Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

We unaonekana umepata singo maza Sasa unajifariji subiri yakukute utautoa ushuhuda wewe mwenyewe hata kama siyo hapa JF utaenda kuwa shuhuda kwa wengne huko mtaani
Hahaha itakuwa mkuu anataka kutuaminishia single mother ni bora ajiulize kwanini kwenye ukoo wao wameoa wanawake wabichi na si masingle mother's akipata jibu wala asije kutuuliza hapa sisi habari za kuoa Single mother, kichagga kuna jina kijana anaitwa akioa Single Mother
 
Nenda kamuulize mzee Abdul alikubali kulea mimba ya Nasibu na akamlea had akafika umri wa kujiunga na elimu ya secondary lakn Leo hii diamond ana pesa na ameamua kuungana na mama yake kumkataa mzee Abdul mbele ya vyombo vya habari hawakumbiki hata chembe ya wema wake na mtt kaamua kubadili jina anajiita mtoto wa Nyange, wakat maisha yake tangu mama akiwa mjamzito alikaa na kulelewa kwa mzee abdul

Singo maza ni laana na ni nyoka mwenye sumu kali ukiona anaish na ww ujue yupo hapo kwasababu ya hali ngumu ya maisha na siyo mapenzi siku akiwa vizur kiuchumi atakudhalilisha kinoma
That True mkuu. Watu wanabisha tu wengine tumeona na kuishi nao. Ngoja apate mchongo kama utamwambia kitu au atakukumbuka kwa lolote moyoni amewaweka wanaume wengi. Yaani ni shida. Kuoa mwanamke single mother kwa HURUMA eti kwa sababu amekueleza shida anazo pitia na mwanae na kumbeba amini haitachukuwa mienzi sita utaanza kuona mapungufu yake
 
Changamoto zao kama zip mkuu?
(a) kuwa na namba ya simu ya baba mtoto ( atakuambia kufuatilia malezi ya mtoto au anataka kuongea nae)
(b) mtoto shuleni ameitwa ameambiwa aende na wazazi wote wawili


(c) Mtoto anaumwa (hapa lazima mkutane)

(d) Kwenye sherehe za ubarikio au hafla yeyote mtoto atataka kupiga picha na wazazi wake wote wawili (kama wengine wanavyopiga na wazazi wao) hapa haijalishi wewe ndio unamlelea!!


(e) wakati mwingne ukweni watakutana na X wake au mkutane wote watatu kwa sababu mbalimbali kuuguliwa au kufiwa na matukio mengnie hata ya kisikukuu kote huko watakumbushiana tu.

Hizo ni baadhi tu za changamoto
KIFUPI UKIOA SINGLE MOTHER UMEOA MKE WA MTU HATA KIROHO WAMEUNGANISHWA MPAKA MMOJA AFE MDIL WATAKUWA WAMETENGANA siku hizi mnasema na udhibitishe kaburi kama kweli amezikwa hapo!!!
 
Nikwel Nina single mother kaniambia Baba mtoto wake kamtelekeza na mtoto na shangaa namba zake anazo na wanawasiliana
Kimbia mapema sana kama ni mke unatafuta unapoteza muda hapo. Ndio nimeona hii comment nyingine kumbe uko nae! Changamoto ndio hizo nimekuorodheshea hapo baadhi tu.

Wewe jiulize anakuambia ametelekezwa hivi mtu akikufanyia ubaya unawasiliana nae? wametengana hawajaachana na mzigo anapewa.
 
Mjiulize swali moja tu, single mother amekua single mother kwa sababu gani? Naona generization tu kuwa hawafai. Wangapi wanatoka kwenye ndoa zenye manyanyaso na watoto wao kwa ajili ya kuokoa nafsi zao? Leo hii anakuta anaitwa mtu wa hovyo na hathaminiki kwenye jamii?

Imagine wewe ni mtoto ambae mama yako ameondoka kwny ndoa kwa ajili ya kuwapigania leo utamuita wa hovyo na laana? Its a shame totally shame upon you guys.

Wangapi wamedate na hao hawajazaa wametendwa ? wanawake wangap wanadanga ilhali hawajazaa? Tabia mbovu ni tabia mbovu tu haijalishi kuwa ni single mother au lah!

Nyinyi kama wanaume mnajua kabisa uongo mnaotumia kumnasa mwanamke na maskin binti akajua ni upendo lakin mwisho wa siku akaachwa na mimba.Kauli kama hizi ndo zinapelekea mabinti wengi hata wenye tabia njema kufanya abortion mana anajua ataitwa laana huko mbele.

Ikiwa jamii yenye wasomi we have to change. Let love lead na sio makasoro ya kuitana laana kisa malaika walioletwa duniani.

Peace!
 
Mjiulize swali moja tu, single mother amekua single mother kwa sababu gani? Naona generization tu kuwa hawafai. Wangapi wanatoka kwenye ndoa zenye manyanyaso na watoto wao kwa ajili ya kuokoa nafsi zao? Leo hii anakuta anaitwa mtu wa hovyo na hathaminiki kwenye jamii?

Imagine wewe ni mtoto ambae mama yako ameondoka kwny ndoa kwa ajili ya kuwapigania leo utamuita wa hovyo na laana? Its a shame totally shame upon you guys.

Wangapi wamedate na hao hawajazaa wametendwa ? wanawake wangap wanadanga ilhali hawajazaa? Tabia mbovu ni tabia mbovu tu haijalishi kuwa ni single mother au lah!

Nyinyi kama wanaume mnajua kabisa uongo mnaotumia kumnasa mwanamke na maskin binti akajua ni upendo lakin mwisho wa siku akaachwa na mimba.Kauli kama hizi ndo zinapelekea mabinti wengi hata wenye tabia njema kufanya abortion mana anajua ataitwa laana huko mbele.

Ikiwa jamii yenye wasomi we have to change. Let love lead na sio makasoro ya kuitana laana kisa malaika walioletwa duniani.

Peace!
Wewe waowe mtu unamueshimisha amezalishwa unamlelea mwanae unamsomesha bdye mtu anakuja kukuacha kisa aliyezaa naye kasema anataka kuishi nayee aisee mkuu Acha kabisa
 
Tatizo wakikutana na waliowazalisha uwa wanawapa papuchi.. Masikini hana msimamo
 
Wewe waowe mtu unamueshimisha amezalishwa unamlelea mwanae unamsomesha bdye mtu anakuja kukuacha kisa aliyezaa naye kasema anataka kuishi nayee aisee mkuu Acha kabisa
mnachokiongea hakifanyiki kwa wote, wanawake wangap hawajazaa wanaacha ndoa zao wanarudiana na ex zao. M kuna mdada namjua yan imekaribia send off ndo anasema hamtak jamaa kisa kapata mwanaume mwingine
 
Kuna watu washajitolea kuwasitiri single maza ila hawasitiriki,mfano juzi nilikuwa naangalia kuna rafiki yangu aliolewa mmewe akamkimbia sasa baada ya mda nashangaa rafiki yangu ni full vijembe fb na watsap,nkajiuliza kwa upuuzi huu ukimsitiri mtu wa hivi si ni shida?
 
Hahaha itakuwa mkuu anataka kutuaminishia single mother ni bora ajiulize kwanini kwenye ukoo wao wameoa wanawake wabichi na si masingle mother's akipata jibu wala asije kutuuliza hapa sisi habari za kuoa Single mother, kichagga kuna jina kijana anaitwa akioa Single Mother
Kishoia 😅
 
Nenda kamuulize mzee Abdul alikubali kulea mimba ya Nasibu na akamlea had akafika umri wa kujiunga na elimu ya secondary lakn Leo hii diamond ana pesa na ameamua kuungana na mama yake kumkataa mzee Abdul mbele ya vyombo vya habari hawakumbiki hata chembe ya wema wake na mtt kaamua kubadili jina anajiita mtoto wa Nyange, wakat maisha yake tangu mama akiwa mjamzito alikaa na kulelewa kwa mzee abdul

Singo maza ni laana na ni nyoka mwenye sumu kali ukiona anaish na ww ujue yupo hapo kwasababu ya hali ngumu ya maisha na siyo mapenzi siku akiwa vizur kiuchumi atakudhalilisha kinoma

Mama ake Abdul a.k.a SIMBA ni moja ni mifano mibaya ambayo imekuja kuchafua zaidi taswira na mtizamo juu ya akina mama wajawazito lakini ukweli ni kwamba wapo watu waliolelewa na Baba zao wa kufikia hadi leo wanawatambua na kuwaheshimu kama tu wazazi walio wazaa. Mama ake Daimond yule mama ni Chenga tu, ona tu vile ana handle hizi ishu za mwanae na familia yao kijumla..! Ni Chenga bin Utopolo kabisa huyo Mama..! Tutumie mdano mwingine yule mama aliwadharirisha single mothers wengine.
 
Huyo mzee awekewe ulinzi

Haha [emoji38] ulinzi wa nini mkuu..! Let’s be thoughtful, some of us here are, brothers, fathers and future fathers of Boys and Girls. Now let’s get it right, unajisikiaje kama ungekuwa na mtoto wako wa kuzaa kazalishwa home na wahuni na wewe ndio mzazi au kaka wa huyo dada aliyepigwa zigo na ndio ikatokea hiyo.
 
Dada yangu ni single mother hali ni tete imebidi kaka zake tugawane watoto wake. Mmoja nimemchukua mimi namsomesha ni kichwa kweli kweli darasani anawakimbiza kisawasawa. Kwa upande wa elimu bila shaka atafika mbali sana. Mungu amsaidie.
Dogo amekua baraka sana kwangu tokea nimeanza kumuhudumia mambo yangu yananiendea vizuri sana. Baba yake yupo anapiga masanga tu na siku akijichanganya eti anamtaka mtoto nitamlima vichwa vya maana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom