Kwa wale tunaofuatilia Masuala ya Kijeshi kimataifa naomba ufafanuzi wa hili

Kwa wale tunaofuatilia Masuala ya Kijeshi kimataifa naomba ufafanuzi wa hili

Habari ya wakati huu nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano🖐️🖐️🖐️,

Isee kwa wale mnaofuatilia au kufahamu maswala ya kijeshi kuna jambo huwa naliona ama kulisikia linanichanganya nisijue why.

Ipo hivi ni kwanini jeshi la ulinzi la Marekani hupenda kutumia kamandi ya wanamaji (MARINE FORCE) katika utekelezaji wa operation zake nyingi nowdayz tofauti na kipindi cha nyuma. Tumezoea nchi nyingi duniani kunapotokea operation mbalimbali wanatumia kamandi husika kutokana na mazingira wanayokwenda. Mfano katika opresheni ya kumkamata osama na kikundi chake ilitakiwa waende ARMY (kamandi ya ardhini) ila wakaenda Wanamaji.

Vipi huwa kuna ajenda ya siri au ni kuwachanganya maboya manaake ninachoamini marine wapo specialized zaidi baharini kuliko infantry ambao medani za nchi kavu ndo pao Japo sikatai huwa wanafanya poa tu.

KARIBUNI TUPEANE UMBEA

Pichani ni mfano wa sare za askari wa marine na nchi kavu kwa wasiojua tofauti ya sare zao.

View attachment 3039495View attachment 3039496
Mkuu kuna Navy Seal, 75th Ranger Combat. Marine si jeshi la maji tu kama jina lilivyo bali linapiga mission kibao coz ni highly trained. Nadhani jina Marine ndilo linatuzinguaga lakini kumbuka kuna Navy pia kama nilivyotaka hapo juu.
 
Mkuu kuna Navy Seal, 75th Ranger Combat. Marine si jeshi la maji tu kama jina lilivyo bali linapiga mission kibao coz ni highly trained. Nadhani jina Marine ndilo linatuzinguaga lakini kumbuka kuna Navy pia kama nilivyotaka hapo juu.
Yeahnavy nawapata
 
Marines ni sawa na SEAL ila tu SEAL ni High Class wakati United States Marine Corps ni Basic SEAL training, wao hushambulia kwa kutegemea wingi wao na support kubwa ya silaha. Ndiyo maana Marines unaweza kuwaona hata Ubalozi wa USA wakiwa wanalinda wakati SEAL wao ni wazee wa Kazi sawa na Commando.

Comparing the difficulty of training and the roles of the Marine Corps, Navy SEALs, and Green Berets is a complex matter, as each of these military branches has its own unique challenges and requirements. Here's a brief overview of each:

  1. Marine Corps: The United States Marine Corps is a branch of the U.S. military known for its rigorous training and demanding physical standards. Marines undergo tough basic training at boot camp, which is designed to instill discipline, physical fitness, and mental toughness. Marines are known for their proficiency in combat and their ability to operate in diverse environments.
  2. Navy SEALs: The Navy SEALs are a special operations force within the U.S. Navy. SEAL training, also known as Basic Underwater Demolition/SEAL (BUD/S) training, is widely regarded as one of the most challenging military training programs in the world. SEAL candidates undergo grueling physical and mental challenges, including Hell Week, a week-long period of intense training with minimal sleep. SEALs are trained for special operations missions, including counter-terrorism, direct action, and reconnaissance.
  3. Green Berets: The Green Berets are members of the U.S. Army Special Forces, known for their expertise in unconventional warfare, foreign internal defense, and special reconnaissance. Green Beret training, also known as the Special Forces Qualification Course (Q-Course), is a physically and mentally demanding program that emphasizes language proficiency, cultural understanding, and specialized skills. Green Berets are trained to work with partner forces in a variety of environments around the world.
In terms of sheer physical demands, Navy SEAL training is often considered the most physically challenging among these three branches. However, the difficulty of training is subjective and can vary depending on individual strengths, weaknesses, and personal experiences. Each branch has its own unique set of challenges and requirements, and what may be difficult for one individual may not be as challenging for another.
C&P: Which is harder: Marine Corps, Navy SEALs, or Green Berets?
 
Kaka pasi na shaka hapa unacomment na kijana mfuatilivu haswaa wahaya mambo,kwa mantiki yako unataka kusema marine ni kamanda(jeshi) maalumu? Maana nimekujia hivi baada ya kuona umetoa mifano DELTA FORCE na SWAT,sikupingi,sababu unapozungumzia SWAT ni kikosi maalumu cha polisi wa Marekani sawa na kibongobongo FFU(CRT) ni tofauti ya ubora tuu kidogo,japo my point sio kuongelea SWAT,si ndiyo?
Umeelezwa vizuri ila hutaki kuelewa mapema
 
operesheni ya kumkamata Osama bin Lade wana maji walitumika kwa sababu eneo lilikuwa Pakistan, nchi yenye mipaka ya bahari. Waliweza kutumia meli zao kufikia eneo na kutekeleza shambulio kwa urahisi.
Jibu lako linatengeneza swali:

Kwani vifaa vilivyotumika kwenda kumkamata si ni ndege aina ya helcopter, sasa hapo helicopter na jeshi la majini inakuwaje, unganisha dot vizuri ili jibu lipate mantiki.
 
Jibu lako linatengeneza swali:

Kwani vifaa vilivyotumika kwenda kumkamata si ni ndege aina ya helcopter, sasa hapo helicopter na jeshi la majini inakuwaje, unganisha dot vizuri ili jibu lipate mantiki.
Kuna mdau hapo juu kaaongea vizuri sana kwamba hawa wamekamilika kila idara
 
Kiingereza kiiiing.ukishasema seal team unazungumzia NAVY ambapo ni walewale wanamaji🤣🤣
Seal team sio wana maji tu usiwe mjuaji wa kipumbavu. Hiyo seal kirefu chake ni sea,air na land na SEAL TEAM 6 NI KIKOSI MAALUM CHENYE MAFUNZO MAALUM YA OPERATION ZA ARDHINI,MAJINI NA ANGANI NA NDIO KILITUMWA PAKISTAN ( ABOTTABAD) KWA GAIDI OSAMA
 
Jeshi la Marekani (U.S Military) limegawanyika katika sehemu 6
  • U.S Army (hili ndilo jeshi kuu la Marekani kwenye operation mbalimbali za kivita)
  • Marine Corps (wanapiga kazi ardhini na majini)
  • Navy (jeshi la wanamaji pia wanashirikiana bega kwa bega na vikosi vya anga inapohusu naval aviation)
  • Air Force (jeshi la anga)
  • Space Force (space operations pia kwa ajili ya space war)
  • Coast Guard (security katika domestic and int'l water)

Halafu ndani ya hayo majeshi 6 kwenye kila jeshi kuna special force kwa ajili ya special operation na wana training zao maalumu

■Special force ya U.S Navy ni SEALs. Hawa ndio walioenda kumuua Osama

■Special force ya Marine Corps ni The Marine Raider Battalions

■Special force ya Air force ni Air Force Special Warfare

Special force ya U.S Army ni the Rangers, the green Berets na the Night Stalker


 
Jeshi la Marekani (U.S Military) limegawanyika katika sehemu 6
  • Army (hili ndilo jeshi kuu la Marekani kwenye operation mbalimbali za kivita)
  • Marine Corps (wanapiga kazi ardhini na majini)
  • Navy (jeshi la wanamaji pia wanashirikiana bega kwa bega na vikosi vya anga inapohusu naval aviation)
  • Air Force (jeshi la anga)
  • Space Force (space operations pia kwa ajili ya space war)
  • Coast Guard (security katika domestic and int'l water)

Halafu ndani ya hayo majeshi 6 kwenye kila jeshi kuna special force kwa ajili ya special operation na wana training zao maalumu

■Special force ya U.S Navy ni SEALs. Hawa ndio walioenda kumuua Osama

■Special force ya Marine Corps ni The Marine Raider Battalions

■Special force ya Air force ni Air Force Special Warfare

Special force ya Army ni the Rangers, the green Berets na the Night Stalker


Nilidhani uko deep kwenye masuala ya China tu. Simple and clear
 
Kaka pasi na shaka hapa unacomment na kijana mfuatilivu haswaa wahaya mambo,kwa mantiki yako unataka kusema marine ni kamanda(jeshi) maalumu? Maana nimekujia hivi baada ya kuona umetoa mifano DELTA FORCE na SWAT,sikupingi,sababu unapozungumzia SWAT ni kikosi maalumu cha polisi wa Marekani sawa na kibongobongo FFU(CRT) ni tofauti ya ubora tuu kidogo,japo my point sio kuongelea SWAT,si ndiyo?
SWAT , SPECIAL WEAPONS AND TACTICAL.hawa ni polis maalumu wa kupambana na matishia ya ugaidi hasa hasa kutegua mabomu na vilipuzi

USSR
 
Ngoja tuwaite T14 Armata na HIMARS waje watudadavulie
Jeshi la Marekani lina branch kuu sita, ya mwisho ilianzishwa kipindi cha Trump kama sikosei.
1. US Army
2. Marine Corps
3. Navy
4. Air Force
5. Coast Guard
6. Space Force

Kuna branches zinafanana kidogo mfano US Navy na US Coast Guard zinaelekeana ila hazifanyi kazi sawa. Ingawa ukiivamia Marekani zitashirikiana, ila mfano kupigana vita mbali sijui Yemen na Taiwan hutowaona Coast Guard. Na kwenye kupambana na narcos pwani zile sijui Miami hutowaona US Navy bali DCEA wataomba assist kwa Coast Guard. Hata silaha zao ni tofauti, Coast Guard wana meli zina rangi nyeupe na nyekundu, ni meli nyepesi.

Space Force ni ndogo sana. Hizo nne za mwanzo zina uwezo wa kujitegemea kivyake kwa kiasi fulani kwenye silaha, special forces na misheni.
US Army ina jeshi lake lenyewe la anga (USAAF) hivyo haihitaji kuwaita Airforce (USAF) kwenye mission yake.
Wakati huo jeshi la maji (US Navy) lina jeshi lake la anga (Naval Air Force) ambalo hili lina idadi kubwa ya ndege kuliko ndege zote za Urusi. Ndege kama F/A-18 Super Hornet ni fightet ila inatumiwa na Navy tu, Airforce haitumii. US Navy ina jeshi lake la ardhini, US Marine Corps
Marekani inaifanya Marine Corps ni branch ya jeshi iliyo independent (kati ya 6), ila iliyo tawi la branch nyingine (Navy). Na huwa wana silaha tofauti kama bunduki, armour na weapons systems. Mfano F-35 kuna A ya Airforce, B ya Marines na C ya Navy.

Marine Corps wanaendesha zile amphibious landing crafts na hovercrafts. **** Wana missions ngumu na ndio hufa sana vitani, alafu ndio wa kwanza kutangulia kufungua njia kwenye battlefield ya mbali. Na wana mafunzo makubwa zaidi na uzoefu mzuri. Na huwa wanachukuliwa kwingineko hawaanzii Marine Corps.
*** Ndio maana wanapewa kazi za haraka zenye ugumu. Wako easily deployable na hawatumii muda mrefu kufundishwa mazingira ya ugeni.
Mwanzoni nilisema kila branch kati ya zile nne inaweza jitegemea kiasi, sasa kila branch ina special force yake. Special forces wa Navy ni SEALs (hawa wanapiga popote), wa Marines wanaitwa Raiders (hawa sanasana wanapiga Pwani kwenye mwambao tu).
Hivyo badala watumie Raiders, wanatumia SEALs. Kwanini hawatumii soecial forces za Army kama Green Berets?
Sababu Green Berets wao huwa ni special force ya muda mrefu na malengo mengi. Ukisikia jeshi la Marekani limewafundisha XXX ujue waliofundisha ni Green Berets. SEALs ni kufanya kazi ya malengo ya muda mfupi kama kuua Osama bin Laden.

Kwenye vita Raiders watavia fukwe wafe sana wafungue beachheads, SEALs watafuata wafe kwa wingi muda mfupi wamsome adui waondoke, Green Berets waje baadae ila wakae muda mrefu wakipiga misheni ngumu za rasharasha. Troops wa kawaida wapigane kila siku wao wafe mamilioni.
 
Marines ni sawa na SEAL ila tu SEAL ni High Class wakati United States Marine Corps ni Basic SEAL training, wao hushambulia kwa kutegemea wingi wao na support kubwa ya silaha. Ndiyo maana Marines unaweza kuwaona hata Ubalozi wa USA wakiwa wanalinda wakati SEAL wao ni wazee wa Kazi sawa na Commando.

Comparing the difficulty of training and the roles of the Marine Corps, Navy SEALs, and Green Berets is a complex matter, as each of these military branches has its own unique challenges and requirements. Here's a brief overview of each:

  1. Marine Corps: The United States Marine Corps is a branch of the U.S. military known for its rigorous training and demanding physical standards. Marines undergo tough basic training at boot camp, which is designed to instill discipline, physical fitness, and mental toughness. Marines are known for their proficiency in combat and their ability to operate in diverse environments.
  2. Navy SEALs: The Navy SEALs are a special operations force within the U.S. Navy. SEAL training, also known as Basic Underwater Demolition/SEAL (BUD/S) training, is widely regarded as one of the most challenging military training programs in the world. SEAL candidates undergo grueling physical and mental challenges, including Hell Week, a week-long period of intense training with minimal sleep. SEALs are trained for special operations missions, including counter-terrorism, direct action, and reconnaissance.
  3. Green Berets: The Green Berets are members of the U.S. Army Special Forces, known for their expertise in unconventional warfare, foreign internal defense, and special reconnaissance. Green Beret training, also known as the Special Forces Qualification Course (Q-Course), is a physically and mentally demanding program that emphasizes language proficiency, cultural understanding, and specialized skills. Green Berets are trained to work with partner forces in a variety of environments around the world.
In terms of sheer physical demands, Navy SEAL training is often considered the most physically challenging among these three branches. However, the difficulty of training is subjective and can vary depending on individual strengths, weaknesses, and personal experiences. Each branch has its own unique set of challenges and requirements, and what may be difficult for one individual may not be as challenging for another.
C&P: Which is harder: Marine Corps, Navy SEALs, or Green Berets?
Ok good kwa maana hiyo SEAL ni ka kitengo maalumu katika marine au Navy au hakapo boths in navy and marine?
 
Jibu lako linatengeneza swali:

Kwani vifaa vilivyotumika kwenda kumkamata si ni ndege aina ya helcopter, sasa hapo helicopter na jeshi la majini inakuwaje, unganisha dot vizuri ili jibu lipate mantiki.
Ja
Usichanganye
Marine na Navy.
Kibongobongo wanajeshi wa majini wanaitwa je,hebu nisaidie utofauti wa NAVY na MARINE
 
Jeshi la Marekani (U.S Military) limegawanyika katika sehemu 6
  • U.S Army (hili ndilo jeshi kuu la Marekani kwenye operation mbalimbali za kivita)
  • Marine Corps (wanapiga kazi ardhini na majini)
  • Navy (jeshi la wanamaji pia wanashirikiana bega kwa bega na vikosi vya anga inapohusu naval aviation)
  • Air Force (jeshi la anga)
  • Space Force (space operations pia kwa ajili ya space war)
  • Coast Guard (security katika domestic and int'l water)

Halafu ndani ya hayo majeshi 6 kwenye kila jeshi kuna special force kwa ajili ya special operation na wana training zao maalumu

■Special force ya U.S Navy ni SEALs. Hawa ndio walioenda kumuua Osama

■Special force ya Marine Corps ni The Marine Raider Battalions

■Special force ya Air force ni Air Force Special Warfare

Special force ya Army ni the Rangers, the green Berets na the Night Stalker


Isee umeua kwa 98% mkuu
 
Marine kwa marekani, sio jeshi la maji,

Marine Ni jeshi la wanajeshi makomando Maalum (elite forces) waloiva wenye mafunzo ya ziada.

Ni Kama ilivyo seal team, Delta force, SWAT n.k

Jeshi la marekani la majini linaitwa NAVY
Naam,

Navy Seal wanapewa mafunzo maalum kwa mission maalum kama zike za kumcholopoa Osama.

These are the elites of the elites.
 
Back
Top Bottom