OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
wamekuroga mpaka umekosea jinaWatu kama nyinyi mnaonekana mnapenda sana Mambo ya samonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamekuroga mpaka umekosea jinaWatu kama nyinyi mnaonekana mnapenda sana Mambo ya samonga
ulidumu nae??KUNA DEMU ALIKUWA ANANISUMBUA SANA. BIBI YANGU AKANIPA DAWA YA KUOGA. MAAJABU YULE BINTI ALINIPENDA MNO...
WAGANGA WAPO ILA WENG MATAPELI
hata bata hawaagiz!!Kwanini MGANGA WA KIENYEJI HAKUAGIZI SAMAKI???
Tuanzie hapo kwanza[emoji1321]
No zake tqfadhaliDada mmoja alikuwaga anajifanya mjanja sana eti atongezeki anajifanya clasic, nikabet na jamaa kuwa uyu miye napiga na atakuwa mtumwa kwangu jamaa akasema siwezi basi nikamwambia nikipiga unanipa nini akasema atalipa chumba cha guest siku mbili gharama za chakula maradhi nk itakuwa juu yake, tukakubaliana hiyo pesa ampe mtu ashike, basi jamaa akatoa laki tatu na nusu akampa mwenzetu mmoja hivi, miye nikawaza nikasema uyu dada analinga sana sasa dawa kupiga ndele tu nikaingia mtaa wa pill kwenye kijiwe cha kahawa nikaleta hoja kama kuchikoza mjadala eti jamani hivi mtu tunaweza kwenda kwa mganga muweka sawa mwanamke mkatoka naye kimapenzi nilifanya kusudi ili mzee atakayesema hayo mambo yapo nimbishie ili akisema yanawezekana nimfutae anipeleke uko nikamuweke sawa uyu Dada
Kweli bwana mzee moja akasema mbona kazi ndogo shilingi elfu kumi tu kwa mzee hamdani ukimpa akikutengenezea sawa uyo mwanamke atakutafuta kila siku
Nikasema mzee nipeleke mzee akanipeleka kweli bwana yule Dada nilimgegeda balaa akawa mtumwa wangu na ile laki tatu na nusu ya ubishi ilitumika kugharamia show mzima guest chakula malazi
NielekezeChombo kipo hapo Handeni kijiji cha misima
Hukuchukua noKiukweli mie nilikuwa kati ya watu wazito kuamini hayo mambo!
Kuna kipindi nikawa desperate sanaMume wangu alikua na kesi imelala upande wake,
Basi shogaangu akaniitia babu mmoja, yule babu akasoma wee akachukua maji akayafanyia mambo yake, kisha akaondoka!
Ile kesi iliisha kipuuzi sana
Yule babu aliomba ela ya sigara nikampa 10,000 akarejesha 9,000
Ila mpaka leo sielewi kama ni uganga ama sheria ilimaliza ile kesi
NoMimi binafsi nimekulia kwenye familia ya dini. Na toka nipo mdogo , nilishawahi kukiri, hata itokee nini kwenye haya maisha, Siwezi kumuacha Bwana Yesu , Kwani yeye Ndio kila kitu kwangu , hakuna kinachomshinda.
Na siku zote nikiona mtu akizungumzia masuala ya kwenda kwa mganga Sijui nilikua namuonaje, yani nilikua nawaona waswahili, hawajenda shule na nilikua Naona wanapoteza muda kufanya huo upuuzi. Inshort nikikuona una mambo ya kishirikina nakutenga na kukukwepa kama ukoma.
Ila Maisha yana siri nzito sana, Na hapa duniani binadamu tumeumbiwa mitihani mizito sana, Mitihani ambayo unafikia hatua kabisa unakiri kwa nafsi yako Mungu hayupo, na kama yupo basi sio kwa ajili yako, Yupo kwa ajili ya watu wengine.
Nakumbuka nilipata changamoto za maisha, nilijitahidi kuomba na kufunga kutokana na dini yangu , kwa kweli nilisimama imara sana na Dini yangu , nilimwabudu Mungu katika roho na kweli. Kama nilivyosema, binadamu tumeumbiwa changamoto kubwa sana hapa duniani, kuna matatizo mengine yanakupelekea kufanya mambo ambayo toka uzaliwe hujawahi kufikiria kuwa utakuja kufanya. Nikatubu kwa Mungu na kuvunja laana zote za ukoo zinazonitesa, pia bado ikagonga mwamba .
Nilikata tamaa sana , niliomba na kulia kwa Mungu anisaidie lakini Mungu hakunisikia. Nikajiuliza Mungu kuna watu hawakujui wewe, hawana muda na nyumba za Ibada, na maisha yao wamejaa furaha tele, wanaishi maisha ya anasa, mambo yao yanawaendea vizuri, wanafanya uchafu wote hapa duniani, Mimi nimeamua kukukimbilia Wewe bado unaniaibisha, mpaka inafikia hatua watu wanakutukana Mungu wako yuko wapi ? unajifanya mlokole kila siku kanisani na mambo yako hayaeleweki.
Kwa kweli kama binadamu, ilifikia stage nikasema NIMECHOKA, Ndipo ikanibidi nitafute njia mbadala ya kuweza kutatua changamoto zangu Sugu iliyonisumbua kwa mda mrefu. Nakumbuka usiku nilioamua kuwa ngoja niende kwa mganga, nililia sana , Kwani nilikua sitaki kabisa kufanya hivyo, nililia kama mtoto mdogo. Ila nilivyomaliza kulia, uchungu wote ukaisha na sikujutia chochote kuhusu maisha yangu mapya niliyoamua kuyachagua.
Tofauti na watu wengine ambao huangaika huku na kule kutafuta waganga, Mimi naweza kusema nilipata bahati, Kwani nilipata rafiki ambayo alikua anafanya sana hayo mambo , so alikua anajua waganga wengi sana kuanzia kigoma, pemba, Mbeya , Tanga na sehem nyingine nyingi.
Sijui niseme ni shetani alikua ameniingia, wakati naenda kwa mganga kwa mara ya kwanza, moyo wangu ulijawa na furaha sana, na nilikua nimeshaamini kuwa ntaenda kufanikiwa Tatizo langu . Yani moyo ulikua mwepesi na kujisemea pengine huku Ndipo nilipotakiwa kwenda miaka yote hiyo, Sijui kwa nini nilikua napoteza mda kwenda kanisani.
Basi safari yangu ya kwenda kwa waganga ikaanzia hapo, na niseme tu , mambo yangu kweli yalibadilika, na kwenda kwa waganga ndo ikawa kama fashion kwangu. Na niweze kusema tu toka nimeanza kujihusisha na ushirikina ni miaka mitatu sasa , na hakuna hata siku ambayo nimewahi kujuta wala kutamani nilipotoka.
Je na wewe ilikuaje mara yako ya kwanza kwenda kwa waganga? Nini kilikusukuma?View attachment 1431306View attachment 1431307View attachment 1431308
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mm naomba noWaliowahi kuja Msata Kilingeni wajitokeze hapa [emoji144][emoji144][emoji144]
Jr[emoji769]
Naomba noNakumbuka nilimtia mimba Binti wa mkuu wa kambi (naiweka kapuni) sintosahau kwani niliamua kuacha kazi ya ujeda baada ya kutonywa kwamba ishu boss anaijua yote baada ya binti kubanwa.
Nilipofika home wazee waligundua sipo sawa nikafunguka mzee mmoja akacheka sana akasema yaani unataka kuacha kazi kwa jambo dogo hivi?
Wakanambia kazini nitarudi bila Shida kesho yake nikawekwa mtu kati nikaombwa majina ya baba na bintiye nikachanjwa hadi kwenye masaburi yaani yule Mzee alinipiga wembe karibu kabisa na jicho hadi nikajisemea Leo Tigo haiponi.
Mwisho nikapewa unga flani nikamwage nyumbani na ofisini huwezi amini yule boss alifumwa na mkewe akimla yule bintie mjamzito!
ugomvi uliisambaratisha kabisa familia kwani mama alimwambia mmewe kumbe anasingizia watu wengine akati mimba ni yake.
Yule boss ile scandal ilimstaafisha kwa manufaa ya umma. Baadae nikahamishiwa makao nacheo juu. Lakini huwa nikwaza nafika mbali sana.
Ukipata no unipeYuko wapi hyo mwamba, duh
Ova
1.Naomba kujua nini tofauti ya mganga na mchawi?Kama ni kweli hujawahi kukanyaga huko ni vizuri sana! Endelea kushikilia msimamo huohuo ila maisha hayana formula na hujafa hujaumbika
Mimi niliwahi kukanyaga mara moja baada ya kushawishiwa na Bibi yangu mzaa mama, ilikua ni ishu ya kajibiasharaKama ni kweli hujawahi kukanyaga huko ni vizuri sana! Endelea kushikilia msimamo huohuo ila maisha hayana formula na hujafa hujaumbika
sijui namna ya ku PM ila na mimi nina linalofanania na hiloPoa mkuu mm jamaa yuko vizuri sana wala simpigii promo vitu vyake anakufanyia vinatik then unamlipa, yapo mengi siwezi expose humu, ni pm
Mkuu wengine sasa hatujui namna ya ku PMPoa mkuu mm jamaa yuko vizuri sana wala simpigii promo vitu vyake anakufanyia vinatik then unamlipa, yapo mengi siwezi expose humu, ni pm
Hello nisaidie namba ya uyo mgangaKuna rafiki mmoja ni mtu mkubwa mahali fulani yy anapingana sana na mambo ya waganga kwani kakulia kwenye imani kali ya kisabato, mwaka jana mwezi wa tatu wakapanga kumuondoa kwenye cheo alichokua nacho bodi ikakaa na yy akajulishwa alivyoona maji yako shingoni akaniomba nifanye juu chini kama kuna uwezekano tumnusuru, so tukaenda tabora kwa fundi mmoja hv yy hafanyi kazi mchana ni usiku alitupokea akasema tumsubiri babu atakuja saa tatu usiku, ilipofika saa tatu tukimsubiri huyo babu mara akatwambia tuingie ndani kwenye kichumba kdogo chenye mlango wa bati, tulipoingia akatuambia babu atakapokuja kuja tusiigope, du akachoma Ubani na kuanza kuongea ghafla tukaanza kumuona yeye mwenyewe akibadilika na kuwa kibabu yaan tulitoka nduki kwa uoga, baadae mkewe akasema huyo ndo babu yule aliyewapokea ni mjukuu wake ila akianza kazi anakua ni babu, alimfanyia kazi huyo rafk yangu kaz moja ya kibabe mno na alisema asilipwe kwanza mpaka tuone matokeo, yaani tunaamka asubuhi jamaa uamuzi ukatenguliwa akarudishwA KWenye cheo chake, kuna watu walifanya sherehe kabla, kusikia jamaa anarudi hawakuamini macho yao, baada issue kukaa vizur jamaa slumps1.5m,
Hello nisaidie namba ya uyo mgaKuna rafiki mmoja ni mtu mkubwa mahali fulani yy anapingana sana na mambo ya waganga kwani kakulia kwenye imani kali ya kisabato, mwaka jana mwezi wa tatu wakapanga kumuondoa kwenye cheo alichokua nacho bodi ikakaa na yy akajulishwa alivyoona maji yako shingoni akaniomba nifanye juu chini kama kuna uwezekano tumnusuru, so tukaenda tabora kwa fundi mmoja hv yy hafanyi kazi mchana ni usiku alitupokea akasema tumsubiri babu atakuja saa tatu usiku, ilipofika saa tatu tukimsubiri huyo babu mara akatwambia tuingie ndani kwenye kichumba kdogo chenye mlango wa bati, tulipoingia akatuambia babu atakapokuja kuja tusiigope, du akachoma Ubani na kuanza kuongea ghafla tukaanza kumuona yeye mwenyewe akibadilika na kuwa kibabu yaan tulitoka nduki kwa uoga, baadae mkewe akasema huyo ndo babu yule aliyewapokea ni mjukuu wake ila akianza kazi anakua ni babu, alimfanyia kazi huyo rafk yangu kaz moja ya kibabe mno na alisema asilipwe kwanza mpaka tuone matokeo, yaani tunaamka asubuhi jamaa uamuzi ukatenguliwa akarudishwA KWenye cheo chake, kuna watu walifanya sherehe kabla, kusikia jamaa anarudi hawakuamini macho yao, baada issue kukaa vizur jamaa slumps1.5m,
Hello nisaidie namba yako nataka kusaidia na uyo mganga wa taboraNgoja sku nikienda nitamrekodi kwa siri then nitaiiweka humu mm binafsi namkubali asilimia mia kwani kazi nilizompa zote zilikwenda kama nilivyotaka, kuna kipind nilikua na kesi tukafanya mambo wale jamaa hawakukanyaga mahakamani hadi kesi ikafutwa,