St.Peter's Seminary Morogoro: Ukiingia getini unakutana na Our Mottor is Pray,Study,Work Ukitoka Unaambiwa Remeber our Motto: Wapi Fr.Carol Mroka, I like that Man,fr.Sewando,Fr.Patrick Kung'aro: Anthem yetu "Baba Petro Msimamizi wa shule yetu kwakuomba utuombee kwa bwana Mungu wetuuuu,Baba Petroo.....Natafuta Contact za Fr.Pastol Kijuuu please anyone in touch with this Fr.please assist. Jamani Jamani where is Brother Msewanga.Mlezi wa TYCS
Faizafoxy.
Dini confussion itokanayo na mafundisho mabovu. Hakuna kitu kama Mungu aliyekaa mahali fulani kama mnavyoombiwa. Mungu ni Omnipotent, Omniscient na ni onmipresent Tafuta maana ha hayo maneno ndio utajua kwa nini mnajilipuaga.
Tumsifu Yesu Kristu.......... jamani mpo na maisha yanaendaje ebu tukumbushane yale maisha wakati ule tupo kitaluni kule seminarini, mambo ya masifu ya asubuhi, misa takatifu, joint masses n.k. Hakika nimeyamisi sana yale maisha visiga seminary,st.peters seminary,st.james sem,uru seminary,maua seminary,likonde sem,stella matutina(ligano),kasita sem,don bosco sem,bihawana sem,lubya sem,itaga sem...n.k...na enzi zetu nakumbuka tokeo la form four na form six yani seminary zilikuwa ziking'aa...nimekumbuka sana seminar´..
hivi yule mlinzi wa pale getini alikuwa anaitwaga nani? na vile viwanja vyetu vya mpira vipo sijui wembley, na kile karibu na getini ambavyo ni vya form one na form two, for three na form four vipo? aisee nimekumbuka siku ya beche na vigozi, enzi zile kwenda orchad pale karibu na fathers house ni balaa, usiombee ukatane na Kofta mbona utajuta..... najivunia kuwa sps almuni
Inaonesha wazi kuwa kuna watu wanakubali sana waseminari kutokana na tulivyo sasa... pia inaonesha kuna watu wanatuonea wivu sana kwani ni vigumu kumpata mtu aliyepita seminari na akapoteza muelekeo wa maisha hata kama hakumaliza masomo.
Binafsi huwa ninawakumbuka sana wenzangu hata ambao hawakuwa wa darasa langu....
Nilikuwa na marafiki kibao chuoni lakini kiukweli huwa siwakumbuki kama wale wa seminari...
Long live SAJASE....
fr. Mushi a.k.a okonko wazee wa uru mko wapi..muulize mh mbunge chami na nchimbi hawatamsahau
wapi fr bari