Kwa wale tusiokuwa na makaratasi ya kukaa hapa state tupeane mbinu za kukwepa mass deporting ya huyu mzee Trump

Kwa wale tusiokuwa na makaratasi ya kukaa hapa state tupeane mbinu za kukwepa mass deporting ya huyu mzee Trump

Khanji kapoor

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2024
Posts
1,198
Reaction score
2,695
Harakati za mtu mweusi zinaendelea

Lazima tukubali bepari Trump ameshinda uchaguzi na wazungu wamepiga kura za hasira kwa mzungu wao Biden kukatazwa na kina Obama asigombee

Wazungu walikasirika Sana hata wasiokuwa na mpango wa kupiga kura wakajitokeza

Sasa tunaoishi hapa bila makaratasi tupeane mbinu za kukwepa mkono wa sheria

Je Ni county gani salama kiasi hatitafikiwa na mkono wa sheria?

Naona homa ya kusombwa itaanzia new York maama hapo ndio watu mamejazana wasiokuwa na karatasi

Kuna wapopo huwa wanachambisha wabibi wao wameamua kutelekeza geto lao wanaishi uko uko kwenye camp hawatoki ndani mpaka upepo utulie

Sehemu salama za kwenda Ni kule mashambani sema kule mizee ya kilatino Ni km imevurugwa ikiona ngozi nyeusi Ni km imeona swala muda wote unatandikw risasi

Mimi kusema kweli najiandaa kisaikolojia nataka nizamie visiwa ya carribean km Barbados nikawe mvuvi wa samaki kulko kurudishwa kule Africa ushenzini😀

Wenzetu wahamiaji kutoka ulaya na wahindi hata wahastuki

Ila sisi ngozi ya goti na ndugu zetu waarabu ndio hakukaliki

We mzee bepari mimi sirud Africa bora nizamie dege la kwenda Brazil nikazekee kule ila Africa no
 
Harakati za mtu mweusi zinaendelea

Lazima tukubali bepari Trump ameshinda uchaguzi na wazungu wamepiga kura za hasira kwa mzungu wao Biden kukatazwa na kina Obama asigombee

Wazungu walikasirika Sana hata wasiokuwa na mpango wa kupiga kura wakajitokeza

Sasa tunaoishi hapa bila makaratasi tupeane mbinu za kukwepa mkono wa sheria

Je Ni county gani salama kiasi hatitafikiwa na mkono wa sheria?

Naona homa ya kusombwa itaanzia new York maama hapo ndio watu mamejazana wasiokuwa na karatasi

Kuna wapopo huwa wanachambisha wabibi wao wameamua kutelekeza geto lao wanaishi uko uko kwenye camp hawatoki ndani mpaka upepo utulie

Sehemu salama za kwenda Ni kule mashambani sema kule mizee ya kilatino Ni km imevurugwa ikiona ngozi nyeusi Ni km imeona swala muda wote unatandikw risasi

Mimi kusema kweli najiandaa kisaikolojia nataka nizamie visiwa ya carribean km Barbados nikawe mvuvi wa samaki kulko kurudishwa kule Africa ushenzini😀

Wenzetu wahamiaji kutoka ulaya na wahindi hata wahastuki

Ila sisi ngozi ya goti na ndugu zetu waarabu ndio hakukaliki

We mzee bepari mimi sirud Africa bora nizamie dege la kwenda Brazil nikazekee kule ila Africa no
If you are OUT OF STATUS according to the USA laws, please get prepared to leave the country. Choose one: either to leave the country yourself and voluntarily or just wait for a forceful deportation by the state.
Rudini nyumbani Afrika ili mje tusaidiane kuziondoa tawala mbaya na za kidhalimu zilizopo kwenye hizi nchi za Bara la Afrika na kuligeuza Bara la Afrika kuwa MAHALI PAZURI PA KUISHI HAPA DUNIANI.
NB: Kiasili Afrika ni sehemu na/au Mahali pazuri Sana pa kuishi kwa maisha ya binadamu ISIPOKUWA tatizo lililopo ni kwamba katika nchi nyingi Sana zilizopo kwenye bara hili kuna tawala mbaya Sana za kidikteta, hence causing the mismanagement of our countries.
 
Kwa hiyo kile kibabu biden wazungu walikuwa wanataka kika gombee tena kweli maajabu hayaishi duniani yaani kinatembea kinadondoka peke yake.
Anyway mkuu hujapoteza sana rudi tu huku kuna kamala wa bongo wanataka kumpa mitano tena.
 
Ni muda muafaka sasa kurudi hapa nyumbani tuijenge TANZANIA yetu pamoja
Ukizingatia wewe una exposure ya nje utakua mchango mkubwa(ndivyo tunavyo amini)
Karibu sana home
 
Daah,haikubaliki hii
bepari Trump kashashinda
Bora nizamie visiwani Carribbean kwenye mashamba ya miwa ila sio kurudi kinondoni kule ushenzini
Wwe achaa ufala,wapi ushenzini!? Bongo kama Newyork tu, mkwanja wako tu!!,mara ya mwisho umekuja lini Nchini!!??
 
Hapo ndipo P. Didy atajiokotea! Mwaka huu mtapigwa pipe mpaka mchakae umbwa nyie! Yaani unadriki kuita Afrika kwamba ni mashenzini? Namwunga mkono Trump haki ya nani asafishe hizi takataka!
 
Wwe achaa ufala,wapi ushenzini!? Bongo kama Newyork tu, mkwanja wako tu!!,mara ya mwisho umekuja lini Nchini!!??
Umenusirika kwanza ?
nasikia magorofa yanawaangukia huko ushenzini
Hujafukiwa kweli wewe
 
Harakati za mtu mweusi zinaendelea

Lazima tukubali bepari Trump ameshinda uchaguzi na wazungu wamepiga kura za hasira kwa mzungu wao Biden kukatazwa na kina Obama asigombee

Wazungu walikasirika Sana hata wasiokuwa na mpango wa kupiga kura wakajitokeza

Sasa tunaoishi hapa bila makaratasi tupeane mbinu za kukwepa mkono wa sheria

Je Ni county gani salama kiasi hatitafikiwa na mkono wa sheria?

Naona homa ya kusombwa itaanzia new York maama hapo ndio watu mamejazana wasiokuwa na karatasi

Kuna wapopo huwa wanachambisha wabibi wao wameamua kutelekeza geto lao wanaishi uko uko kwenye camp hawatoki ndani mpaka upepo utulie

Sehemu salama za kwenda Ni kule mashambani sema kule mizee ya kilatino Ni km imevurugwa ikiona ngozi nyeusi Ni km imeona swala muda wote unatandikw risasi

Mimi kusema kweli najiandaa kisaikolojia nataka nizamie visiwa ya carribean km Barbados nikawe mvuvi wa samaki kulko kurudishwa kule Africa ushenzini😀

Wenzetu wahamiaji kutoka ulaya na wahindi hata wahastuki

Ila sisi ngozi ya goti na ndugu zetu waarabu ndio hakukaliki

We mzee bepari mimi sirud Africa bora nizamie dege la kwenda Brazil nikazekee kule ila Africa no
Halafu mbaya zaid uyu babu ni mpinga upinde , mngewaambia nyie ni upinde mkirudishwa tu tanzania mnafungwa mngeachwa ila uyu mwamba hataki uo upuuzi
 
Wwe achaa ufala,wapi ushenzini!? Bongo kama Newyork tu, mkwanja wako tu!!,mara ya mwisho umekuja lini Nchini!!??
Rudini nyumbani kumenoga
Nyumbani bado hakujanoga, utekaji umeshamiri na mauaji yametamalaki.

Sema kwamba hao watu Warudi huku nyumbani ili waje tusaidiane kuwatokomeza Watekaji na wauaji.
 
Harakati za mtu mweusi zinaendelea

Lazima tukubali bepari Trump ameshinda uchaguzi na wazungu wamepiga kura za hasira kwa mzungu wao Biden kukatazwa na kina Obama asigombee

Wazungu walikasirika Sana hata wasiokuwa na mpango wa kupiga kura wakajitokeza

Sasa tunaoishi hapa bila makaratasi tupeane mbinu za kukwepa mkono wa sheria

Je Ni county gani salama kiasi hatitafikiwa na mkono wa sheria?

Naona homa ya kusombwa itaanzia new York maama hapo ndio watu mamejazana wasiokuwa na karatasi

Kuna wapopo huwa wanachambisha wabibi wao wameamua kutelekeza geto lao wanaishi uko uko kwenye camp hawatoki ndani mpaka upepo utulie

Sehemu salama za kwenda Ni kule mashambani sema kule mizee ya kilatino Ni km imevurugwa ikiona ngozi nyeusi Ni km imeona swala muda wote unatandikw risasi

Mimi kusema kweli najiandaa kisaikolojia nataka nizamie visiwa ya carribean km Barbados nikawe mvuvi wa samaki kulko kurudishwa kule Africa ushenzini😀

Wenzetu wahamiaji kutoka ulaya na wahindi hata wahastuki

Ila sisi ngozi ya goti na ndugu zetu waarabu ndio hakukaliki

We mzee bepari mimi sirud Africa bora nizamie dege la kwenda Brazil nikazekee kule ila Africa no
Umeandika mambo meengii, lakini hadi as of sasa sijaelewa kundi lako ni lipi? Kwanini hauna makaratasi? Je ni ovestauers? Au ni wale baada ya kunyimwa Visa mkaamua kwenda kuingilia Mexico ambapo utaratibu huwa mnaonywa kuhakikisha kama una passport nasi uicjanie palepale, kama hela za nchi yako uzichanie palepale border kabla hawajakuvusha sababu wakikuvusha ukakutwa na any of those wewe ni either ndani au deportation.
 
Back
Top Bottom