Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Huenda anatafut nae wa kudondekea moyo🙇🙆🙆Hili swali mbona huwa unauliza sana mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili swali mbona huwa unauliza sana mkuu?
Tunaamini avatar na majina mazuri, yanasadifu yaliyomoNa hizi majina yetu wako watu watapoint the same jichanganye na avatar au jina uone.
Atakuwa amesikia huko aliko
🤣🤣too muchoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hakika kama nilishawahi kuliulizaHili swali mbona huwa unauliza sana mkuu?
Kuna mada ngoja waunganishe mkuuSina hakika kama nilishawahi kuliuliza
Hapana, nipo na familia tayariHuenda anatafut nae wa kudondekea moyo🙇🙆🙆
Wanasema safari moja uanzisha nyingine; inawezekana ikawa mwanzo wa safari nyingineKutamani tu haisaidii.
Hapo vizuri mkuuHapana, nipo na familia tayari
Teknolojia sasa hivi imerahisisha; unapiga video call mambo mengine yanaendeleaMtakuja kupenda wanaume wenzenu umu kwa kufuata id shaur zenu
Nikikutajia uhakikishe unakwenda kumfikishia ujumbe, siyo kutujaribujaribu halafu unatuacha tunatesekaBinadamu tumeumbwa na hisia, ata tukijiweka bize sana katika utafutaji; mwisho wa siku tutaishia kwenye hisia tu.
Inawezekana kuna sababu nyingi zinaotufanya tusiwe na wenza; ila mwisho wa siku tunabaki na maumivu yetu.
Aya mlio singo, fungukeni; mngependa kuwa na mahusiano na nani humu?
Ukiona aibu shauri yako; waswahili wanasema mficha nini sijui hazai! mtamalizia wenyewe.
Karibu kwa chat!
Watoto wako sekondari mkuuHapo vizuri mkuu