RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
- Thread starter
- #221
Ha ha ha. Ha. Ha ha kwahio mkuu ukisikia huo wimbo unakumbuka ile kabali ya saa kumi na moja alfajiri.....!
Nonchalant.... 5 oclock in the morning... Moja ya nyimbo zangu bora wakati wote jinsi demi anavyoflow... Beat ya wimbo.... Ukichukulia pia nlipigwa kabali moja mbaya sana alfajir moja hv mitaa ya wailes temeke natokea zangu club imasco....
Miss Eliot...get freek on
Eve... Gotta man
Mc lyte...keep on keping
Aaliyah.....down with the qlique
Brandy....lm gonna be down
Adina howard.... Frek like me
Marry j blidge....
Kati ya marapa wa kike nliokuwa nawakubali sana