Kwa wale tunaofuatilia Masuala ya Kijeshi kimataifa naomba ufafanuzi wa hili

Kwa wale tunaofuatilia Masuala ya Kijeshi kimataifa naomba ufafanuzi wa hili

OCCID Dominik

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2024
Posts
218
Reaction score
395
Habari ya wakati huu nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano🖐️🖐️🖐️,

Isee kwa wale mnaofuatilia au kufahamu maswala ya kijeshi kuna jambo huwa naliona ama kulisikia linanichanganya nisijue why.

Ipo hivi ni kwanini jeshi la ulinzi la Marekani hupenda kutumia kamandi ya wanamaji (MARINE FORCE) katika utekelezaji wa operation zake nyingi nowdayz tofauti na kipindi cha nyuma. Tumezoea nchi nyingi duniani kunapotokea operation mbalimbali wanatumia kamandi husika kutokana na mazingira wanayokwenda. Mfano katika opresheni ya kumkamata osama na kikundi chake ilitakiwa waende ARMY (kamandi ya ardhini) ila wakaenda Wanamaji.

Vipi huwa kuna ajenda ya siri au ni kuwachanganya maboya manaake ninachoamini marine wapo specialized zaidi baharini kuliko infantry ambao medani za nchi kavu ndo pao Japo sikatai huwa wanafanya poa tu.

KARIBUNI TUPEANE UMBEA

Pichani ni mfano wa sare za askari wa marine na nchi kavu kwa wasiojua tofauti ya sare zao.

1000w_q95.jpg
800px-ArmyacuOCP.jpg
 
Marine kwa marekani, sio jeshi la maji,

Marine Ni jeshi la wanajeshi makomando Maalum (elite forces) waloiva wenye mafunzo ya ziada.

Ni Kama ilivyo seal team, Delta force, SWAT n.k

Jeshi la marekani la majini linaitwa NAVY
 
Habari ya wakati huu nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano🖐️🖐️🖐️,

Isee kwa wale mnaofuatilia au kufahamu maswala ya kijeshi kuna jambo huwa naliona ama kulisikia linanichanganya nisijue why.

Ipo hivi ni kwanini jeshi la ulinzi la Marekani hupenda kutumia kamandi ya wanamaji (MARINE FORCE) katika utekelezaji wa operation zake nyingi nowdayz tofauti na kipindi cha nyuma. Tumezoea nchi nyingi duniani kunapotokea operation mbalimbali wanatumia kamandi husika kutokana na mazingira wanayokwenda. Mfano katika opresheni ya kumkamata osama na kikundi chake ilitakiwa waende ARMY (kamandi ya ardhini) ila wakaenda Wanamaji.

Vipi huwa kuna ajenda ya siri au ni kuwachanganya maboya manaake ninachoamini marine wapo specialized zaidi baharini kuliko infantry ambao medani za nchi kavu ndo pao Japo sikatai huwa wanafanya poa tu.

KARIBUNI TUPEANE UMBEA

Pichani ni mfano wa sare za askari wa marine na nchi kavu kwa wasiojua tofauti ya sare zao.

View attachment 3039495View attachment 3039496
Sijui niandike nini au basi

USSR
 
Marines ni kitengo maalumu cha jeshi la marekani cha makomandoo waliofunzwa mafunzo yote kwa mpigo wamefunzwa vita ya majini,nchi kavu na angani

Kwa hiyo kukiwa na operation ambayo yaweza hitaji combination ya kupigana hutuma Marines

Askari wengine wako wa ardhini tu wengine wa majini tu na wengine wa angani tu
Marines ni tofauti .Wanaweza yote hayo na mafunzo yao ni ya kufa mtu
 
operesheni ya kumkamata Osama bin Lade wana maji walitumika kwa sababu eneo lilikuwa Pakistan, nchi yenye mipaka ya bahari. Waliweza kutumia meli zao kufikia eneo na kutekeleza shambulio kwa urahisi.
Kwa hiyo unataka kusema hawa wanatumiwa kwa kuwa watapiga kote kote?
 
Marine kwa marekani, sio jeshi la maji,

Marine Ni jeshi la wanajeshi makomando Maalum (elite forces) waloiva wenye mafunzo ya ziada.

Ni Kama ilivyo seal team, Delta force, SWAT n.k

Jeshi la marekani la majini linaitwa NAVY
Kaka pasi na shaka hapa unacomment na kijana mfuatilivu haswaa wahaya mambo,kwa mantiki yako unataka kusema marine ni kamanda(jeshi) maalumu? Maana nimekujia hivi baada ya kuona umetoa mifano DELTA FORCE na SWAT,sikupingi,sababu unapozungumzia SWAT ni kikosi maalumu cha polisi wa Marekani sawa na kibongobongo FFU(CRT) ni tofauti ya ubora tuu kidogo,japo my point sio kuongelea SWAT,si ndiyo?
 
Marines ni kitengo maalumu cha jeshi la marekani cha makomandoo waliofunzwa mafunzo yote kwa mpigo wamefunzwa vita ya majini,nchi kavu na angani

Kwa hiyo kukiwa na operation ambayo yaweza hitaji combination ya kupigana hutuma Marines

Askari wengine wako wa ardhini tu wengine wa majini tu na wengine wa angani tu
Marines ni tofauti .Wanaweza yote hayo na mafunzo yao ni ya kufa mtu
Ok nimepata elimu,ila mnapobugi ni kusema MAKOMANDOO,sema ni kitengo maalumu cha wanajeshi wenye combinations ya ardhi,anga na maji.ukishasema makomandoo kijeshi wapo wa aina moja tuuu(special force).
 
Back
Top Bottom