Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Seminari kwa ujumla inawatayarisha vijana walioiva kabisa kimaadili na kitaaluma. Mimi kijana wangu amesomea Seminari mpaka kidato cha nne tu lakini msingi alioupata umemuwezesha kufika mbali kimasomo. Hongereni sana Seminari zetu.

natumai ww u mzazi wa huyo kijana na umeona umuhimu wa seminari...Mungu akubariki sana mkuu!!!
 
waseminari ni muhimu tutambu maaskofu nazani st.james seminary ni kati ya seminari ilizotoa maaskofu wengi kuliko seminary zote za Tanzania...mnasemaje wadau

kama nani?
 

kwa kadiri kichwa cha hii post kinavosema bila shaka nawe utakuwa ni ex seminarian,je nawe umelawitiwa ili kiwe kithibitisho?
 

Japo inauma, lakini pana kaukweli flan hivi............................
 
haya wale wenzangu wa st. Peters seminary wapo wapi!?mwakumbuka ku-escape kwenda desert kununua maandazi au kipindi cha joint mass na kilakala mbna mashati ya tomato yalikoma

bigwa sisters
 
kwa kadiri kichwa cha hii post kinavosema bila shaka nawe utakuwa ni ex seminarian,je nawe umelawitiwa ili kiwe kithibitisho?

Mimi sijasoma seminari lakini nimesoma habari za seminari jinsi wanavyolawitiana huko na baadhi ya link za niliyoyasoma nimewawekea kwenye hiyo post yangu uliyoijibu na nyinginezo, humu humu kwenye hii nyuzi.

Funguka. Jee, wewe umesoma seminari? unaweza kufunguka?
 
kwa ujumla maisha ya seminari yamechangia sana kutufanya kuwa namna tulivyo sasa... long live seminaries...
 
Mie nlisoma miezi kadhaa tu, nkagoma. Nilihisi nitamla mwinjilisti, karudi zangu kwa wagalatia.
 
Mie nlisoma miezi kadhaa tu, nkagoma. Nilihisi nitamla mwinjilisti, karudi zangu kwa wagalatia.

Mkuu Seminari za kikatoliki hakuna wainjilisti..
Wewe utakuwa umesoma shule ya dini na si seminari...
Seminari ni sehemu vijana wanapoandaliwa kuwa watawa...hii ipo kwa wakatoliki pekee...
 
kwa ujumla maisha ya seminari yamechangia sana kutufanya kuwa namna tulivyo sasa... long live seminaries...

kabisa kabisa ndugu mdogo.....nakumbuka ulivyokuwa choir master na mpiga kinanda mzuri hope hujaizika talanta yako. Zaidi nakumbuka tulivyokuwa tunachangishana ili kupata gazet la -----------. viva Maua seminary
 
kwa ujumla maisha ya seminari yamechangia sana kutufanya kuwa namna tulivyo sasa... long live seminaries...

Kaka nakumbuka kipaji chako cha kinanda na namna tulivyofanya kazi gazeti la shule pamoja wakati wa Gasper akiwa Chief editor nakukubali sana! Pia tukija church bro ulikuwa kipaji sana kwenye kinanda saizi sijui niaje kwenye hayo maishu; pia ulikuwa unasulubu sisi ambao sauti zetu zilikuwa hazitoki, tunalala na kudoji kwaya na misa sometyms wakati ukiwa choir master kwakweli tulijengana na kufundishana mengi tukiwa seminari! Long live wagala; long live Maua Seminary!!!
 
Nami nakumbuka Bangala Seminary full ibada Mungu ni Mwema
 

hivi huyo dogo ndo Gasper Assenga co......
 
Are u familiar with Frasema?

kidogo sana...sema huyu dogo alisomaga hapo na nilitokea na ukonga parish....ni chalii alikuwaga anapenda sana kuwa padre alikuwa mpole na mnyenyekevu sana hadi tukawa tunamuita ndugu mkapuchini......sijui aliendeleaga huyu chalii
 
Hivi mbona mnaleta kelele huku mmesomea shule za mchangani na za waliofeli ,hebu tuacheni tuliosoma special schools tutambe alaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…