Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Sina hamu na maisha hayo,kwani yalijaa unafiki wa hali ya juu mpaka nikafukuzwa nikiwa form two sababu ya kusema ukweli
 
Bihawana seminari mbona siwaoni? Mnakumbuka mtama? Fr Mbando, Zephrine, Mwaja etc. Nilimpenda sana Fr Matonya r.i.p. Maisha ya seminari yalikuwa mazuri sana.
 
dah pand flan hv za bihawana seminary nmemiss sana mvinyo cz kuna kiwanda cha kutengeza mvinyo na maisha mengne kwe ujumla St.Augustine seminary,father mwaja,father ndaona na father kilolelo oyeeee

mkuu ilikuwa ukichaguliwa kwenda kufanyakazi kiwandani unafurah sana coz utaenda kunywa. Fr Ngunwa enzi hzo kabla fr Ndaona hajaja. Frt Fasili Sili Lubuva r.i.p alitupatia choya jamaa alilewa ikabidi tukamfiche karibu na mchangani kule pondini. Fr Mbando alikuwa bursal alitulisha dona kasoro pasaka na st Augustine's day tu ndo wali nyama.
 
Wakuu mimi sikubahatika kusoma Seminary ila nilitamani sana.....

Nawasoma hapa kwa jicho la 3D ...
 

Dahh...Kama movie vile..
 
Wakuu mimi sikubahatika kusoma Seminary ila nilitamani sana.....

Nawasoma hapa kwa jicho la 3D ...

end doesnt justify the means....kwani ulikuwa na wito wa upadre mkuu na je hadi sasa unao
 
hivi ndiko MLIKOJIFUNZIA kuwapanga mabinti FOLENIiiiii? na kuwatumia B3 (beki tatu)?
 
 
umeona eeeh?mama katoke amenifanya kuwa nilivo.....long live kasemi
 
Hongereni waseminari wote,, japokua sikusoma huko lkn nashukuru kwa seminari kunitengenezea kaka bora ambae najivunia kuwa nae.
Najua utapita hapa my bro frm maua seminary,,
Nakupenda sana kaka angu ur the best thing I ever had in my life.
 
Hongereni waseminari wote,, japokua sikusoma huko lkn nashukuru kwa seminari kunitengenezea kaka bora ambae najivunia kuwa nae.
Najua utapita hapa my bro frm maua seminary,,
Nakupenda sana kaka angu ur the best thing I ever had in my life.

Aisee umesema kitu ambacho hata mimi naunga mkono.
Pia my bro amepita huko seminarini kwa miaka 6 MBULU -SANU SEMINARY, kweli naamini wanapikwa tayari kukabiliana na changamoto za duniani. He is doing good things to the society snd his family. He is a leader, entrepreneur, father, ... I believe is because of being in these schools.
He is from Karatu Not Karatu boy who is in here. I dont think he is a member here.
All in all, these people got a chance to study life Not only studies ....
I came to know more than 20 Ex-seminarians because of my bro.... they are all doing good things.
Big up seminarians.
 
Hahaa,mwenyewe hapa nacheka sana vitusu vya kwa mende,afu kulikuwa na mdada anawowo la maana alikuwa analeta pale nyuma ya mesi.
Nakumbuka sana yale maisha ila seminarini ni mahala ambapo mtu anajengeka kiukwel.

Vp kwenye mgomo wa kushinikiza kande badala ya ugali ulikukuta? Sitasahau tulipoenda kukaa uwanjani then Rector Fumakule aka Dudu alipoanza kuita majina mmoja mmoja then anakuuliza 'unakula au huli',,ilikua kvumbi kwa form 1 maana wote walijikuta wanasema 'nakulaaaa' alipofika kwa form 2 sasa,woooote wakajibu 'hatuliiiii' ilikua siku ya tata kweli maana 'mpugo' ulikua nje nje!
 
Ndio huyo mkuu fr. fabian nderumaki

Asante mkuu jamaa alikuwa mtu wa kubuni maendeleo na alisikitika pindi hicho alikuwa paroko msaidiz parokian kwangu form zililetwa sasa mm nikawa niko mbali na kijiji, kwahyo hyo nafasi akapewa mtu mwingine akafanye interview, narudi napata hizo habari roho iliniuma sana ila alinipa moyo na kuniambia kuwa yeye hakuanzia seminari ila alisoma shule za kawaida na alipofika form six ndio akaomba kujiunga na seminari,kwa kifupi jamaa anapenda maendeleo ya vijana,namkumbuka kwa mengi
 

daahh mwl. Wangu wa geografia....mara ya mwisho aliniita akaniambia "nimeweza soma tabia watu wote hapa seminarini lakini wewe peke yako nimeshindwa"...mwisho wa kunukuu
 
ha ha ha ha kumbe ili neno mpugo au kupugwa mlikuwa nalo hadi nyie kweli tamaduni zilikuwa moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…