Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Bwana FUSO endelea kua gari la kuwabeba hao mizigo siku ingine yako ikinoki utajuta nakwambia single mom hawanaga shukrani na hivyo vitoto vyao vikikua usitarajie Kama vitakujali kamwe kwanza vinaanzaga kuweka status vikifika chuo "niliteseka Sana kuishi na baba wa kambo thanks my mom kwa kunilea na kunipa mahitaji yote"

Utajuta kujifanya Mtanzania mwema!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]

‘ Eti thanks mom kunilea na kunipa mahitaji yote ‘ haha [emoji23]. Hizi ni komment za mademu hasa hasa na wavulana ambao ni hamnazo. Tuendelee kuwaza vizuri tu wakuu wapo watu humu wamelelewa vizuri na mama zao waliwalea vyema kiasi kwamba hawezi kupuuza mchango wa Baba wa kufikia. They’re all not the same, let’s not be conclusive
 
Kuna dada wa kinyamwezi anamtoto lakin. Baba wa mtoto kamkataa hvo anapambana mwenyewe. Ni mzuri sana. Mguu safii, mtoto mrefu kidogo afu sura nzuri ya upole afu ngoz laini. Basi mdada katika kutafuta kazi akapata kucmamia biashara za tajiri moja hapa mjini. Kumbe jamaa kampa kaz kwa lengo la kumtaka kimapenzi. Cku jamaa akamfungukia anataka kulala nae na akamuahidi ahadi nyingi sana. Yule dada akamzingua na kumwambia hawezi fanya ujinga huo kisha akaondoka na kuacha kazi. Yule dada kama unamtongoza jipange. Lakini sasa hv kashaolewa na jamaa flan ambaye huyo jamaa hana mtoto. Hvo basi anamlea mtoto aliyemkuta kama wake na wanaisha kwa furaha sana. Binti anajiheshimu na mstarabu sana. NOTE sio kila single mothers ni vivuruge, wapo wanaojiheshimu

@dronedrake Aione hii.
 
Sawa bwana tafuta single mother na wewe uoe then ndo uje utuambia!
Sio unatoa Hotuba wee alafu unadeal na mabinti

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mkuu nimewahi kuwa nao single mother kwenye mahusiano, ila sikuwa bado tayari kuwa na familia. Nikikpta sasa hivi naoa.
 
We unaonekana umepata singo maza Sasa unajifariji subiri yakukute utautoa ushuhuda wewe mwenyewe hata kama siyo hapa JF utaenda kuwa shuhuda kwa wengne huko mtaani

Siwezi kuwa hivyo, nina amini ya kuwa watu hawafanani na sitegemei watafanana na hawa single mother wana madhaifu yao kwani wanawake walewale tulioa au tunaotarajia kuoa tofauti moja tu..! Single mother walitangulia kupata mtoto kabla ya kuwa kwemye ndoa au makubaliano rasimi ya kuishi pamoja.
 
Yan unashaur watu wazid kuzini ,hujui kuoa mwanamke aliyeachwa ni uzinifu ,tena ana kizibiti kabisa cha mtoto ,bora umkute empty unaweza ukawa na pa kutokea,usidanganywe aliyezaa naye bado kamweka moyoni haijalishi kamweka kwa ubaya au kwa uzuri,usioe mwanamke mwenye mtu ndani ya moyo itakusumbua basdaye

Hujanishawishi…!
 
Hayo mambo ya kuanza mpira wakati ushafungwa haipo mkuu. Umeoa leo tu siku mbili mbele unaanza majukumu ya kulea mama na mtoto wake.
Bora niwe single daima kuliko kuoa single mother.

Waza kuhusu dada ako hapo nyumbani, waza kuhusu binti yako utakaye mzaa na waza pia juu ya demu wako uliyempiga dudu naye akashika ujauzito…! Hivi unakaa wapi katika hizi nafasi. Wengi wenu mnaokataa kuwaoa single mothers mna watoto nao tayari sijui shida iko wapi.
 
Yan mechi inaanza huku ubao ukisoma goli moja tena la ugenini???? [emoji3][emoji3][emoji3]
Bro haiitaji kulipa fadhila au ku pay back kama ulivyosema.........
Hapo upendo uliozid mipaka ndio unaweza kukusaidia kama alivyosema international step dad huko juu

Achana na international step dad..! Wewe kama wewe unatokaje hapo ?
 
Kama na wewe umetelekeza mtoto jiandae kulimwa vichwa. Kuwa baba wa mtoto sio kuweka tu mbegu na kuacha mwanao alelewe kwa jasho la wanaume wenzio.

Ni ufala sana yaani, unaweka mbegu tu nakuondoka walee wengine [emoji3][emoji3]
 
Mzee usipagawe na mikuku ukijaziwa kwenye bakuli na single mother. Shida urithi kwenye familia. Mijengo yangu mitatu yote isimamiwe na single mother akiwa na mtoto wake wa kwanza aliyezaa na mjinga mmoja mtaani. Aisee hii hapna. Ile miradi ya ukoo na hiko kitoto cha concubine nacho tukiweke. Hapana Aisee. Kama huna ndoto za utajiri oa tu single mother uishie kupetiwa petiwa ili kukusahaulisha kitoto chake kiishi

Ndoto za kuwa tajiri zipo sana mkuu..! Hata single mother anaweza nifikisha huko na kuna watu wametajirika walioa single mother sasa wewe unaniambia nini ??
 
Nikwel Nina single mother kaniambia Baba mtoto wake kamtelekeza na mtoto na shangaa namba zake anazo na wanawasiliana

Anazo ndio kwa sababu wana mtoto naye, kama siku moja akili ya huyo mwenye mtoto ikamrejea atajirudi na pia kuwa na namba ya Baby dad wake haimanishi anapiga mbunye mzee..! Namba za simu ni kwa ajili ya mawasiliano tu mengine tunayoyaweka tunachanganya sisi wenyewe
 
"Mwanamke aliye na mtoto na hana mume "

Unamaanisha nini? Huyo mtoto kampataje? Labda kama mume wake awe ameshafariki na hapo tunaongelea mama mtu mzima kabisa.

Kiufupi tu mkuu huyo mwanamke halali yake ni huyo aliyemjaza mimba.

Fikiria tena na tena Mkuu. Ahsante kwa mchango wako
 
Kwahiyo wewe kipimo cahko cha mwanamke bora ni kuwa Single Mother? Hujitambui

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti sijitambui. Wewe tulia hapo hapo, kuwakubali single mothers haimanishi kigezo cha Mke bora ni kuwa single no no. Nawakubali single mothers kwa sababu ya uzoefu wangu mkuu ndio unaniambia hivyo..!
 
Kabisa yaaani [emoji3][emoji3][emoji3]

Kwani mademu zenu hawapashi viporo na ex zao ?? Acha kujichetua chetua mkuu. Viporo vitapashwa iwe upo hai au umekufa, iwe unahudumia au huhudumii. Kinachobakia ni kichwa ya Mwanamke basii
 
Hahahhah wewe ni mjanja sana kwani ukisema unaishi ma single mother utapungukiwa na nini

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Kwani ni laana kuwa na Single mother ? Ila watamu sana hawa watu na wanajua kumhandle mwanaume. Nimewala sana na ninawapenda ila kwa sasa nina mdada hajazaa ila anakaumri kazuri tu hivi yaani
 
That True mkuu. Watu wanabisha tu wengine tumeona na kuishi nao. Ngoja apate mchongo kama utamwambia kitu au atakukumbuka kwa lolote moyoni amewaweka wanaume wengi. Yaani ni shida. Kuoa mwanamke single mother kwa HURUMA eti kwa sababu amekueleza shida anazo pitia na mwanae na kumbeba amini haitachukuwa mienzi sita utaanza kuona mapungufu yake

So ukiona mapungufu ya mtu tayari utaomba muachane ama vipi ??
 
(a) kuwa na namba ya simu ya baba mtoto ( atakuambia kufuatilia malezi ya mtoto au anataka kuongea nae)
(b) mtoto shuleni ameitwa ameambiwa aende na wazazi wote wawili


(c) Mtoto anaumwa (hapa lazima mkutane)

(d) Kwenye sherehe za ubarikio au hafla yeyote mtoto atataka kupiga picha na wazazi wake wote wawili (kama wengine wanavyopiga na wazazi wao) hapa haijalishi wewe ndio unamlelea!!


(e) wakati mwingne ukweni watakutana na X wake au mkutane wote watatu kwa sababu mbalimbali kuuguliwa au kufiwa na matukio mengnie hata ya kisikukuu kote huko watakumbushiana tu.

Hizo ni baadhi tu za changamoto
KIFUPI UKIOA SINGLE MOTHER UMEOA MKE WA MTU HATA KIROHO WAMEUNGANISHWA MPAKA MMOJA AFE MDIL WATAKUWA WAMETENGANA siku hizi mnasema na udhibitishe kaburi kama kweli amezikwa hapo!!!

Soul tie is a hoax.! Endelea kujidanganya
 
Aisee!

Mnapotamani kuoa single mother kuweni makini sana.

Kuna jamaa anataka kujitwisha zigo. Anataka kumuoa mdada mwenye watoto watatu. Kila mtoto na baba yake. Bahati nzuri watoto haishi nao.

Na mahari kalipia, nipo nae kazini.

Ila siku anaambiwa ampeleke mwanaume nyumbani akatambulishwe, ana danga lake moja. Akala mzigo alafu akaenea nyumbani kwao mkoani.

Sasa kwa hali hiyo, jamaa atakufa kwa presha.

Single mother ni wa kuwatumia tu. Waliowazalisha watawaoa. Au nawe mjaze muache. Lea mwanao
 
Back
Top Bottom