Kwa wale walio singo, unamtamani nani humu angekuwa mwenza wako?

Kwa wale walio singo, unamtamani nani humu angekuwa mwenza wako?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Binadamu tumeumbwa na hisia, ata tukijiweka bize sana katika utafutaji; mwisho wa siku tutaishia kwenye hisia tu.

Inawezekana kuna sababu nyingi zinaotufanya tusiwe na wenza; ila mwisho wa siku tunabaki na maumivu yetu.

Aya mlio singo, fungukeni; mngependa kuwa na mahusiano na nani humu?

Ukiona aibu shauri yako; waswahili wanasema mficha nini sijui hazai! mtamalizia wenyewe.

Karibu kwa chat!
 
Binadamu tumeumbwa na hisia, ata tukijiweka bize sana katika utafutaji; mwisho wa siku tutaishia kwenye hisia tu.

Inawezekana kuna sababu nyingi zinaotufanya tusiwe na wenza; ila mwisho wa siku tunabaki na maumivu yetu.

Aya mlio singo, fungukeni; mngependa kuwa na mahusiano na nani humu?

Ukiona aibu shauri yako; waswahili wanasema mficha nini sijui hazai! mtamalizia wenyewe.

Karibu kwa chat!
Nikikutajia uhakikishe unakwenda kumfikishia ujumbe, siyo kutujaribujaribu halafu unatuacha tunateseka

Mimi ni admirer wa Mamndenyi
 
Back
Top Bottom