Ukiwa na mshahara mkubwa na matumizi makubwa ,meneja wangu back 2023 alikuwa anakunja zaidi ya hiyo ,ilq ananipiga vizinga vya 30k ,alikopa laki 5 ya mshkaji hakurudisha mpaka ilikuwa kivumbi .6m ni kubwa aisee, kama hakujipanga imekula. Kwa kiasi hiko kama ni muanja atakuwa hata na maduka makubwa mjini. Ni watu wachache sana waliobahatika kufikia 6m salary
Nahisi upigaji ulitawalaMkuu nyingi hazirudi! Nimeangalia kwenye mojawapo ya TV US , Kulikuwa na mradi Tanzania, wanauliza hii pesa yote ya nini kwenye mradi huo! Jina la mradi (Support Gender Equality for Climate change in Tanzania ) Pesa ya mradi ni $ 14,000,000! Hii ni pesa kubwa mno! Ilikuja kwa nani, na inafanya nini!
Inauma sana 😢 roho inaniuma kama nilikuwa nimeajiriwa huko..aisee naona mfyekeo unavyopita..watu wanavyokuwa jobless ee Mungu awatie nguvuMkuu, kwa mambo yanavyokwenda baada ya siku 90 kutakuwa na kitu kingine kabisa!Sio USAID Tuliokuwa tukiijua! Kutoka wafanyakazi 10,000 mpaka 300! Kanda ya Africa itakuwa na wafanyakazi 12, na Asia kama sikose 8! Maanake miradi mingi mno itaondolewa, hivyo wafanyakazi wengi kwenye miradi locally inayopokea pesa toka USAID hakuna kazi!
Trump/Elon Musk wanaiunganisha kama kitengo tu katika Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani, sio taasisi inayojitegemea!
Hongera sana.Mimi ni rare profession; siguswi na maamuzi ya wanasiasa.
Mfyekeo umeshapita??Inauma sana 😢 roho inaniuma kama nilikuwa nimeajiriwa huko..aisee naona mfyekeo unavyopita..watu wanavyokuwa jobless ee Mungu awatie nguvu
Ndio na fangio kuondoa uchafu uliobakiaMfyekeo umeshapita??