Kwa wale wa UDSM

Kwa wale wa UDSM

well said mkuu co m2 anajitamba utadhani nyy alikuwa anaijua b4 hajaenda hapo udsm. bt co inshu na cjui km angekuwa anasoma uct angetambaje? nadhani huyo ni mmoja wa wanafunzi wa IRA

afu mtoto mwenyewe ndo kwanza yupo first year anaingia second year mwaka huu ila anajifanya anaijua sana UDSM. MPUUZI SANA
 
Tarehe 28 mwezi huu mgodi wa pale aris utatema,then tarehe 23 september mechi za ufunguzi zitachezwa pale chuo,pia form one nao watatakiwa kureport chuo tarehe hiyo..over

So my buoy! Unamaanisha kuwa form one wana anza chuo sept . N so january kama inavyo julikana! Duuuh!
nyie mnafanana kuanzia majina, avatar, uandishi. All in all ni utoto unawasumbua kwa sasa, mtakua tu
 
Sasa kwan tatyzo niny! Unajisifu kuwa mkubwa! Mh! Ungejua! Pole kijana! Ukubwa so kigezo!. Bchwa majy tuh! 4evr young!
 
Wew niny! Mbona unajifanya unajua sana kusema wenzako! Mtu anatoa info, wew unajifanya kukosoa! Kama hayakuhusu! Usichangie! Take yo tym! Waachie zinazo tuhusu!
 
kuna wale waliosoma hapo miaka ya 70, usitegemee ataijuwa hiyo ARIS, unless otherwise kuwe na namna ningine itakayomfanya aijuwe eg kuuliza etc. Hata October 6th, 1996 wakati naripoti UDSM PALE FoE, hiyo sikuwahi huisikia mpaka namaliza 2000.

Hata wale wana UDSM wa kwanza hawaijui hiyo ARIS. Sasa badala ya kutamka yasiyo na tija, we ungejibu swali na thread hii, nina uhakika isingepoteza uelekeo kwa kiasi hiki. Wengi sana wametoka nje ya ulichokusudia wakati unaianzisha simply because hukujibu swali as expected.

TUNAYOYAANDIKA HAPA JF, YANAWEZA YAKASEMA TABIA ZETU HALISI

haya,niwie radhi alumn mwenzangu..lakini nadhani swali lako ushajibiwa.
 
ofcourse,hapa tz kama hujasoma kwenye moja kati hvi vyuo vitatu udsm,sua na muhimbili.huwezi nawe kujiita eti umesoma chuo,elewa tu kuwa ulikua unapoteza muda wako.over

mkuu na ss wa ARDHI UNIVERSITY kumbe 2po kwenye chuo cha kataa! Duuh ngja nihamee, ila kozi nayocoma hapa hamna chuo kngne kinachotoaa tanzania hii htaa hyo udsm! Xo unanishaur vp ndgu perry
 
Wew niny! Mbona unajifanya unajua sana kusema wenzako! Mtu anatoa info, wew unajifanya kukosoa! Kama hayakuhusu! Usichangie! Take yo tym! Waachie zinazo tuhusu!

Wote nyie akili yenu moja sasa kama hayatuhusu si muende huko fesubuku wajnga nyie.
 
Kama hii mada haikuhusu! Jus so lazma uchangie! Kuna mada kibaoooo! So, u better take yo shit out dhere!.
 
ofcourse,hapa tz kama hujasoma kwenye moja kati hvi vyuo vitatu udsm,sua na muhimbili.huwezi nawe kujiita eti umesoma chuo,elewa tu kuwa ulikua unapoteza muda wako.over

Duh huyu jamaa wawapi?? Hujielewi aisee na umebahaatisha kuwa hapo maskini pole sana.. Kwa taarifa yako sisi wengine udsm tulikataa wenyewe na sasa hivi tunakula bata mtaani.
 
ndio maana nkasema kwa wale wa udsm,kama hufahamu aris ni nin,inamaanisha wewe sio wa udsm,kwa hiyo kaa mbali kabisa na hii thread kwa sababu haikuhusu.over

Kwa akili hizi lazima wakamate shati, na ukifaulu nitashangaa sana. Wewe ni kati ya wapuuzi wachache wenye kukidhalilisha chuo chetu pendwa kinachokufa sasa (a dying university). Kama unadhani hayawahusu wasioijuwa hiyo SARIS iliyoanziswhwa juzi tu basi ungeenda kubandika Matangazo kwenye noticeboard zenu zilizozagaa kila mahali ambapo mmejaza mitangazo hadi yanaonekana kama uchafu. Kila mwenye nye g e ya kubandika tangazo anafanya hivyo kuanzia wauza ugoro hadi compyuta. Ukome kujibu watu hovyo kilaza wewe. kuijua ARIS unaona umefika sanaee...

CC. Ngalikihinja
 
Last edited by a moderator:
ofcourse,hapa tz kama hujasoma kwenye moja kati hvi vyuo vitatu udsm,sua na muhimbili.huwezi nawe kujiita eti umesoma chuo,elewa tu kuwa ulikua unapoteza muda wako.over

:kev:Km ni hivyo Basi Taasisi zote wangekuwa wanafanya kazi hao waliosoma hapo lakini cha Ajabu wanauza sura tu mtaani lakini sisi tuliosoma hivyo vyuo ambazo tulikuwa tunapoteza muda tayari tunafanya kazi tena TCU na km issue ni chuo njooni nanyi mfanyekazi
 
Mkuu Perry inaonekana hauko sawa coz ufahamu wako mdogo sana mimi nimesoma udom hiyo ARIS mbona kawaida 2 tena tumeitumia sana hasa kufanya registratiön ya course ,kuangalia matokea nk. Afu unaposema mtu aliyesoma udsm muhimbil cjui na wap ndo wamesoma unakosea hata mimi nimesoma tena nina kazi nzuri. Chuo hakimbebi mtu bali uwezo wa mtu katka mambo mbalimbal kimaisha. Kuna jamaa namjua alisoma udsm zamani 2 nikiwa std somethng bt ukimuangalia na hali yake hutamuelewa kama kwel alipita udii ni hayo 2.
 
Muanzisha mada unatuchafulia cv zetu udsm alumni,bila shaka ulienda UDSM kibahati na hauamini mpaka leo',na i get ths filng ur nt from UDBS wala COET ila ktk ile facault karibu na kwa mama Ntilie...
Tena watch ur tongue usîpende kujifanya mjuaji wew à wa kwanza kusoma UD na hautokua wa mwshô,ucpônde ùyuo vngne badô mdôgo kijana haujuî yajîyôpo afta chuô...
Jîbu watu vîzuri uctuharibie sîfa na cdhani kama utapona Sept conference wewe
 
aiseeeeee babayangu mkandala na maboko watabonyeza kitufe cha enter mzigo hadharani patachimbika
 
samahani,naomba kukuulza,na wewe ni mmoja kati ya wale vichaa mnaotafutwa na walinzi wa pale mirembe?maana kama ungekua unajua kusoma,usingefungua hii thread kwa sababu haikuhusu!

Wewe limbukeni uliye kilaza bila shaka hautmaliza chuo, mtu mwenyewe mwaka wa kwanza kijana wa mulugo alafu unaanza kutema pumba humu..ptuuuuuu!
 
Back
Top Bottom