Kwa wale waliopo dom city...karibuni..

Kwa wale waliopo dom city...karibuni..

Mkuu huo mji naujua,dom nimekaa sana,hadi leo sh,10 na sh20,zinafatumika huko,
Nakumbuka siku moja nlienda saloon kunyoa nywele,ilikua mida. Ya saa 12 jioni.
Nlivomaliza kunyowa nikampa kinyozi noti ya sh Elf 10,ghafla kinyozi alikunja sura huku akiniambia kwa ukali “We Acha kunidhulumu,tena heshim kazi za watu”
Baada ya kutafakari kwa kina ndio nikajua huyu hatopata chenchi na mida hii ya jioni benki zimeshafungwa[emoji3]
Hili tukio kamwe sintolisahau[emoji3]
Ulienda kunyoa saloon za bei rahisi, unatakiwa uingi zile zenye masaji ili uone matumizi
 
Yupo mbali sanaaa yan uwiii nimeloa kyupi hapaaaa nilivyosoma comment yako
Ningekuwa nyumba ya jirani ningejifanya kwangu umeme umeisha ningekuja na nguo nipige pasi hafu ungeipata maana mwanamke kama hajagongwa muda mrefu ukimwona amekaa katulia kwake utamjua tu
 
Kwa hio wewe masaj ndio umeona mambo yoote au sio!!!
Ndio maana nkasema dodoma bado saana,,,kuanzia mji na watu wake
Wote bado wapo nyuma saana kimaendeleo[emoji3]
Mm siamini kama wapo nyuma, kwanza nasikitika wataacha kujenga zile nyumba zao ambazo ni mila na desturi, wataiga maendeleo ya wazungu.
Hafu Dodoma kuna viwanda kuzidi miji mingi tu ya Tanzania acha kuwasema vibaya au kuna binti wa huko alikubania?
 
Wewe mm nilkuwa natoka na yule mheshimiwa mnafiki anapenda kuhama vyama mzee wa mashangingi

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app


Ah kumbe kule kushikana mikono beach na Ruge ilikuwa ni kick tu? Ila Zama alikumind mpaka akakutafutia mgambo uchwara wakushikishe adabu kumbe mwenzao ni ninja zaidi ya wale mgambo aliowaokota mtaani.
 
Back
Top Bottom