Kwa wale tunaosubiri ajira awamu ya pili


Mkuu leo bungen wamesema wa sita huu kitaeleweka!
 
ni kweli mkuu kwa mungu hakuna linaloshindikana. Kama pia kuna wahanga au mtu yeyote ambae ana watu wa kuaminika huko wizara ya elimu na tamisemi wajaribu kuwauliza na kuweka majibu humu ili tuweze kua na uhakika zaidi

mambo yakiwawia magumu mnamkumbuka sana mungu,ila mkipata kazi ni pombe na zinaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…