Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Equation x mbona wewe hujamtaja wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 Mwanaume hazeeki bwana.Ningelikuwa sijazeeka, ningelikutamani
Tatizo majukumu yananiandama 😀Equation x mbona wewe hujamtaja wako?
Mwakani.Dah hadi lini sasa 🙂
Ngoja wanitaje wengineMwakani.
Nikipata mafao ya uzeeni, nitakutafuta🤣 Mwanaume hazeeki bwana.
😂 Ebu acha hizo. Unatusakizia wengine wakwako hutaki kumtaja.Tatizo majukumu yananiandama 😀
😂 Wakutaje tuNgoja wanitaje wengine
Hata huofii kunikosa uharakishe.😂 Wakutaje tu
Hapa ni nyumbani utarudi tu.Hata huofii kunikosa uharakishe.
Ila mbona kama ni kweli 😂Hapa ni nyumbani utarudi tu.
🥰 Habari njema. Tuombeane uzima 🤣Nikipata mafao ya uzeeni, nitakutafuta
🏃🏃🏃😂Ila mbona kama ni kweli 😂
Kuna wazo limenijia na kuniambia yakuwa, wewe una sifa zote? Ni kweli 😀 ?😂 Ebu acha hizo. Unatusakizia wengine wakwako hutaki kumtaja.
Sifa zitatimia zaidi ukipokea mafao😂Kuna wazo limenijia na kuniambia yakuwa, wewe una sifa zote? Ni kweli 😀 ?
Kwenye ule uzi wa mapicha picha huwa anatusaidia sana 😀Mideko.
Unakimbilia wapi🏃🏃🏃😂
Mbona nafsi yako inaongea kitu fulani?Maswali mengine bwana