Kwa wale walimu wazoefu na watarajiwa em piteni hapa for a while..............


La msingi kama jamaa zako au wazazi wanajiweza ,wajiandae kukupa fedha kidogo ya kukusaport kabla ya mshahara, .....ishu ya mishahara inategemea na halmashauri uliyopo, wapo wakurugenzi wanaojali watawalipa kwa muda ht kabla hazina haijatoa salary..........ninavyojua fedha ya kujikimu inategemeana na eneo kama ni jiji, manispaa au halmashauri ya wilaya na sio kutokana na level of education........MUHIMU; mwl tunza tiketi zako kwa kuna hela ya mizigo mnatakiea kulipwa, hii hauta ambiwa ni haki yako fuatilia kabisa....msaaada zaidi, tafuta waraka ili ukulinde popote pale ulipo.,hasa CWT( japo wengine ni wagumu lkn upo.....)
 
Ualimu ni wito NA changamoto ni sehemu ya maisha.cha msingi nikujituma
 
 
RSR! Hiyo hela ya kujikimu ni kwa level gani??? Cheti, stashahada au shahada?

Fedha ya kujikimu kiwango ni sawa kwa ngazi zote za elimu ila inatofautiana kwa kigezo cha majiji&manispaa ni 65,000x7 na wilaya ni 45,000x7
 
Last edited by a moderator:
Kwa cheti na diploma pesa ya kujikimu ni sh 30 elf kwa cku na shahada n shlng 45 elf,

Mabadiliko yalifanyika mwaka Jana na kuwa tsh 65,000x7 kwa majiji na manispaa' halafu 45,000x7 kwa wilaya' viwango hivi ni kwa ngazi zote za elimu'
 
changamoto kubwa ni mazingira ya ufanyaji wa kazi unapelekwa kijiji ambacho huduma muhimu za kijamii haizpatikani kiurahisi sasa kwa sisi wanawake ndio tunapata shida sijui kama utaweza kupanda milima ndugu Munkari
 
Ndugu zangu waalimu wenzangu. Japo neno moja niwaambie. Tumekuwa tukiogopa mazingira ya kufanyia kazi. Kwanini? Huwezi pelekwa sehemu ambayo haina watu. Je wanaishije licha ya kuwa huduma muhmu hawana. Je unataka raha asilimia mia? Haiwezekani. Wazungu wanasema FIFTY FIFTY. Jipange kupambana na magumu. Hata siku moja usipange kupata raha ugenini. Je ulipo unaraha? Gani wakati unalalamika? Tujipe moyo tuirudishe hadhi ya ualimu. Tukawafundishe watoto wa M ungu nao wakapate maisha maz uri. Wenzetu huku kenya wanasomea ualimu lakini ajira hawana. Tumshukuru Mungu huko nyumbani tunasomea na serikali inatupatia kazi. MUNGU NI MWEZA. Maandalizi ya roho na mwili ni muhmu sana wajamani. Nitawatakie subra njema.
 
nowdays naona dhana ya wito inaanza kufutika,anyway thenks 4 your comment!!




Ualim wito ilikuwa zamani sasa hivi ni kaz kama kazi nyingine
Ualimu wa wazee wetu zaman ndio wito mtu halipwi mwaka bado yupo tu
 
Amen!!!!!
 
mbona walimu tarajali mnatusumbua sana tuongelee maswala muhimu kama krasimu ya katiba kama umefaulu utaajiriwa tu, vipi vyuoni hamukupewa elimu ya ujasirimali, jishighulisheni tengenezeni crips za viazi, ndizi na kunde pitisheni kwenye super market, sipendi vijitabia vyenu
 

mbona umewaka kama moto wa kifuu? Rasimu ya katiba hujui pa kudiskasia ama?ndugu vipi wewe?wacha walioelewa wachangie kwenda huko siasani ebo!!
 
hivi inakuwaje hadi mtu anaambiwa na mkurugenzi achague shule anayoipenda? hivi nikipangiwa wilaya naweza kumwambia mkurugenzi nataka shule flani na sitaki shule flani.
 
changamoto kubwa ni mazingira ya ufanyaji wa kazi unapelekwa kijiji ambacho huduma muhimu za kijamii haizpatikani kiurahisi sasa kwa sisi wanawake ndio tunapata shida sijui kama utaweza kupanda milima ndugu Munkari

Je utakao wakuta huko kijijini wanamiili ya shaba ambao unawasaidia kukabili changamoto hizo?..

....La msingi ni kukubali kwanzj kiakili na kimtazamo kuwa hapo ndo kazini kwako then set malengo kuwa baada ya muda flani natakiwa kutokuwepo hapa eg utaenda masomoni au kubadilisha kituo. Kifupi popote pale utakapo pangiwa ni vema ukaripoti na kufanya kazi huko.

You never know ufunguo wako wa mafanikio upo!
 
aisee jipangeni kuna vijiji mtapelekwa ni wachawi balaa utakoma mwenyewe
 

Akuu ndugu hata kama cjaingia huko naziona tu dalili kuwa kuna changamoto nyng xana tena za kutisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…