Noma sana....[emoji119][emoji119][emoji119]haya wale wenzangu wa st. Peters seminary wapo wapi!?mwakumbuka ku-escape kwenda desert kununua maandazi au kipindi cha joint mass na kilakala mbna mashati ya tomato yalikoma
SPS wazee wa ngoma ya mganda[emoji23]bila kusahau st.peters seminary ya morogoro...hakika ilikuwa ni kama mbinguni...wale wa desert...
Alikuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Bunda, sasa hivi ni Askofu Mkuu Mteule wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza. Atasimikwa April mwanzoni.Fr. Renatus Nkwande na leo Askofu wa jibmo la Geita, ni kati ya mapadri walionivutia sana alipokuwa Rector pale St. Mary's Nyegezi Seminary. Mwenyezi Mungu amjalie maisha marefu katika maisha yake ya utume.
Ok Sorry, nilipitiwa katika uandishi , asante kwa kunikumbusha. Nilijua siku moja Mwanza ndilo litakuwa jimbo lake, maana trend ilianza kuonekana siku nyingi.Alikuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Bunda, sasa hivi ni Askofu Mkuu Mteule wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza. Atasimikwa April mwanzoni.
Kama hujapitia seminary Bora ukakaa kimya waliopitia seminary ndo wanafahamu yaliyopo huko.nasikia seminarini na kufirana tu
Namkumbuka Fr Sangu ambaye alikuwa Rector. Dah umenikumbusha mbali sana. Mto AminaSt joseph or kaengesa seminary...dah enzi za mzee matipa na sangu mkubwa kama lector...issue za kuchoma mahindi msituni....issue za kukata mkia form one...tarehe tisa mwizi wa tisa saa tisa usiku....
Nkwande ndio Askofu Jimbo la Mwanza sasa Kama sijakosea baada ya Kuondoka Ruwaichi mkuuFr. Renatus Nkwande na leo Askofu wa jibmo la Geita, ni kati ya mapadri walionivutia sana alipokuwa Rector pale St. Mary's Nyegezi Seminary. Mwenyezi Mungu amjalie maisha marefu katika maisha yake ya utume.
Huyo Sangu ndio huyu askofu wa Jimbo la shinyanga?Namkumbuka Fr Sangu ambaye alikuwa Rector. Dah umenikumbusha mbali sana. Mto Amina
unataka kubisha tu au , kuna lingineKama hujapitia seminary Bora ukakaa kimya waliopitia seminary ndo wanafahamu yaliyopo huko.
Usituchafulie Uzi wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
kama naona kipanki hapa.Wakati nipo Form 5. Rector wangu alikuwa huyu Askofu wa Jimbo la Tunduru Masasi wa sasa. Jina la seminari lipo kapuni.
Mkuu utakuwa unamzungumzia Mhashamu Baba Askofu Mhasi na Kasita seminari. Nami ni product ya Kasita ya Mhasi.Wakati nipo Form 5. Rector wangu alikuwa huyu Askofu wa Jimbo la Tunduru Masasi wa sasa. Jina la seminari lipo kapuni.
Kasita mwaka upi bosi, nilikuwa pale 2005-2011 one to six.From Kasita O level na Nyegezi A Level
2001 mpaka 2004 then nikaenda Nyegezi five na SixKasita mwaka upi bosi, nilikuwa pale 2005-2011 one to six.
Dah hallow we mzee mkubwa sana, I hope shamba la mikate unalijua vizuri sana na mfido umeupitia vya kutosha kabisa, hahaha2001 mpaka 2004 then nikaenda Nyegezi five na Six
Bweni alilovunja dirisha mkulu lipo wapi!? HapoView attachment 1050337
KATOKE SEMINARY - piteni hapa