Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
hapana mkuu nimekutana nayo zaidi ya mara mbili wadada wanawaletea dharau wanaume wanaotaka kua nao seriously kisa tu anakibwana kina kagari halafu mume wa mtu mwisho anapigwa mimba anakua single maza baadae anaanza tafuta huruma mara oooh Kama unanipenda Mimi mpende na mwananguHili la mume wa mtu mkuu umelikazania kinoma noma, uliwahi achwa ama vipi ? [emoji23][emoji23]
Hapo ujue alitelekezwa na alichokitafuta hakukipata anaanza kua na frustration kutwambia wanaume wote mbwa tu wakati alijua kabisa anapotea!
😁😂😂😂