Nonchalant.... 5 oclock in the morning... Moja ya nyimbo zangu bora wakati wote jinsi demi anavyoflow... Beat ya wimbo.... Ukichukulia pia nlipigwa kabali moja mbaya sana alfajir moja hv mitaa ya wailes temeke natokea zangu club imasco....
Miss Eliot...get freek on
Eve... Gotta man
Mc lyte...keep on keping
Aaliyah.....down with the qlique
Brandy....lm gonna be down
Adina howard.... Frek like me
Marry j blidge....
Kati ya marapa wa kike nliokuwa nawakubali sana
Minute after minute, hour after hour...Nashangaa hamkumbuki Mzee mwenyewe Coolio...
"Gangaster's of paradise"
...Power in the money money in the power...
Huyu jamaa alipokumbwa na misukosuko ya jela akapoteza kabisa... juzi nayo niliskia alinyimwa kuingia if I'm not mistaken Singapore alikuwa na concert.Minute after minute, hour after hour...
Kuna kipande anaflow am 24 now how will i live ti see 25! Idont know.
Ila kwenye kuflow kwa madem. Da Brat alikuwa ni mkali chini ya produzer jermain . Kuna albam yake moja hivi inakwenda kwa jina Top of world mama kachana vibaya.Nonchalant.... 5 oclock in the morning... Moja ya nyimbo zangu bora wakati wote jinsi demi anavyoflow... Beat ya wimbo.... Ukichukulia pia nlipigwa kabali moja mbaya sana alfajir moja hv mitaa ya wailes temeke natokea zangu club imasco....
Miss Eliot...get freek on
Eve... Gotta man
Mc lyte...keep on keping
Aaliyah.....down with the qlique
Brandy....lm gonna be down
Adina howard.... Frek like me
Marry j blidge....
Kati ya marapa wa kike nliokuwa nawakubali sana
OnyxDAS EFX
EPMD
Chubb Rock
SWV
En Vogue
OutKast
Geto Boys
Tha Dogg Pound
Domino
Masta Ace
Shabba Ranks na Maxi Priest
Chaka Demus and Pliers
Mad Cobra
Super Cat
Odd dead bustard
Acha kabisa mkuu ile kabali siisahau wakachukua na buku nne zangu daaah!!Ha ha ha. Ha. Ha ha kwahio mkuu ukisikia huo wimbo unakumbuka ile kabali ya saa kumi na moja alfajiri.....!
Aisee Craig David umenikumbusha mbali..kuna Im Walking Away na Rendevouz nilikuwa nazipenda sanaKuna Kijana mmoja kutoka Southampton Craig David-7 days na mwingine alipiga kibao cha Same OI'G anaitwa Ginuwine.Hawa vijana walinivutia sana sijui kama bado wapo kwenye Ulingo wa muziki
...teh hee hee.ulivyo janja janja usikute hapo unajiita mwenyewe!
Andhar kanoon mkuuHii ilikuwa anza kanuni au geraftaa?