Kwa wale tunaotembea na waume za watu

Not enough huyo anampenda wife wake kuliko wewe,
so tafta mme wa m2 mwingine kama ndio type unazopendelea,
n pm .
 
Ha ha ha, leo kaka ake ashadii simtaki, nina mateka wangu leo. Hivi unadhani ntakaa na kaka ake ashadii tu, lazima spare tyre iwepo.

siku unampgia kakake ashadii simu afu anaanza na swaga za niambie mpenzi, sema switie wangu, STUKA! Hapo ujue yupo kwa kongosho anachomewa udi...lol.
 
Tafuta wa kwako acha kuhangaika na waume za watu. Mwanamke mzima ovyo!
 
Usigune, say something, haya ndo maisha yetu
Hakuna kitu hapa. Ukiona mwanamke anahangaika na waume za watu ujue mwenyewe ana kasoro. Kwanza type yao ni wabaya yaani not beautiful. Mwanamke sura ka chungu lol. Mwanamme gani akuweke ndani kama siyo kukufanya kipozeo.
 
Is it?

Hakuna kitu hapa. Ukiona mwanamke anahangaika na waume za watu ujue mwenyewe ana kasoro. Kwanza type yao ni wabaya yaani not beautiful. Mwanamke sura ka chungu lol. Mwanamme gani akuweke ndani kama siyo kukufanya kipozeo.
 
Tafuta wako pengne cku atakuja kukutokea puan huyo atakuja kufia mikononi mwako ushindwe kumtoa chumbani angalia sanaaa
 
Sikujua kwamba mwizi anaweza kuweka masharti mwenye mali asitajwe. Kumbuka hata asipotajwa, mwizi utabaki kuwa mwizi tu hutakuwa na haki sawa na mwenye mali hata siku moja.

hili nalo neno!
 


Mimi ni mwekezaji natafuta eneo la kuwekeza.
 

Umejidhalilisha vya kutosha, kweli we ni NOT ENOUGH
 

Mkuu usemayo yana kaukweli fulani hapa mana biashara matangazo ati
 

Hahahahahaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…