Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Harakati za mtu mweusi zinaendelea
Lazima tukubali bepari Trump ameshinda uchaguzi na wazungu wamepiga kura za hasira kwa mzungu wao Biden kukatazwa na kina Obama asigombee
Wazungu walikasirika Sana hata wasiokuwa na mpango wa kupiga kura wakajitokeza
Sasa tunaoishi hapa bila makaratasi tupeane mbinu za kukwepa mkono wa sheria
Je Ni county gani salama kiasi hatitafikiwa na mkono wa sheria?
Naona homa ya kusombwa itaanzia new York maama hapo ndio watu mamejazana wasiokuwa na karatasi
Kuna wapopo huwa wanachambisha wabibi wao wameamua kutelekeza geto lao wanaishi uko uko kwenye camp hawatoki ndani mpaka upepo utulie
Sehemu salama za kwenda Ni kule mashambani sema kule mizee ya kilatino Ni km imevurugwa ikiona ngozi nyeusi Ni km imeona swala muda wote unatandikw risasi
Mimi kusema kweli najiandaa kisaikolojia nataka nizamie visiwa ya carribean km Barbados nikawe mvuvi wa samaki kulko kurudishwa kule Africa ushenzini😀
Wenzetu wahamiaji kutoka ulaya na wahindi hata wahastuki
Ila sisi ngozi ya goti na ndugu zetu waarabu ndio hakukaliki
We mzee bepari mimi sirud Africa bora nizamie dege la kwenda Brazil nikazekee kule ila Africa no
Lazima tukubali bepari Trump ameshinda uchaguzi na wazungu wamepiga kura za hasira kwa mzungu wao Biden kukatazwa na kina Obama asigombee
Wazungu walikasirika Sana hata wasiokuwa na mpango wa kupiga kura wakajitokeza
Sasa tunaoishi hapa bila makaratasi tupeane mbinu za kukwepa mkono wa sheria
Je Ni county gani salama kiasi hatitafikiwa na mkono wa sheria?
Naona homa ya kusombwa itaanzia new York maama hapo ndio watu mamejazana wasiokuwa na karatasi
Kuna wapopo huwa wanachambisha wabibi wao wameamua kutelekeza geto lao wanaishi uko uko kwenye camp hawatoki ndani mpaka upepo utulie
Sehemu salama za kwenda Ni kule mashambani sema kule mizee ya kilatino Ni km imevurugwa ikiona ngozi nyeusi Ni km imeona swala muda wote unatandikw risasi
Mimi kusema kweli najiandaa kisaikolojia nataka nizamie visiwa ya carribean km Barbados nikawe mvuvi wa samaki kulko kurudishwa kule Africa ushenzini😀
Wenzetu wahamiaji kutoka ulaya na wahindi hata wahastuki
Ila sisi ngozi ya goti na ndugu zetu waarabu ndio hakukaliki
We mzee bepari mimi sirud Africa bora nizamie dege la kwenda Brazil nikazekee kule ila Africa no