Euroleague
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 515
- 1,410
Wewe "dogo" usione huku ni Fb kuna baba zako huku labda una andika for fun! soma ulicho andika na hasa sentesi yako ya mwisho.
Mm nilishasema mzalishe ndugu yangu alafu usimuoe. Lazima nikutoe kafara Freemason ili nitajirike. Wanaume eeeh NB single mother ili ufurahie ndoa yako hakikisha aliyekuzalisha awe kafa jamani hapo kwa mbali soko linaweza kuwepo.
umesoma comment ukaielewa kweli?
HAMISA kazaa, hivi unaweza mkataa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm nilishasema mzalishe ndugu yangu alafu usimuoe. Lazima nikutoe kafara Freemason ili nitajirike. Wanaume eeeh NB single mother ili ufurahie ndoa yako hakikisha aliyekuzalisha awe kafa jamani hapo kwa mbali soko linaweza kuwepo.
yes kuwa mama wawatoto wangu noHAMISA kazaa, hivi unaweza mkataa?
Nifikirie nini? Unataka nifikirie unachotaka wewe? Mwanamke aliyepata mtoto bila ndoa tena bila kubakwa au kulazimishwa huyo aolewe na aliyempa mimba/kumzalisha hakuna jinsi .
Tena unajisifia kabisa dada zako wamezalishwa na majamaa bila ndoa mkuu hebu aibu nyengine ficha ndiyo maana wanaume tukawa na vifua maana tunaweza kuficha siri nyingi .
Ilikuwa haina haja ya kuwataja dada zako kwamba wamezalishwa bila ndoa halafu kuwasifia kinafiki kwamba wanapambana ,we unadhani wangekuwa wameolewa ungepata muda wa kuandika hii thread?
ALIYEZALISHWA KWA KUTAKA MWENYEWE BASI HALALI YAKE NI ALIYEMPA MIMBA .
yes kuwa mama wawatoto wangu no
Naomba picha ya ma watoto wako nimpongezeyes kuwa mama wawatoto wangu no
Hahahaaa sikujua kama ungekuja na utetezi wa kitoto hivi, haya ngoja na mimi nijitetee kama wewe.Mkuu inaokena una uwezo wa kuelewa mambo.! Hivi nikisema dada zangu je nimemanisha dada zangu wa kuzaliwa nao ?? Ninaposema dada zangu, namanisha wanawake waliowarika langu. Mimi namheshimu kila mwanamke, Kutumia neno dada zangu haijamanisha dada zangu kuzaliwa nao tumbo moja. Sasa unasema nifiche aibu sijui aibu gani labda. Nenda kajifunze tena lugha ya kiswahili. Kuna dada wa kuzaliwa tumbo moja na dada kwa sababu yeye ni msichana ndio maana ni nimetumia neno la DADA ZANGU. Period
wanawake single mother wanajua maisha, acheni kuhangaika na viserengeti.Nimeielewa ndio maana nikajibu hivyo. Anaposema inadharirisha watu unadhani yuko sawa ? Watu wanazungumzia madhaifu ya single mother ambayo yanapelekea mtu akioa single mother anaonekana amekosea. Mbona tunaposema madhaifu akina Baba hatusemi mnafanya udharirishaji wa kijinsia. Hapa tupo kuwekana sana na sio vingine Mkuu. Hakuna anayedharirisha mtu na huyu mdada amezungumza bila kusoma Bandiko. Bandiko halizungumzii mwanamama aliyeachika kwenye ndoa kisa udharirishaji bali wale ambao wanapata ujauzito kabla ya ndoa zao. Nawewe nakuona unaunga tera…! Unganisha tu hamnaga shida, mods nao wana akili na wanaangalia comment mbovu wanaziondoa.
Suala lililopo ni kuwa awe amezalishwa na dume mwingine then mi nije kuoa, haitakaa itokee.Sasa nimzalishe mimi halafu nije kukataa kumuoa si inabidi nipelekwe Mirembe.Waza kuhusu dada ako hapo nyumbani, waza kuhusu binti yako utakaye mzaa na waza pia juu ya demu wako uliyempiga dudu naye akashika ujauzito…! Hivi unakaa wapi katika hizi nafasi. Wengi wenu mnaokataa kuwaoa single mothers mna watoto nao tayari sijui shida iko wapi.
Usiingie kwenye mahusiano kwa sababu ya huruma ,na matatiZo hayarithishwi amka weweHabari za wakati huu ndugu zangu na wanajamvi la Hoja mchanganyiko? Nitaomba radhi kwa yule nitamkwaza ila acha niliweke hili swala hapa jukwaani tulijadili.
Mimi nimebahatika kulelewa na wazazi wote wawili mpaka nimekuwa mtu mzima. Kufika kwangu hapa ni Juhudi za bila kuchoka za Mama na Baba kwa Msaada ya Muumbaji. Kama kijana niliyelelewa maisha hayo, naweza nisijue namna gani ilivyo kulelewa na mzazi mmoja, zile hustle zilipaswa zifanywe na wqzazi wote wawili zinafanywa na mzazi mmoja, are you thinking what am thinking [emoji848]
Daaah kwanza salute sana Kwenu single mothers, Mnapambana na muendelee kupambana ila tu msituchukie wanaume.
Mzazi mmoja anapiga kazi ya watu wawili, daah, Hat off to all of respective and hard working single mothers out there. Najatibu kuwaza mambo ambayo baadhi ya wadada ambayo nimetokea kuwa na urafiki nao,kiukweli vita wanavipiga.
Unajua kuna muda anaenda kudanga ili tu apate pesa ya kuwalisha, kuwasomesha watoto. Mtoto wa single mother anakuwa kwa uwezo wa Mungu kupitia akili janja ya mwanamke.
Wakati nakua nimekua nikiona vile mama zangu wadogo wanavyopambana kulea familia zao. Na wengine waliobahitka kupata mabwana walipata support kubwa kutoka kwa hawa wanaume na watoto waliwalea mpka leo wamekua. Lakini kundi hili la single mothers wanaolea watoto wao kwa kutumia mfuko au Pochi ya Madanga ni wengi sana, almost 90%. Na haka kakundi ndio nataka tukajadili hapa leo hii.
Kuna vijana wa kiume ambao leo hii, Boastfully, wanasema mimi sitakuja kuoa mwanamke aliye mtoto tayari. Mimi hii naiona sio sahihi, hawa ndio walipaswa wawe wakwanza kuwaoa hawa single mother as the payback. Kama vile nyinyi mlivyolelewa yawapasa mlipe shukrani kwa mwenyezi kwa kuwafuta machozi hawa wanawake walio na watoto na hawana Wanaume.
Kama vile nyinyi mlilelewa kwa shida mnajua vile mama anahangaika sana kuendesha familia anapokuwa pekee yake, mnapaswa mrudishe shukrani kwa mwenyezi kwa kwenda kuwalea hao watoto ambao Baba zao wapo au hawapo duniani.
Niwaombe sana sana vijana wenzangua wa kume mliolelewa na Mama mmoja, nendeni mkaoe single mother muwafute machozi kama vile mama zenu walivyofutwa machozi na Baba zenu wa kufikia.
Sio uongo na nyinyi mnajua, wale Baba wa kufikia walikuwaga wanawapeni vipesa vya kujikimu shule na mengineyo na hatima yake mama aliweza kuwakuza hadi mmefikia hapo.
Na nyie dada zetu mliopata watoto na hamuishi na hao Baba za watoto msijisifu sana kwa watoto eti kuwa umewalea hao watoto bila msaada wa mtu yoyote, kwelii? Hivi wale wanaowalipia ada za watoto wenu ni akina nani na wanaolipa kodi ya pango la nyumba ni akina nani?
Ifike mahala unawabia watoto wako wakiume ukweli, ili siku wakikua waweze kuwasupport akina dada au akina mama wemye watoto kama nyinyi mlivyo kuwa.
Ni hayo tu, Nakaribisha maoni na michango juu ya mafikirio yangu haya usiku huu wa manane. Naamini meseji imefika. Mnisamehe nitakaowakwaza.
MY FAVORITE COMMENT
Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
UmekurupukaKwani mademu zenu hawapashi viporo na ex zao ?? Acha kujichetua chetua mkuu. Viporo vitapashwa iwe upo hai au umekufa, iwe unahudumia au huhudumii. Kinachobakia ni kichwa ya Mwanamke basii
Shida mtoto akija kumtaka baba yake...hapo itakuwaje!?Dada yangu ni single mother hali ni tete imebidi kaka zake tugawane watoto wake. Mmoja nimemchukua mimi namsomesha ni kichwa kweli kweli darasani anawakimbiza kisawasawa. Kwa upande wa elimu bila shaka atafika mbali sana. Mungu amsaidie.
Dogo amekua baraka sana kwangu tokea nimeanza kumuhudumia mambo yangu yananiendea vizuri sana. Baba yake yupo anapiga masanga tu na siku akijichanganya eti anamtaka mtoto nitamlima vichwa vya maana.
Nasoma comments...