Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 999
- 1,898
Ukiwa na mshahara mkubwa na matumizi makubwa ,meneja wangu back 2023 alikuwa anakunja zaidi ya hiyo ,ilq ananipiga vizinga vya 30k ,alikopa laki 5 ya mshkaji hakurudisha mpaka ilikuwa kivumbi .6m ni kubwa aisee, kama hakujipanga imekula. Kwa kiasi hiko kama ni muanja atakuwa hata na maduka makubwa mjini. Ni watu wachache sana waliobahatika kufikia 6m salary
Mafanikio anayo kama nyumba na gari kali.