyo stories za humu wewe huziamini au hii ya kwenda/kutokwenda kwa waganga ndio unaona ina walakini?

Jaribu kufikiria vinginevyo, sio kila mtu atafanya unachofanya wewe. Ukijua hilo hutakuja na conspiracy theories za namna hii.
 
Sasa unataka tuseme tumeenda kwa waganga wakati hatujawahi kwenda. Kwani nikidanganya nafaidika nini? Kwa hiyo stories za humu wewe huziamini au hii ya kwenda/kutokwenda kwa waganga ndio unaona ina walakini?

Jaribu kufikiria vinginevyo, sio kila mtu atafanya unachofanya wewe. Ukijua hilo hutakuja na conspiracy theories za namna hii.
Mkuu mm sipingi kuna ambao kweli hawajawahi kwenda kwa waganga kweli ila kuna ambao wanaongopa humu hasa hawa wafanyabiashara ndo sipendi kuwaamini ht kidogo..

Kinachonijeraga ni pale mtu anaposhahadia uongo ilhali ktk uhalisia ni mfuasi mzururi wa huo upande..

By the way sie tuliozaliwa bara wengine sometym huwa wanapelekwa na familia zaoyaani wazazi na ni tamaduni za kawaida hasa ktk matatizo ya kikawaida ila wakishakuja mjini utasikia wanavyoponda hizo imani zao..

Binafsi niliwahi kuvutiwa na dawa flani ya kinga ya mwili inaitwa Kinkuti kwa wale wa kanda ya magharibi wanaijua ila nilipofika kwa mtaalamu akaniambia ananichanja ktk maungio yote ya mwili wangu dah nilinyong'onyea na kuahirisha nikihofia kuonekana mwanga machale kila sehemu ila njilaumu sababu ss hv naona umri sio rafiki tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unataka tuseme tumeenda kwa waganga wakati hatujawahi kwenda. Kwani nikidanganya nafaidika nini? Kwa hiyo stories za humu wewe huziamini au hii ya kwenda/kutokwenda kwa waganga ndio unaona ina walakini?

Jaribu kufikiria vinginevyo, sio kila mtu atafanya unachofanya wewe. Ukijua hilo hutakuja na conspiracy theories za namna hii.


Boss watu tuna stress acha tutoe kwa namna yoyote itupendezayo🤣🤣🤣hatari sana
 
Back
Top Bottom