NAAMINI
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 672
- 235
Tumsifu Yesu Kristu.
Jamani mpo na maisha yanaendaje? Hebu tukumbushane yale maisha wakati ule tupo kitaluni kule seminarini, mambo ya masifu ya asubuhi, misa takatifu, joint masses n.k. Hakika nimeyamisi sana yale maisha visiga seminary, St. Peter's Seminary, St. James Seminary, Uru Seminary, Maua Seminary, Likonde Seminary, Stella Matutina (Ligano), Kasita Seminary, Don Bosco Seminary, Bihawana Seminary, Lubya Seminary, Itaga Seminary n.k. Na enzi zetu nakumbuka tokeo la form four na form six yaani seminary zilikuwa ziking'aa. Nimekumbuka sana seminary.
Jamani mpo na maisha yanaendaje? Hebu tukumbushane yale maisha wakati ule tupo kitaluni kule seminarini, mambo ya masifu ya asubuhi, misa takatifu, joint masses n.k. Hakika nimeyamisi sana yale maisha visiga seminary, St. Peter's Seminary, St. James Seminary, Uru Seminary, Maua Seminary, Likonde Seminary, Stella Matutina (Ligano), Kasita Seminary, Don Bosco Seminary, Bihawana Seminary, Lubya Seminary, Itaga Seminary n.k. Na enzi zetu nakumbuka tokeo la form four na form six yaani seminary zilikuwa ziking'aa. Nimekumbuka sana seminary.