Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Usioe mwanamke kwa kumuonea huruma
Mimi siwez kuoa mwanamke aliezalishwa na mtu mwngine

Ila mkiwa mnawat*ba huwa mnawambia na haya maneno ? Unaomba gemu mtoto wa watu anakupa mauno mpaka unamwaga ndani ila baadae mnashindwana. Sasa baada ya hapo inakuwa unamtoto nje..! Mnakuja huku mmejificha uhalisia mnaanza kuwatupia mawe hao hao waliokuwa wanawakatikia…SMH
 
Yataka moyo haswaa kuanza kulea na kusumbuana na bao la mwanaume mwenzio,

Isitoshe unakuta mitoto mingine imerithi utata kwa baba mbona Kila siku songombingo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti songombingo
 
Ila mkiwa mnawat*ba huwa mnawambia na haya maneno ? Unaomba gemu mtoto wa watu anakupa mauno mpaka unamwaga ndani ila baadae mnashindwana. Sasa baada ya hapo inakuwa unamtoto nje..! Mnakuja huku mmejificha uhalisia mnaanza kuwatupia mawe hao hao waliokuwa wanawakatikia…SMH
We unaonekana umepata singo maza Sasa unajifariji subiri yakukute utautoa ushuhuda wewe mwenyewe hata kama siyo hapa JF utaenda kuwa shuhuda kwa wengne huko mtaani
 
Single mothers sio laana Mkuu, hawa watu ni wasikivu sana na wametulia asikuambie mtu. Tuliza akili utapata mtoto mzuri kabisa, kuna watu mimba zimeingia kibahati mbaya kama vile tu mnavyowapelekea mioto hawa ambao hawajao na wao ilitokea hiyo ishu sidhani kama walitaka.
Lakini kingine ndugu yangu, Single mothers unakuwa unahakika wa kuwa na mtoto maana tayari amesha ichallenge uterine yake. Single mother are very beautiful and nice women than the way we know em, let’s do something special for our girl.
Nimesoma comments zote lakini hii ni super. Tatizo la vijana wengi wanamawazo hasi kuhusu single mothers.
 
Mi nadhani kikubwa katika mahusiano Ni upendo na mapenzi ya dhati, Kama umempenda hata Kama amezaa nawe muoe zaa nae maisha yaendelee! Kwanza sijui Kama Kuna kijana mwenye masimamo ikiwa analelewa na mwanamke mtu mzima Kama kiben ten halafu huyo huyo atoe kauli ya kutooa mwanamke aliezaa,, maisha yanaitaji akili kubwa hayaitaji story nyingi za vijiweni,, tafakari kuoa mwanamke bikira halafu ndani dharau kiburi na kero ndani ya nyumba na msidumu ndoani au kuoa mzoefu aliezaa na mkaishi kwa upendo na amani Bora nini
 
Kuna dada wa kinyamwezi anamtoto lakin. Baba wa mtoto kamkataa hvo anapambana mwenyewe. Ni mzuri sana. Mguu safii, mtoto mrefu kidogo afu sura nzuri ya upole afu ngoz laini. Basi mdada katika kutafuta kazi akapata kucmamia biashara za tajiri moja hapa mjini. Kumbe jamaa kampa kaz kwa lengo la kumtaka kimapenzi. Cku jamaa akamfungukia anataka kulala nae na akamuahidi ahadi nyingi sana. Yule dada akamzingua na kumwambia hawezi fanya ujinga huo kisha akaondoka na kuacha kazi. Yule dada kama unamtongoza jipange. Lakini sasa hv kashaolewa na jamaa flan ambaye huyo jamaa hana mtoto. Hvo basi anamlea mtoto aliyemkuta kama wake na wanaisha kwa furaha sana. Binti anajiheshimu na mstarabu sana. NOTE sio kila single mothers ni vivuruge, wapo wanaojiheshimu
 
We unaonekana umepata singo maza Sasa unajifariji subiri yakukute utautoa ushuhuda wewe mwenyewe hata kama siyo hapa JF utaenda kuwa shuhuda kwa wengne huko mtaani

Hapana Mkuu, niliyenaye hana mtoto ila ikitokea huyu akazingua nitahamia kwa single mother.
 
Hakuna kitu kizuri kama kutunza watoto wa kufikia - ni wasikivu na wengi wao wana adabu mno!! na wewe kwa kadri unavyozidi kuwajali hao watoto mama yao sasa ndiyo anachizika kwa kukupenda zaidi na zaidi - ni raha si ya kawaida aisee!!

Tatizo vijana wengi wa sasa hawaelewi haya mambo!!
Bwana FUSO endelea kua gari la kuwabeba hao mizigo siku ingine yako ikinoki utajuta nakwambia single mom hawanaga shukrani na hivyo vitoto vyao vikikua usitarajie Kama vitakujali kamwe kwanza vinaanzaga kuweka status vikifika chuo "niliteseka Sana kuishi na baba wa kambo thanks my mom kwa kunilea na kunipa mahitaji yote"

Utajuta kujifanya Mtanzania mwema!
😂😂😂😁😁
 
Dada yangu ni single mother hali ni tete imebidi kaka zake tugawane watoto wake. Mmoja nimemchukua mimi namsomesha ni kichwa kweli kweli darasani anawakimbiza kisawasawa. Kwa upande wa elimu bila shaka atafika mbali sana. Mungu amsaidie.
Dogo amekua baraka sana kwangu tokea nimeanza kumuhudumia mambo yangu yananiendea vizuri sana. Baba yake yupo anapiga masanga tu na siku akijichanganya eti anamtaka mtoto nitamlima vichwa vya maana.
 
Mi nadhani kikubwa katika mahusiano Ni upendo na mapenzi ya dhati, Kama umempenda hata Kama amezaa nawe muoe zaa nae maisha yaendelee! Kwanza sijui Kama Kuna kijana mwenye masimamo ikiwa analelewa na mwanamke mtu mzima Kama kiben ten halafu huyo huyo atoe kauli ya kutooa mwanamke aliezaa,, maisha yanaitaji akili kubwa hayaitaji story nyingi za vijiweni,, tafakari kuoa mwanamke bikira halafu ndani dharau kiburi na kero ndani ya nyumba na msidumu ndoani au kuoa mzoefu aliezaa na mkaishi kwa upendo na amani Bora nini

Bora huyo anayekupa amani mkuu.! Mimi nitaoa single mothers maana my previous relationship asee na Binti mmoja hajazaa anapenda kupigwa mashine ila ikishika mimba tu anataka atoe..! Nawathamini sana dada zetu na mama zetu walio amua kutulea na Baba zetu walioamua kutuhudumia.
I choose PEACE over Beauty.
 
Yan unashaur watu wazid kuzini ,hujui kuoa mwanamke aliyeachwa ni uzinifu ,tena ana kizibiti kabisa cha mtoto ,bora umkute empty unaweza ukawa na pa kutokea,usidanganywe aliyezaa naye bado kamweka moyoni haijalishi kamweka kwa ubaya au kwa uzuri,usioe mwanamke mwenye mtu ndani ya moyo itakusumbua basdaye
 
Hayo mambo ya kuanza mpira wakati ushafungwa haipo mkuu. Umeoa leo tu siku mbili mbele unaanza majukumu ya kulea mama na mtoto wake.
Bora niwe single daima kuliko kuoa single mother.
 
Yan mechi inaanza huku ubao ukisoma goli moja tena la ugenini???? 😀😀😀
Bro haiitaji kulipa fadhila au ku pay back kama ulivyosema.........
Hapo upendo uliozid mipaka ndio unaweza kukusaidia kama alivyosema international step dad huko juu
 
Habari za wakati huu ndugu zangu na wanajamvi la Hoja mchanganyiko? Nitaomba radhi kwa yule nitamkwaza ila acha niliweke hili swala hapa jukwaani tulijadili.

Mimi nimebahatika kulelewa na wazazi wote wawili mpaka nimekuwa mtu mzima. Kufika kwangu hapa ni Juhudi za bila kuchoka za Mama na Baba kwa Msaada ya Muumbaji. Kama kijana niliyelelewa maisha hayo, naweza nisijue namna gani ilivyo kulelewa na mzazi mmoja, zile hustle zilipaswa zifanywe na wqzazi wote wawili zinafanywa na mzazi mmoja, are you thinking what am thinking [emoji848]

Daaah kwanza salute sana Kwenu single mothers, Mnapambana na muendelee kupambana ila tu msituchukie wanaume.

Mzazi mmoja anapiga kazi ya watu wawili, daah, Hat off to all of respective and hard working single mothers out there. Najatibu kuwaza mambo ambayo baadhi ya wadada ambayo nimetokea kuwa na urafiki nao,kiukweli vita wanavipiga.

Unajua kuna muda anaenda kudanga ili tu apate pesa ya kuwalisha, kuwasomesha watoto. Mtoto wa single mother anakuwa kwa uwezo wa Mungu kupitia akili janja ya mwanamke.

Wakati nakua nimekua nikiona vile mama zangu wadogo wanavyopambana kulea familia zao. Na wengine waliobahitka kupata mabwana walipata support kubwa kutoka kwa hawa wanaume na watoto waliwalea mpka leo wamekua. Lakini kundi hili la single mothers wanaolea watoto wao kwa kutumia mfuko au Pochi ya Madanga ni wengi sana, almost 90%. Na haka kakundi ndio nataka tukajadili hapa leo hii.

Kuna vijana wa kiume ambao leo hii, Boastfully, wanasema mimi sitakuja kuoa mwanamke aliye mtoto tayari. Mimi hii naiona sio sahihi, hawa ndio walipaswa wawe wakwanza kuwaoa hawa single mother as the payback. Kama vile nyinyi mlivyolelewa yawapasa mlipe shukrani kwa mwenyezi kwa kuwafuta machozi hawa wanawake walio na watoto na hawana Wanaume.

Kama vile nyinyi mlilelewa kwa shida mnajua vile mama anahangaika sana kuendesha familia anapokuwa pekee yake, mnapaswa mrudishe shukrani kwa mwenyezi kwa kwenda kuwalea hao watoto ambao Baba zao wapo au hawapo duniani.

Niwaombe sana sana vijana wenzangua wa kume mliolelewa na Mama mmoja, nendeni mkaoe single mother muwafute machozi kama vile mama zenu walivyofutwa machozi na Baba zenu wa kufikia.

Sio uongo na nyinyi mnajua, wale Baba wa kufikia walikuwaga wanawapeni vipesa vya kujikimu shule na mengineyo na hatima yake mama aliweza kuwakuza hadi mmefikia hapo.

Na nyie dada zetu mliopata watoto na hamuishi na hao Baba za watoto msijisifu sana kwa watoto eti kuwa umewalea hao watoto bila msaada wa mtu yoyote, kwelii? Hivi wale wanaowalipia ada za watoto wenu ni akina nani na wanaolipa kodi ya pango la nyumba ni akina nani?

Ifike mahala unawabia watoto wako wakiume ukweli, ili siku wakikua waweze kuwasupport akina dada au akina mama wemye watoto kama nyinyi mlivyo kuwa.

Ni hayo tu, Nakaribisha maoni na michango juu ya mafikirio yangu haya usiku huu wa manane. Naamini meseji imefika. Mnisamehe nitakaowakwaza.


MY FAVORITE COMMENT

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
Unahamasisha tuoe single mothers kwa kuwaonea Huruma??
Mapenzi matters kama umempenda na umeona mnaweza itengeneza future yenu that's all mnaanza maisha tu
 
Dada yangu ni single mother hali ni tete imebidi kaka zake tugawane watoto wake. Mmoja nimemchukua mimi namsomesha ni kichwa kweli kweli darasani anawakimbiza kisawasawa. Kwa upande wa elimu bila shaka atafika mbali sana. Mungu amsaidie.
Dogo amekua baraka sana kwangu tokea nimeanza kumuhudumia mambo yangu yananiendea vizuri sana. Baba yake yupo anapiga masanga tu na siku akijichanganya eti anamtaka mtoto nitamlima vichwa vya maana.
Umlime vichwa kwan unadhan baba wa mtoto Ni Nani? Atamtaka na atamchukua na hakn kitu utamfanya
 
Nime date nao wengi tu, sijawahi kuwa na expérience mbovu kama ya hawa tunawaita hawajazaa. Hawa ambao hawaja zaa, Kutoa mimba na kuwa na Mabwana wengi ndio sifa yao hiyo. Ninawaomba vijana wenzangu wa kiume, tuliangalie kwa namna nyingine. Hizi shutuma mnazozitoa si kwa single mothers bali kwa Mwanamke Mshenzi na Mjinga ndio utaona hayo. Mwanamke anayejua nafasi yake na wajibu wake huwezi sikia au hangaika na utopolo wa hivyo. Na katika wasichana wa age ya 25 hadi 30. Ukamkuta ni single mother asee utakuwa umepata Jiko sio kijiko. Jaribu kutafiti, achana na hear says.
Mzee usipagawe na mikuku ukijaziwa kwenye bakuli na single mother. Shida urithi kwenye familia. Mijengo yangu mitatu yote isimamiwe na single mother akiwa na mtoto wake wa kwanza aliyezaa na mjinga mmoja mtaani. Aisee hii hapna. Ile miradi ya ukoo na hiko kitoto cha concubine nacho tukiweke. Hapana Aisee. Kama huna ndoto za utajiri oa tu single mother uishie kupetiwa petiwa ili kukusahaulisha kitoto chake kiishi
 
Siwezi amini kitu kama hiki Mkuu, anakulazimisha kivipi yaani ?? Kwa nini akulazimishe labda ? Kutakuwa na tatizo mahali huko nyuma wakati mnaanza kufahamiana
Singo mama nimemsogeza tuishi,ila nilmkuta mwanae anasoma shule hzo kwahyo gharama automaticaly lazma ziamie kwangu
 
Back
Top Bottom