Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Acha kuvunga vunga Mkuu..! Labda nikuulize swali hapo hapo, Una msichana unaye date naye kwa sasa ??
Kama unaye, naamini mnafanya sex na kwa uhakika zaidi mnapigaga game bila kondomu ..! Hebu chukulia huyo demu wako akabeba Mimba unafanyaje ??
Sasa kwani akibeba mimba unaondoa fact kwamba tunakiuka amri ya muumba?
Hizo ni tamaa zetu za kimwili na hivyo matokeo yake lazima tukubaliane nayo.
Ni sawa na kupata ukimwi alafu unaanza sema mipango ya mungu wakati kila leo unabadilisha mbususu na kushadadia threesomes.
 
SM nawanyooshea mikono juu. Mtoto amerudi nyumbani imepungua laki tatu kwenye ada. Baba yake nimempigia sim naona anazingua tu. Unajua huyu mimi sinaga nae story labda inshu za ada ndio nampa sim aongee na mwanae. Jamani mm baba yangu nambishiaga mambo mengi. Ila ushauri alionipa nisioe SM niliupokea kwa mikono miwili. Hawa sio watu kabisa wanagawa familia vipande vipande ukoo wako unakua haueleweki. Hata mali za familia unatengwa upewi. Sherehe ya mtoto wake ukweni linakuja dume jenzio limepiga tai alafu mtoto anaomba picha ya baba na mama. Aaaaah hiki kinyaa bora niishi bila Ku.to. MBA maisha yangu yote.
 
hapana mkuu nimekutana nayo zaidi ya mara mbili wadada wanawaletea dharau wanaume wanaotaka kua nao seriously kisa tu anakibwana kina kagari halafu mume wa mtu mwisho anapigwa mimba anakua single maza baadae anaanza tafuta huruma mara oooh Kama unanipenda Mimi mpende na mwanangu
Hapo ujue alitelekezwa na alichokitafuta hakukipata anaanza kua na frustration kutwambia wanaume wote mbwa tu wakati alijua kabisa anapotea!
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hilo silikatai, ila kwenye kundi hilo hawa watu huwa wamepigwa shule kubwa sana na Maisha, wanakuwaga wamenyooka so ukimchukua hutahangaika na Mambo ya Kidimbwi mara Alazimishe muende mahali ambako hamuwezi lipia ila yeye apatae sehemu za kupiga picha [emoji3]
 
singo maza ? labda mzazi mwenziwe afe na kaburi lake nilione ( ntahitaji vithibitisho zaidi pia )

la sivyo

utagongewa kmmmk
 
singo maza ? labda mzazi mwenziwe afe na kaburi lake nilione ( ntahitaji vithibitisho zaidi pia )

la sivyo

utagongewa kmmmk

[emoji23][emoji23][emoji23] Kwani wote wako hivyo Mkuu ??
 
Hakuna kitu kizuri kama kutunza watoto wa kufikia - ni wasikivu na wengi wao wana adabu mno!! na wewe kwa kadri unavyozidi kuwajali hao watoto mama yao sasa ndiyo anachizika kwa kukupenda zaidi na zaidi - ni raha si ya kawaida aisee!! Pia unapata thawabu!!

Tatizo vijana wengi wa sasa hawaelewi haya mambo!!
 
'wengi' wapo ivyo ,singo maza LAZIMA awe na namba ya mzazi mwenza ( kama yupo hai )

wana maintain mawasiliano ili ' kulea mtoto ' na hapo ndipo utata unapoanzia
Hii lazima awe na namba Ni kichaka Cha kujifichia Ili kuwananga singo Mama's.
kwa nini iwe Ni lazima.
 
SM nawanyooshea mikono juu. Mtoto amerudi nyumbani imepungua laki tatu kwenye ada. Baba yake nimempigia sim naona anazingua tu. Unajua huyu mimi sinaga nae story labda inshu za ada ndio nampa sim aongee na mwanae. Jamani mm baba yangu nambishiaga mambo mengi. Ila ushauri alionipa nisioe SM niliupokea kwa mikono miwili. Hawa sio watu kabisa wanagawa familia vipande vipande ukoo wako unakua haueleweki. Hata mali za familia unatengwa upewi. Sherehe ya mtoto wake ukweni linakuja dume jenzio limepiga tai alafu mtoto anaomba picha ya baba na mama. Aaaaah hiki kinyaa bora niishi bila Ku.to. MBA maisha yangu yote.

Inatagemea na akili ya huyo single mother, ngoja nikuambie kitu. Kwa mwanamke aliyesawa kichwani kisawa sawa hawezi kuruhusu utopolo wa namna yoyote kutoka kwa Mzazi mwenzie uingilie ndoa yake. Mwanamke anayejua makosa yake na ameamua kurekebisha, mzee baba amini nakuambia single mothers wana akili sana kuliko hawa waliotoa mimba.
 
Back
Top Bottom