Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,517
- 5,533
sana napenda ile segment yake ya kuweka picha mfuatano za matukio ya kuendana kama story flan inakuwa safi sana.Kwenye ule uzi wa mapicha picha huwa anatusaidia sana 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sana napenda ile segment yake ya kuweka picha mfuatano za matukio ya kuendana kama story flan inakuwa safi sana.Kwenye ule uzi wa mapicha picha huwa anatusaidia sana 😀
Dada njiwa wangu hajakufikishia salamuMi nakutaja wazi tu ,liwalo na liwe....
Sijamuona njiwa,au katekwa kawekwa bandani Kwa mtu?Dada njiwa wangu hajakufikishia salamu
Itakuwa kaliwa 🤣🤣Sijamuona njiwa,au katekwa kawekwa bandani Kwa mtu?
Yaani ndio nisione hata manyoya?Itakuwa kaliwa 🤣🤣
Kumbe raraa reree ni mwanamke 🤔🤔Leejay49 raraa reree hawa wanafaa kuwa wake wenza nitie ndani wote huwa nawapenda 50/50
Goma iloKumbe raraa reree ni mwanamke 🤔🤔
Hili swali mbona huwa unauliza sana mkuu?
🤣🤣kazi anayoKuna mtu anamfukuzia anasubiri amtaje aende PM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh, nilikua sijui eti🤔Goma ilo
Nakutamani wewe tena nnakutaka sanaaaBinadamu tumeumbwa na hisia, ata tukijiweka bize sana katika utafutaji; mwisho wa siku tutaishia kwenye hisia tu.
Inawezekana kuna sababu nyingi zinaotufanya tusiwe na wenza; ila mwisho wa siku tunabaki na maumivu yetu.
Aya mlio singo, fungukeni; mngependa kuwa na mahusiano na nani humu?
Ukiona aibu shauri yako; waswahili wanasema mficha nini sijui hazai! mtamalizia wenyewe.
Karibu kwa chat!
Kwa nini na wewe unapenda kuchangia nyuzi za namna hii?
Vipi, bila bila?Aiseee.....
Muulize kwanzakuna mtu kanifuata dm anatamani kuwa na mimi. vp nimtaje?