Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Kuna watu walikuwa wananishawishi sana haya mashirika ya kimataifa ila msimamo wangu mara zote ni kuwa hayafai hata kidogo .
 
Kuna watu walikuwa wananishawishi sana haya mashirika ya kimataifa ila msimamo wangu mara zote ni kuwa hayafai hata kidogo .

Ungefafanua mkuu, hayafai kufanya kazi, au mission zao! Ungefafanua kidogo ningekupa msimamo wangu! Maana nimefanya kazi kwenye Mashirika hayo, ningekupa uzoefu wangu!
 
A pool of Fluently English speaking people raid off.

Kiingereza chao kinahitajika sana, hasa katika nchi yetu changa
 
Mkuu, mimi nimegundua watu wengi wanafuata maneno ya mitandaoni na hawajui kinaendelea nini,,,wengi wanasema USAID imefutwa, kitu ambacho sio kweli, watu watunze maneno baada ya siku 90 sijui wataficha wapi sura zao shughuli zikiruhusiwa kuendelea.

Mkuu, kwa mambo yanavyokwenda baada ya siku 90 kutakuwa na kitu kingine kabisa!Sio USAID Tuliokuwa tukiijua! Kutoka wafanyakazi 10,000 mpaka 300! Kanda ya Africa itakuwa na wafanyakazi 12, na Asia kama sikose 8! Maanake miradi mingi mno itaondolewa, hivyo wafanyakazi wengi kwenye miradi locally inayopokea pesa toka USAID hakuna kazi!
Trump/Elon Musk wanaiunganisha kama kitengo tu katika Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani, sio taasisi inayojitegemea!
 
Ukifanya private sector lazima uwe na backup plan atakama u unalipwa pesa nyingi. Uwezi kujua ya kesho yanakuwaje kuna jamaa wapo shirika la ukimwi naona kila mmoja anapambana kuwekeza

Mkuu, back plan ni kila mahali! Kuna jamaa zangu walifanya NBC (Bank Of Commerce) enzi hizo kabla haijavunjwa na kubinafsishwa, ilipovunjwa na ikafanyika retrenchment wengi mno walilia na ungewaona mtaani ungeona huruma! Back up plan katika maisha ni lazima! Hakuna cha kudumu mkuu! Hata serikalini kitengo kinaweza kufutwa! Unaweza kupewa uhamisho ukaharibu ulaji/Ustawi wako! Unasahau mshike mshike Magufuli alipochukua madaraka?
 
Ni kazi kweli kweli...Hata sikumoja usingelitegemea hili kutokea, maumivu kwa Watanzania wenzetu ambao ajira zao zitakoma, kwa taifa ndio usiseme, baadhi za taasisi zitabidi zijitazame na kujipanga upya!
Hii ina athari kubwa sana nashangaa serikali bado inasikilizia kama hela zitarudi,hili shirika linafyeka wafanyakazi na hata likirudi sio kwa kiwango kile cha awali,Mkuu wa DOGE ni Elon Musk hakuwekwa hapo kwa bahati mbaya
 
Sio wazee wote, wazee wenye connection
Wazee wenye connection ndio wanaopewa ajira ndio nmemaanisha hivyo, Wazee wenye connection sasa hivi wanachangamkia viunga vyote vya ajira na kuwaacha vijana wakisaga lami mitaani
 
Ndiomana nimesema huo utakuwa ni ule chenga mixer na mawe mengi…!!
Ila mchele kweli grade one hiyo pesa hapati hata mkoani tusidanganyane hapa.
Unataka grade one na uchumi umeyumba.. wee kula usife njaa.🤣🤣
 
Hii ina athari kubwa sana nashangaa serikali bado inasikilizia kama hela zitarudi,hili shirika linafyeka wafanyakazi na hata likirudi sio kwa kiwango kile cha awali,Mkuu wa DOGE ni Elon Musk hakuwekwa hapo kwa bahati mbaya

Mkuu nyingi hazirudi! Nimeangalia kwenye mojawapo ya TV US , Kulikuwa na mradi Tanzania, wanauliza hii pesa yote ya nini kwenye mradi huo! Jina la mradi (Support Gender Equality for Climate change in Tanzania ) Pesa ya mradi ni $ 14,000,000! Hii ni pesa kubwa mno! Ilikuja kwa nani, na inafanya nini!
 
Mkuu nyingi hazirudi! Nimeangalia kwenye mojawapo ya TV US , Kulikuwa na mradi Tanzania, wanauliza hii pesa yote ya nini kwenye mradi huo! Jina la mradi (Support Gender Equality for Climate change in Tanzania ) Pesa ya mradi ni $ 14,000,000! Hii ni pesa kubwa mno! Ilikuja kwa nani, na inafanya nini!
Ukitafakari, trump has a point
 
Mkuu nyingi hazirudi! Nimeangalia kwenye mojawapo ya TV US , Kulikuwa na mradi Tanzania, wanauliza hii pesa yote ya nini kwenye mradi huo! Jina la mradi (Support Gender Equality for Climate change in Tanzania ) Pesa ya mradi ni $ 14,000,000! Hii ni pesa kubwa mno! Ilikuja kwa nani, na inafanya nini!

Unajua tu ni nani anafaidika na pesa hizo!

1739017129784.png
 
Ukitafakari, trump has a point

Mkuu ulaji unaanzia Marekani kwenyewe! Ukifika kwetu ndio usiseme! Hebu katika picha hii Nani anafaidika, Huyo mhamasishaji kapata Per Diem, kaja na Landcruiser Mkonga, Dereva naye nk! Hao kina Mama wa Kimasai wamebadilika chochote kweli!


1739017373147.png
 
Mkuu ulaji unaanzia Marekani kwenyewe! Ukifika kwetu ndio usiseme! Hebu katika picha hii Nani anafaidika, Huyo mhamasishaji kapata Per Diem, kaja na Landcruiser Mkonga, Dereva naye nk! Hao kina Mama wa Kimasai wamebadilika chochote kweli!


View attachment 3229161
Nimeona list ya miradi anayoiondoa Trump mingi ni ile ya kusupport issues za LGBT.

Fedha nyingi sana zimekwenda Asia, Amerika ya kusini na Africa kussuport mambo hayo. Kazifuta.
 
Nimeona list ya miradi anayoiondoa Trump mingi ni ile ya kusupport issues za LGBT.

Fedha nyingi sana zimekwenda Asia, Amerika ya kusini na Africa kussuport mambo hayo. Kazifuta.

Mkuu kila Raisi/Utawala wa Marekani unakuwa na sera zake, Kipindi cha Biden sera ilikuwa ndio hiyo, ndio maanapesa nyingi zilienda huko! Kwa wengi wetu hata kama hupendi LGBTQ Lakini ndio ulaji uko huko utafanyaje! Asali iko huko Mkuu, Per Diem, mshahara mnono, semina Warsha tu!
 
Kuna watu walikuwa wananishawishi sana haya mashirika ya kimataifa ila msimamo wangu mara zote ni kuwa hayafai hata kidogo .

Mkuu, Marekani na mataifa ya Magharibi hayakufika hapo kwa misaada! Nani aliwapelekea NGO za Maendeleo? Na sisi hatuwezi kutoka hapa kwa hela ya misaada!
 
Mkuu kila Raisi/Utawala wa Marekani unakuwa na sera zake, Kipindi cha Biden sera ilikuwa ndio hiyo, ndio maanapesa nyingi zilienda huko! Kwa wengi wetu hata kama hupendi LGBTQ Lakini ndio ulaji uko huko utafanyaje! Asali iko huko Mkuu, Per Diem, mshahara mnono, semina Warsha tu!
Nafahamu mkuu kuna watu wanalipwa mapesa kibao kama posho tu kwa siku.

kuna jamaa yangu wakiwa na kazi maalum alikua anavuta lakini 4 kama posho tu kwa siku.

kazi ilikuja kwisha alichobahatika ni kujenga nyumba tu na vimiradi vidogo alivyomfungulia mkewe, na ndio vinavyomweka mjini mpaka sasa.

Huko ni kufanya kazi kwa malengo tu ila sio pa kupategemea sana.
 
Back
Top Bottom